Kuumbwa kwa Adam na Eva mbona kunajichanganya kwenye maelezo ya mwanzo

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
IMG_7349.jpg


Jicho la tatu!
Kwa nini maandiko kwenye biblia yalieza kuumbwa kwa mtu kabla ya siku saba ambazo alimaliza kuumba.mwanzo 1:26-31

Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

Mwanzo 1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

Mwanzo 1:29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;

Mwanzo 1:30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.

Mwanzo 1:31 Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.

Ukija mwanzo 2
Unaona Mwanzo 2:2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.

Lakini cha kushangaza baada ya kumaliza biblia mwanzo 2 ina taja kuwa baada ya siku saba
Mwanzo 2:3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Je baada ya kumaliza
Mwanzo 2:7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Mwanzo 2:8 BWANA Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.

Hapo mwanzoni kuna mtu aliumbwa kabla ya siku saba!
Na kuacha kutafakari
 
Ni kweli uumbaji wa mwanadamu ulifanyika sku ya sita , wote wawili Adam na Eva waliumbwa sku ya sita Ila Kwa masaa or nyakat tofaut, mwanzo 2 inamchukulia binadamu kama mtu special na hvyo inatoa maelezo yake Kwa kina kidog kuhusu uumbaji wake ... Hata hvyo ukweli upo pale pale biblia ni ngumu mkuu ,ina maswali mengi yenye utata , na hakuna binadamu yyte wa kukuelezea ukaelewa Kwa usahihi hata awe mchungaji Nani .... Cha msingi ni kuamin Tu Mungu yupo na kujitahd kutimiza matakwa yake , yakikushinda unapiga chini mana tupo duniani na wokovu ni kama kucheza kamari
 
Kwa kuongezea alichosema Slowly ni kuwa Biblia sio kitabu cha Mungu kwa maana Mungu hajaandaa Biblia

Biblia ni mkusanyiko wa hadithi zenye mafundisho yanayotoa Muongozo jinsi ya Binadam kuishi na kutenda yale jinsi Mungu anavyotaka waja wake watende.. rejea Mstari wako wa kuwa Mungu alisema amfanye mtu akatawale Dunia na wanyama.. hapo inakuonyesha kuwa kuna Muongozo alitoa

So Hadithi hizi za kimafundisho zimekusanywa na kuandikwa na hao Ancestors wetu katika vipindi tofauti..

Mfano: Agano la kale inasemekana vitabu 5 vya mwanzo vimeandikwa na Musa .. ila
kiuhalisia Haiwezekan sababu Musa alikufa kabla hawajaingia KAANANI. so katika hali ya kawaida kuna matukio baadae hakuwepo.. ila ndugu yake ndie alikuwepo

wataalam wa historia za Dini wanakwambia kila mwandishi aliandika kutokana na utashi wake plus uelewa pamoja aina ya ujumbe anaotaka kufikisha na kwa hali ya kibinadam si rahisi kuwe na mtiririko sahihi 100% . ukiongeza na tafsiri zinazofanyika.. utakuta manuscript za Biblia ziko kwenye kiebrania au kilatini.. had umesoma ww kiswahili aliekuja kukuletea hapa tanzania ni mzungu ambaye kasoma ya kingereza iliotafsiriwa kutoka kilatini walioitafsir kutoka manuscript za kiebrania.

kwa wataalam wa lugha utaona kuna uwezekano mkubwa wa makosa ya kitafsiri sababu utajiri wa maneno kwenye lugha unatofautiana.. mfano kiswahili una mjomba, shangaz,baba mkubwa, baba mdogo... ila kingereza hao wote ni uncle na Aunt.. sasa jaribu chukua hadith ya kingereza yenye uncle na Aunt iweke kwenye kiswahili.. kama mwandishi hakufafanua mahusiano ya huyo uncle kwa undan ww utajua ni mjomba amaana yake ndugu wa kuzaliwa upande wa mama kumbe ni baba mdogo

So hata kwenyw Agano jipya kuna lugha gongana sababu waandishi ni tofauti ingawa wote kuanzia Mathayo hadi ufunuo wa yohana.. wanazungumzia maisha ya yesu na kuja kwake tena.. ila kila mtu kaandika kwa utashi wake kuna maelezo yapo huku na huku hayapo..


Hata kwa Waislam ambao wanaamin Quran ni kitabu kilichoshushwa kutoka kwa Mungu. ingawa Quran yenyewe imeandikwa zaid ya miaka 200 toka mtume afe na wao pia wanashida ya tafsiri tena huko ndo even worse..

mpaka imebid hao maswahaba wa mtume watengeneze tafsiri ( kina Sahil al bukhari)ili uweze kuelewa maneno ya kwenye quran.. hizo tafsir ndo zinaitwa Hadith za mtume maana. yake ni hadith za kuhusu maneno ya mtume na matendo yake wakati anaishi alipokuwa anatafsir maono yabaya za quran. mfano hakuna aya kwenye Quran inayotaka watu kusali mara tano kwa siku utaona imetoka kwenye Hadith ya mtu
na safari yake ya mbingun

ingawa kuna debate kati ya waislam .. ukiacha Shia na Sunni ambao wao wanakwambia bila
Hadith huwez kuielewa Quran .. ila
kuna kundi la watu linaitwa Quranist wao wanadai Quran inajitosheleza na wanasema Sunni na Shia ndo wanaocorupt Quran


any way nilikuwa nataka kukuonyesha kuwa Dini ni Iman ya kile unachoamin.. so usichanganyqe na vitabu vilivyoandikwa na binadam waliotangulia hakuna mkamilifu chini ya jua.. lakin muhimu ni kuielewa concept...

Dini zote concept yao ni moja.. Do good deeds .. hata yesu alisema Upendo ndo karama kubwa na Dini kubwa ya kuifata maana ndan ya upendo kuna yote mema yaliobaki... kuanzia amani. kujitoa .. furaha na mengineyo. hata mababu zetu ma dini zao za kuabudu miti bado concept ilikuwa ile ile tenda wema
 
View attachment 1834570
...
Hapo mwanzoni kuna mtu aliumbwa kabla ya siku saba!
Na kuacha kutafakari

Mkuu chizcom usiisome Biblia kichizi kama vile ni kitabu cha Hadithi.

Kitabu cha Mwanzo, Sura ya Kwanza, inahusu uumbaji wa Mbingu na nchi na mtawala wa uumbaji huo, ambaye ni mtu kwa mfano wake Mungu. Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba (Mwanzo 1:26, 27).

Baada ya uumbaji huo, Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.(Mwanzo 1:31).

Kitabu cha Mwanzo, Sura ya Pili, inafafanua sababu kuu za uumbaji huo. hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi (Mwanzo 2:5).

Huyo mtu wa kwanza aliyeumbwa, inaelezwa kuwa Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza (Mwanzo 2:7,15).

HAKUNA mkanganyiko wowote katika Biblia.
 
Mkuu chizcom usiisome Biblia kichizi kama vile ni kitabu cha Hadithi.

Kitabu cha Mwanzo, Sura ya Kwanza, inahusu uumbaji wa Mbingu na nchi na mtawala wa uumbaji huo, ambaye ni mtu kwa mfano wake Mungu. Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba (Mwanzo 1:26, 27).

Baada ya uumbaji huo, Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.(Mwanzo 1:31).

Kitabu cha Mwanzo, Sura ya Pili, inafafanua sababu kuu za uumbaji huo. hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi (Mwanzo 2:5).

Huyo mtu wa kwanza aliyeumbwa, inaelezwa kuwa Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza (Mwanzo 2:7,15).

HAKUNA mkanganyiko wowote katika Biblia.

Mwanzo 1 na mwanzo 2 kuna tatizo.sio mimi niliendika
 
Ni kweli uumbaji wa mwanadamu ulifanyika sku ya sita , wote wawili Adam na Eva waliumbwa sku ya sita Ila Kwa masaa or nyakat tofaut, mwanzo 2 inamchukulia binadamu kama mtu special na hvyo inatoa maelezo yake Kwa kina kidog kuhusu uumbaji wake ... Hata hvyo ukweli upo pale pale biblia ni ngumu mkuu ,ina maswali mengi yenye utata , na hakuna binadamu yyte wa kukuelezea ukaelewa Kwa usahihi hata awe mchungaji Nani .... Cha msingi ni kuamin Tu Mungu yupo na kujitahd kutimiza matakwa yake , yakikushinda unapiga chini mana tupo duniani na wokovu ni kama kucheza kamari
Baada ya Bible Mungu alileta Quran na kuweka sawa yaliyokua kwenye Bible.
Isome Quran utaelewa kila kitu Duniani
 
Katika nadharia ya uumbaji wa binadamu kuna accounts mbili ambazo zote zinaelezea na kukamilishana:

• Account ya kwanza inaelezea uumbaji wa Mungu kwa kutamka tu na kitu kikatokea.
• Account ya pili inatuelezea hatua kwa hatua namna uumbaji wetu ulivyotokea kwenye udongo.

Vyovyote vile; lengo la mwandishi/waandishi ni kutuelezea namna mwanzo wetu ulivyopatikana. Hakuna mkanganyiko na wote wapo sahihi. Sisi sote tumeumbwa na Mungu mmoja na asili ya miili yetu ni mavumbi - udongo.
 
Kwa kuongezea alichosema Slowly ni kuwa Biblia sio kitabu cha Mungu kwa maana Mungu hajaandaa Biblia

Biblia ni mkusanyiko wa hadithi zenye mafundisho yanayotoa Muongozo jinsi ya Binadam kuishi na kutenda yale jinsi Mungu anavyotaka waja wake watende.. rejea Mstari wako wa kuwa Mungu alisema amfanye mtu akatawale Dunia na wanyama.. hapo inakuonyesha kuwa kuna Muongozo alitoa

So Hadithi hizi za kimafundisho zimekusanywa na kuandikwa na hao Ancestors wetu katika vipindi tofauti..

Mfano: Agano la kale inasemekana vitabu 5 vya mwanzo vimeandikwa na Musa .. ila
kiuhalisia Haiwezekan sababu Musa alikufa kabla hawajaingia KAANANI. so katika hali ya kawaida kuna matukio baadae hakuwepo.. ila ndugu yake ndie alikuwepo

wataalam wa historia za Dini wanakwambia kila mwandishi aliandika kutokana na utashi wake plus uelewa pamoja aina ya ujumbe anaotaka kufikisha na kwa hali ya kibinadam si rahisi kuwe na mtiririko sahihi 100% . ukiongeza na tafsiri zinazofanyika.. utakuta manuscript za Biblia ziko kwenye kiebrania au kilatini.. had umesoma ww kiswahili aliekuja kukuletea hapa tanzania ni mzungu ambaye kasoma ya kingereza iliotafsiriwa kutoka kilatini walioitafsir kutoka manuscript za kiebrania.

kwa wataalam wa lugha utaona kuna uwezekano mkubwa wa makosa ya kitafsiri sababu utajiri wa maneno kwenye lugha unatofautiana.. mfano kiswahili una mjomba, shangaz,baba mkubwa, baba mdogo... ila kingereza hao wote ni uncle na Aunt.. sasa jaribu chukua hadith ya kingereza yenye uncle na Aunt iweke kwenye kiswahili.. kama mwandishi hakufafanua mahusiano ya huyo uncle kwa undan ww utajua ni mjomba amaana yake ndugu wa kuzaliwa upande wa mama kumbe ni baba mdogo

So hata kwenyw Agano jipya kuna lugha gongana sababu waandishi ni tofauti ingawa wote kuanzia Mathayo hadi ufunuo wa yohana.. wanazungumzia maisha ya yesu na kuja kwake tena.. ila kila mtu kaandika kwa utashi wake kuna maelezo yapo huku na huku hayapo..


Hata kwa Waislam ambao wanaamin Quran ni kitabu kilichoshushwa kutoka kwa Mungu. ingawa Quran yenyewe imeandikwa zaid ya miaka 200 toka mtume afe na wao pia wanashida ya tafsiri tena huko ndo even worse..

mpaka imebid hao maswahaba wa mtume watengeneze tafsiri ( kina Sahil al bukhari)ili uweze kuelewa maneno ya kwenye quran.. hizo tafsir ndo zinaitwa Hadith za mtume maana. yake ni hadith za kuhusu maneno ya mtume na matendo yake wakati anaishi alipokuwa anatafsir maono yabaya za quran. mfano hakuna aya kwenye Quran inayotaka watu kusali mara tano kwa siku utaona imetoka kwenye Hadith ya mtu
na safari yake ya mbingun

ingawa kuna debate kati ya waislam .. ukiacha Shia na Sunni ambao wao wanakwambia bila
Hadith huwez kuielewa Quran .. ila
kuna kundi la watu linaitwa Quranist wao wanadai Quran inajitosheleza na wanasema Sunni na Shia ndo wanaocorupt Quran


any way nilikuwa nataka kukuonyesha kuwa Dini ni Iman ya kile unachoamin.. so usichanganyqe na vitabu vilivyoandikwa na binadam waliotangulia hakuna mkamilifu chini ya jua
Umemaliza mkuu nimekuelewa sana hasa ulipogusia kuhusu Swala kwenye uislaam
 
Maandiko yametoka katika vyanzo viwili,hata habari ya noah ukiifuata inakinzana,
Israel kingdom waliabudu El. Na Judah kingdom waliabudu Yahwew,
Hizi nchi mbili zilikua adui,
Baada ya israel na syria kurevolt agaisnt superpower ya wakati ule,Asyrian empire,,
Walijaribu kushawishi Judah kingdom waungane nao,,mfalme ya yudah,akagoma,
Israel na syria,wakaishambulia yudah,
Mfalme wa yudah,akaomba msaada Asyria,
Ambao walikuja na kuuharibu utawala wa israel na syria na wakawachukua utumwani,
Toka hapo sasa yudah ikatakeover hadi maeneo ya israel,
Wakati wa mfalme josia,,maandiko yalikusanywa toka pande zote Elihism na Yawhism na kuunganisha maandiko,
Shida hawakuwa na wataalamu wazuri wa Editing,,
Ndo kisa cha maandiko kupingana,ikiwemo kitabu cha Mwanzo
 
Hapana. Hakijajichanganya.
Sura 1 ya kitabu cha Mwanzo ni summary ya uumbaji wa viumbe.
Unapoanza mwanzo 2 unapata details za namna uumbaji wa viumbe ulivyokuwa.

Ipo kanuni kwa biblia inaitwa
Repeat and enlargement
 
Kwa kuongezea alichosema Slowly ni kuwa Biblia sio kitabu cha Mungu kwa maana Mungu hajaandaa Biblia

Biblia ni mkusanyiko wa hadithi zenye mafundisho yanayotoa Muongozo jinsi ya Binadam kuishi na kutenda yale jinsi Mungu anavyotaka waja wake watende.. rejea Mstari wako wa kuwa Mungu alisema amfanye mtu akatawale Dunia na wanyama.. hapo inakuonyesha kuwa kuna Muongozo alitoa

So Hadithi hizi za kimafundisho zimekusanywa na kuandikwa na hao Ancestors wetu katika vipindi tofauti..

Mfano: Agano la kale inasemekana vitabu 5 vya mwanzo vimeandikwa na Musa .. ila
kiuhalisia Haiwezekan sababu Musa alikufa kabla hawajaingia KAANANI. so katika hali ya kawaida kuna matukio baadae hakuwepo.. ila ndugu yake ndie alikuwepo

wataalam wa historia za Dini wanakwambia kila mwandishi aliandika kutokana na utashi wake plus uelewa pamoja aina ya ujumbe anaotaka kufikisha na kwa hali ya kibinadam si rahisi kuwe na mtiririko sahihi 100% . ukiongeza na tafsiri zinazofanyika.. utakuta manuscript za Biblia ziko kwenye kiebrania au kilatini.. had umesoma ww kiswahili aliekuja kukuletea hapa tanzania ni mzungu ambaye kasoma ya kingereza iliotafsiriwa kutoka kilatini walioitafsir kutoka manuscript za kiebrania.

kwa wataalam wa lugha utaona kuna uwezekano mkubwa wa makosa ya kitafsiri sababu utajiri wa maneno kwenye lugha unatofautiana.. mfano kiswahili una mjomba, shangaz,baba mkubwa, baba mdogo... ila kingereza hao wote ni uncle na Aunt.. sasa jaribu chukua hadith ya kingereza yenye uncle na Aunt iweke kwenye kiswahili.. kama mwandishi hakufafanua mahusiano ya huyo uncle kwa undan ww utajua ni mjomba amaana yake ndugu wa kuzaliwa upande wa mama kumbe ni baba mdogo

So hata kwenyw Agano jipya kuna lugha gongana sababu waandishi ni tofauti ingawa wote kuanzia Mathayo hadi ufunuo wa yohana.. wanazungumzia maisha ya yesu na kuja kwake tena.. ila kila mtu kaandika kwa utashi wake kuna maelezo yapo huku na huku hayapo..


Hata kwa Waislam ambao wanaamin Quran ni kitabu kilichoshushwa kutoka kwa Mungu. ingawa Quran yenyewe imeandikwa zaid ya miaka 200 toka mtume afe na wao pia wanashida ya tafsiri tena huko ndo even worse..

mpaka imebid hao maswahaba wa mtume watengeneze tafsiri ( kina Sahil al bukhari)ili uweze kuelewa maneno ya kwenye quran.. hizo tafsir ndo zinaitwa Hadith za mtume maana. yake ni hadith za kuhusu maneno ya mtume na matendo yake wakati anaishi alipokuwa anatafsir maono yabaya za quran. mfano hakuna aya kwenye Quran inayotaka watu kusali mara tano kwa siku utaona imetoka kwenye Hadith ya mtu
na safari yake ya mbingun

ingawa kuna debate kati ya waislam .. ukiacha Shia na Sunni ambao wao wanakwambia bila
Hadith huwez kuielewa Quran .. ila
kuna kundi la watu linaitwa Quranist wao wanadai Quran inajitosheleza na wanasema Sunni na Shia ndo wanaocorupt Quran


any way nilikuwa nataka kukuonyesha kuwa Dini ni Iman ya kile unachoamin.. so usichanganyqe na vitabu vilivyoandikwa na binadam waliotangulia hakuna mkamilifu chini ya jua.. lakin muhimu ni kuielewa concept...

Dini zote concept yao ni moja.. Do good deeds .. hata yesu alisema Upendo ndo karama kubwa na Dini kubwa ya kuifata maana ndan ya upendo kuna yote mema yaliobaki... kuanzia amani. kujitoa .. furaha na mengineyo. hata mababu zetu ma dini zao za kuabudu miti bado concept ilikuwa ile ile tenda wema
Ndugu limit maelezo yako kwenye vitu unavyovijua tu. Hatari kuandika kwa ujasiri uongo!
Ujinga sio dhambi!
 
Yani hizi hadithi zina changanya sana mbona miujiza yenye walitenda watu wa kale siku izi watu awatendi tena.
Atendaye miujiza ni Mungu Roho Mtakatifu kupitia watu. Hata leo ipo ikiwemo uumbaji wa ajabu, uhai wa ajabu ulionao pamoja na teknolojia hii tunayoitumia humu - ni muujiza wa kisayansi. Na Mungu ndiye aliyeumba sayansi.

Hata tu kupona ugonjwa uliowahi kukupata ni muujiza! Mshukuru Mungu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1834570

Jicho la tatu!
Kwa nini maandiko kwenye biblia yalieza kuumbwa kwa mtu kabla ya siku saba ambazo alimaliza kuumba.mwanzo 1:26-31

Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

Mwanzo 1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

Mwanzo 1:29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;

Mwanzo 1:30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.

Mwanzo 1:31 Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.

Ukija mwanzo 2
Unaona Mwanzo 2:2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.

Lakini cha kushangaza baada ya kumaliza biblia mwanzo 2 ina taja kuwa baada ya siku saba
Mwanzo 2:3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Je baada ya kumaliza
Mwanzo 2:7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Mwanzo 2:8 BWANA Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.

Hapo mwanzoni kuna mtu aliumbwa kabla ya siku saba!
Na kuacha kutafakari
Nimeangalia na kusoma hayo maandiko sijaona sehemu inayo onyesha ya kuwa Mtu aliumbwa katika siku hizo saba yaani kabla ya siku saba.

Nilicho kiona ni kile cha mwisho kutangulizwa katika usimuliaji. Maana yake baada ya kuumbiwa mabustani,miti,wanyama akaumbwa yeye Mwanadamu avitawale vitu hivyo.
 
Back
Top Bottom