Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni...
9 Reactions
92 Replies
7K Views
UTANGULIZI. Mkutano unao address mabadiliko ya hali ya hewa,COP26, umekuwa unaendelea Glasgow.Tunaloaminishwa ni kwamba sisi Wanadamu ndio tunaohusika kwa kiwango kikubwa na hali hii kwa kukata...
13 Reactions
273 Replies
24K Views
Wengi mmesoma au mnakumbuka miaka ile ya vita baridi kati ya USA na Soviet Union na kuletea hali ya kuwa na wasiwasi pengine vita ya 3 ya dunia ingetokea. Pamoja na kuja kutokea nyufa katika...
15 Reactions
36 Replies
11K Views
Mengi yamezungumzwa kuhusu ujenzi wa hilo Bwawa. La hivi karibuni ni pale Waziri husika alipodai mkondrasi wa ujenzi, ambaye ana utaalamu, ujuzi, uzoefu na uwezo mkubwa, ati hana mtambo wa kubeba...
29 Reactions
73 Replies
56K Views
Serikali ya Russia inaongozwa na MTU mmoja mwenye nguvu sana(Putin) kama alivyokuwa kiongozi wao aliyeipaisha sana Russia baada ya vita kuu ya dunia, Stallin. Russia imeingia katika uongozi wa...
13 Reactions
74 Replies
12K Views
Mara nyingi michango ya wanawake katika sekta muhimu kama Teknolojia na sayansi haionekani lakini historia inaonesha jinsi gani wanawake walivyotoa mchango mkubwa hasa katika karne ya mapinduzi ya...
19 Reactions
73 Replies
14K Views
Hili Ni tukio la kweli katika Maisha halisi. Siku ya November 24 mwaka 1971, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mji wa Portland jamaa aliyevaa suti nyeusi na koti refu jeusi kwa juu akiwa...
12 Reactions
24 Replies
9K Views
Wakubwa wa hili jukwaa heshima kwenu, Katika kuperuzi kwangu mtandaoni nimekutana na mjadala mzito kuhusiana na kifo cha Mrembo maarufu aliyepata kutokea huko Marekani bibie Marilyn Monroe...
14 Reactions
202 Replies
46K Views
Habari za jioni wana JF mada ya leo ni sensitive kidogo hivyo ningependa tuisome kwa umakini,tujifikirishe na tujadiliane kwa mapana bila kashfa za kidini,kejeli,matusi,hasira n.k maana mada hii...
69 Reactions
413 Replies
73K Views
Khabari zenu wana JF, shikamoni wakubwa! Me nasumbuliwa na hili suala mda mrefu sasa. Aries ndo nyota yangu ila ninajaribu kufatilia hii nyota sijapata ufafanuzi wa kutosha kwetu sisi wanaume...
2 Reactions
103 Replies
73K Views
Take some time to read, its worth reading , Please share after reading...... STORY BEHIND YOUR DATE OF BIRTH !!!! Interesting !! Hey this is really true and see it will work for you too If U...
71 Reactions
543 Replies
128K Views
Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo. Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao...
5 Reactions
348 Replies
16K Views
Kuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu. Ukiangalia movement ambazo Mungu...
14 Reactions
93 Replies
7K Views
Taifa namba moja ulimwenguni, lenye nguvu kubwa kiuchumi na kijeshi. Ambapo ni mfano kwa maitaifa mengine unafikiri ni kwa namna gani kiongozi wa taifa hilo anasafiri. Safari moja ya rais wa...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
Jana Rais wa Marekani Joe Biden kampigia simu Rais wa Ukraine na kumweleza kuwa awe na amani na asihofu vitisho vya Urusi baada ya Urusi kuweka vikosi vya kijeshi kwenye mpaka wa Ukraine, Rais Joe...
34 Reactions
92 Replies
14K Views
Jicho la tatu! Kwa nini maandiko kwenye biblia yalieza kuumbwa kwa mtu kabla ya siku saba ambazo alimaliza kuumba.mwanzo 1:26-31 Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa...
6 Reactions
104 Replies
20K Views
Sodoma na Gomorrah ni miji iliyokuja kuangamizwa kwa sababu wakazi wake walifanya kufuru ya starehe mpaka kumsahau Mungu kabisa....na kibaya zaidi ni ile dhambi ya kutenda kinyume na maumbile...
80 Reactions
414 Replies
98K Views
Kama nilivyo ahidi Huu ni mwendelezo wa mada ya kuwajua viumbe hawa, kabla hujasoma hii ni vyema ukasoma mada yangu inahusu Wananiuliza Devil ni nani. Baada ya kumjua devil ni zamu ya lucifer...
33 Reactions
182 Replies
26K Views
1. JUA KUISHIWA NA ENERGY YAKE INAYOTOA MWANGA. Kumbuka jua inatumia nguvu ya kinyuklia (Fusion and Fission energy) kati ya Hydrogen na Helium zilizo katika Core yake katika kutengeneza joto na...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Tukirejea katika utawala wa Roman Empire nguvu yao kubwa ilikua imebase sana kwenye misingi ya sheria na nguvu ya kiuchumi (kama ilivyo marekani leo hii) Waliitajika watu wakweli na wawazi katika...
6 Reactions
46 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…