ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel.
Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe ile system ili itungue kombora moja lililotoka kwa Hamas inatakiwa kurusha makombora atleats kumi ndo inapata target na kulioua kombora moja la HAMAS.
Sasa kwa staili hii naona hili naona kabisa hii system sio effiency kabisa na inawagharimu mno Waisrael.
Kwa sababu kwa data zilizopo ni kwamba HAMAS wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tsh ml 1.3 wakati Israel wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tzsh ml 80.
Kwa gharama izo kombora moja la HAMAS lenye thamani ya tz sh 1.3 linaigharimu ISRAEL Tzsh ml 800 je kwa staili hii ni nani anapata hasara zaidi
Mi naona hii air defence system IRON DOME ya ISRAEL siyo effience na uwezo wake ni mdogo sana yaani kifupi vita hii inaigharimu zaidi israel kuliko Palestina.
Hii IRON DOME bado siyo system tegemezi na bora kwa maana siku isreal akipiga a vita na nchi nyingine yenye silaha za kisasa kabisa ama yenye rocket launcher system kubwa itashindwa kuzuia makombora ama izo missle zitakazorushwa maa haya makombora ya HAMAS yanayorushwa ni local madw sasa vil ka.a wakiwa na sophiscated rocket launcher means iron dome haiwezi kuzuia so mi Naona iron dome siyo system bora saana
Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe ile system ili itungue kombora moja lililotoka kwa Hamas inatakiwa kurusha makombora atleats kumi ndo inapata target na kulioua kombora moja la HAMAS.
Sasa kwa staili hii naona hili naona kabisa hii system sio effiency kabisa na inawagharimu mno Waisrael.
Kwa sababu kwa data zilizopo ni kwamba HAMAS wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tsh ml 1.3 wakati Israel wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tzsh ml 80.
Kwa gharama izo kombora moja la HAMAS lenye thamani ya tz sh 1.3 linaigharimu ISRAEL Tzsh ml 800 je kwa staili hii ni nani anapata hasara zaidi
Mi naona hii air defence system IRON DOME ya ISRAEL siyo effience na uwezo wake ni mdogo sana yaani kifupi vita hii inaigharimu zaidi israel kuliko Palestina.
Hii IRON DOME bado siyo system tegemezi na bora kwa maana siku isreal akipiga a vita na nchi nyingine yenye silaha za kisasa kabisa ama yenye rocket launcher system kubwa itashindwa kuzuia makombora ama izo missle zitakazorushwa maa haya makombora ya HAMAS yanayorushwa ni local madw sasa vil ka.a wakiwa na sophiscated rocket launcher means iron dome haiwezi kuzuia so mi Naona iron dome siyo system bora saana