Habari zenu wakuu - Nitatoa ufafanuzi kama kichwa kinavyoeleza, Hizi hoja zote ni matokeo ya uchambuzi wangu wa kina wa biblia:
NInakubaliana na fumbo la utatu wa Mungu - Baba, Mwana na Roho...
Wakati wa mawingu umekwisha.
Dunia inaungua moto na bado mamilioni wanazunguka juu yake wakiwa wamelewa furaha ya bandia, wakijificha nyuma ya kauli ya “upendo na mwanga,” wakitumaini kwamba kwa...
Palmoni, The Wonderful Numberer, ni Bwana Yesu Kristo. Pia Bwana Yesu Kristo (ndani ya Utatu Mtakatifu wa Mungu) ni The Wonderful Counsellor, The Wonderful Teacher, The Revealer of Secrets...
If you want to walk 10 feet you have to walk 5 feet first. Before you can walk 5 feet you have to walk 2.5 feet first. Before you can walk 2.5 feet you have to walk 1.25 feet first.
and so on...
Hii ni orodha ya makampuni yanayomilikiwa na RA pamoja na mdogo wake anaiyetwa AKRAM AZIZ pamoja na Mohamed Enterprises.
Africa Tanneries Ltd- Mwanza
Tanzania Leather Industry Ltd- MOROGORO...
Instructions ⚠️Acha uvivu Mwenye Akili atasoma hadi mwisho wa haya maelezo na maswali yanayokuguide na utaona kuna kitu. Na Tumia imagination
Anayetumia imagination kwenye haya maswal ataelewa...
Za jioni wana jf,
Ninachotaka kuwaeleza hapa ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express. Nilikuwa nikisikia tetesi nyingi sana kuhusu mmiliki wa mabasi haya wengine wakisema ni mtoto wa Rais ambaye...
Kumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada...
Wanabodi,
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha...
Haya ni mahojiano flani niliyanasa kutoka huko YouTube 👈Kijana mmoja akieleza kuhusu hili neno Freemanbase lakini mwandishi akawa anaiekezea Freemason nikajaribu kujidadisi kwanini huyu mhojiwa...
🜏 JINA LA KWELI LA MUNGU
Walikwambia jina la Mungu ni YHWH.
Walikwambia ni Elohim, au Adonai, au El Shaddai, au Yehova, au Allah, au Chanzo, au Yule Mmoja.
Hakuna hata moja kati ya hayo lililo...
kwa muda wa miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS
kuna mada ililetwa humu kuhusu rothschild ilikuwa ni mada nzuri
na katika baadhi ya...
Katika kipindi hiki ambapo dunia inashuhudia misukosuko ya kila aina, kutoka mizozo ya kijeshi hadi mgongano wa kiitikadi, swali la msingi linazuka: Je, dunia inajiandaa kuingia katika mpangilio...
Mashaka ni jamaa yangu sana anafanya biashara ya Magari.(mashaka si jina lake halisi) anaishi kwenye apartment flan huko kijitonyama. Amekuwa akilalamika sana kuwa mmoja ya jamaa wanaoishi naye...
PART 1
Kuna ukweli mmoja usiofichika wala kupingika kwamba watu wengi sana wanapenda kazi ya ushushushu, yaani Uafisa Usalama wa Taifa.Hiyo sio kwa Tanzania pekee bali sehemu nyingi duniani...
Udanganyifu wa Kujitawala
Hakuna mwanadamu, anayefungwa na akili pekee, anayeweza kushinda mipasuko ya uwepo kwa kutumia akili yake peke yake.
Tunadhani kwamba maarifa, nidhamu, au nguvu ya nia...
Salute mate;
Wanasemaga kwamba many of our battles we fight don’t exist, we make them exist because we create our own Demons. Kwamba mambo mengi yasiyo kawaida tunayoyaona hua sio halisi ila ni...
ORODHA YA WAKURUGENZI WAKUU WA 'TISS' TANGU UHURU.
Idara ya usalama wa Taifa (TISS) imeundwa kwa sheria ya bunge namba 15 ya mwaka 1996 (Tanzania Intelligence and Security Service act No. 15 of...
Mnakumbuka alipofariki msanii maarufu wa filamu Tanzania Steven Kanumba liliibuka wimbi la vijana wengi wengine wakiwa na lafudhi za nchi jirani waliokuwa wakikusanya watu na kuelezea habari za...
Abstract
This thesis examines the shift from a symbolic and spiritual interpretation of the Bible to a literalist reading that has become prominent in modern science and theology. I argue that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.