Tofauti Kati ya Dini Na sayansi/filosofi kuhusu Sababu ya Sisi kuwepo duniani Na Nani ametuleta mahali hapa Ni Moja:
Approach ya Dini katika kuelezea Sababu yetu kuwa hapa duniani inaanzia kwenye...
Habarini waungwana,Leo tena mbele yenu huku nikiwa na swali nyeti kidogo ambalo limejikuta tu likilanda kwenye fikra zangu!..
Je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji kumbukumbu...
Habari wakuu,
Huu mjadala ni mpana sana na upo tangu miaka mingi sana, nitaeleza nadharia ya uwepo wa mbingu na Mungu jinsi ulivyoibuka, nitatumia mifano ya sasa na ya kale ili niweze kueleweka...
Kuna makundi mengi ya siri ambayo ni hatari sana kama KNIGHTS OF MALTA, KNIGHTS OF EULOGIA (SKULL AND BONES), KNIGHTS OF COLUMBUS, KNIGHTS OF MALTA
Japo Kundi hatari zaidi ni The Jesuits ambao...
Nimeleta uzi huu kwa sababu watu wengi humu waalihitaji kupata maelezo ya Blue Beam project pale walipoona nimewaelezea kuhusu Cern Project.
Mwanajamvi, kama una mchango unaweza kuchangia kwenye...
Kuna tetesi nimeisikia mahali, kuhusu uwezekano wa Kampuni ya Uwindaji ya Ortello Business Company (OBC), kuongezwa kinyemela mkataba wa umiliki wa vitalu vya Uwindaji huko Loliondo.
Mkataba...
Sina uhakika, maana nahisi labda mshana jr atakua ameshawaandikia hili, kama ndivyo basi iunganishwe tu maana hakutakua na namna tena.
Miaka hiyo huko vijijini kulikua na masimulizi ya kila aina...
Ivi ni 'Kua' makini au ni 'Kuwa' makini....anyway
Siku zote tambua kwamba Kuwa Mwema sio kutenda mema, kuwa mwema ni kutokuwaza mabaya kwani wanaotenda mema asilimia kubwa sio wema ni wahuni...
HISTORIA YA TAIFA LA ISRAEL TANGU 1948 NA VITA VITA KUU ILIZOPIGANA.
UTANGULIZI
Katika karne ya 19 idadi kubwa ya Wayahudi waliishi katika maeneo kadhaa ya Milki ya Urusi yaliyotwaliwa na milki...
Kumekuwepo na malumbano ya hoja juu ya Mungu yupo au hayupo mara Mungu hivi mara Mungu vile, sasa leo mdukuzi wa masuala ya kiroho nataka nikupe udambwiudambwi wa kiroho samahani ambao nitakuwa...
Habari!
Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu.
Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani...
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel.
Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe...
"Vultures fly", Tai wanaruka, kwa nini Tai wana ruka , hapa naangazia jinsi gani Tai wanavyoruka na kutua sehemu ulipo mzoga na kuruka na kile walichokiona kina thamani kwao. Tai hawa ni baadhi ya...
Wasalaam,
Katika wale wote tunaofuata Iman ya Mungu mmoja ama mafundisho yanayofanana na kutofautiana katika sehemu chache
Haswa katika dini kuu Uislam ,Ukristo na Uyahudi.
Katika pande zote...
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni...
Dola ya Rumi au unaweza kuiita Roman Empire ni moja ya falme nne zenye nguvu zilizo tokea kuitawala duniani kama ilivyo tabiriwa kutoka kwenye maandiko matakatifu. Soma kitabu cha (Danieli sura...
Hebu leo tulijadili hili kwa mapana yake Luciferianism na Satanism kwa kuwa wengi huwa tunachanganya tukidhani ni kitu kimoja lakini chenye majina tofauti, lakini kiukweli ni vitu viwili tofauti...
Kwa vizazi vyetu vya Siku hizi , imekua ni ngumu mno kufuatilia mambo ya ukoo /Mizimu, huku wengi tukiita ni mapepo wachafu ambao hatupaswi kuwa nao karibu kabisa. Na vitu hivi vimekua...
Watunzi wa biblia na vitabu vingine vya imani walijisahau na hawakujua kama Ubongo wa binadamu utakuja kuongezeka na kuanza kuhoji mambo kwa kina.
Watunzi hawa wa Biblia hawakujua kabisa kama...