Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nimeleta uzi huu kwa sababu watu wengi humu waalihitaji kupata maelezo ya Blue Beam project pale walipoona nimewaelezea kuhusu Cern Project. Mwanajamvi, kama una mchango unaweza kuchangia kwenye...
17 Reactions
111 Replies
35K Views
Kwanini mnatuua? Kwanini mnatuua? Hatuna makosa sisi! Msituue Msituue tafadhali tuko chini ya miguu yenu ! Ohh don't kill Mee! No no! Ua wote mbwa hawa! Wapumbavu mbwa pori hawa! Polisi walijibu...
17 Reactions
94 Replies
14K Views
Kuna tetesi nimeisikia mahali, kuhusu uwezekano wa Kampuni ya Uwindaji ya Ortello Business Company (OBC), kuongezwa kinyemela mkataba wa umiliki wa vitalu vya Uwindaji huko Loliondo. Mkataba...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Sina uhakika, maana nahisi labda mshana jr atakua ameshawaandikia hili, kama ndivyo basi iunganishwe tu maana hakutakua na namna tena. Miaka hiyo huko vijijini kulikua na masimulizi ya kila aina...
40 Reactions
124 Replies
80K Views
Ivi ni 'Kua' makini au ni 'Kuwa' makini....anyway Siku zote tambua kwamba Kuwa Mwema sio kutenda mema, kuwa mwema ni kutokuwaza mabaya kwani wanaotenda mema asilimia kubwa sio wema ni wahuni...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
HISTORIA YA TAIFA LA ISRAEL TANGU 1948 NA VITA VITA KUU ILIZOPIGANA. UTANGULIZI Katika karne ya 19 idadi kubwa ya Wayahudi waliishi katika maeneo kadhaa ya Milki ya Urusi yaliyotwaliwa na milki...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kumekuwepo na malumbano ya hoja juu ya Mungu yupo au hayupo mara Mungu hivi mara Mungu vile, sasa leo mdukuzi wa masuala ya kiroho nataka nikupe udambwiudambwi wa kiroho samahani ambao nitakuwa...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari! Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu. Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel. Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe...
9 Reactions
82 Replies
11K Views
"Vultures fly", Tai wanaruka, kwa nini Tai wana ruka , hapa naangazia jinsi gani Tai wanavyoruka na kutua sehemu ulipo mzoga na kuruka na kile walichokiona kina thamani kwao. Tai hawa ni baadhi ya...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wasalaam, Katika wale wote tunaofuata Iman ya Mungu mmoja ama mafundisho yanayofanana na kutofautiana katika sehemu chache Haswa katika dini kuu Uislam ,Ukristo na Uyahudi. Katika pande zote...
8 Reactions
104 Replies
12K Views
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale. Ukweli ni...
0 Reactions
56 Replies
10K Views
Dola ya Rumi au unaweza kuiita Roman Empire ni moja ya falme nne zenye nguvu zilizo tokea kuitawala duniani kama ilivyo tabiriwa kutoka kwenye maandiko matakatifu. Soma kitabu cha (Danieli sura...
6 Reactions
103 Replies
13K Views
Hebu leo tulijadili hili kwa mapana yake Luciferianism na Satanism kwa kuwa wengi huwa tunachanganya tukidhani ni kitu kimoja lakini chenye majina tofauti, lakini kiukweli ni vitu viwili tofauti...
58 Reactions
390 Replies
71K Views
Kwa vizazi vyetu vya Siku hizi , imekua ni ngumu mno kufuatilia mambo ya ukoo /Mizimu, huku wengi tukiita ni mapepo wachafu ambao hatupaswi kuwa nao karibu kabisa. Na vitu hivi vimekua...
13 Reactions
97 Replies
29K Views
Watunzi wa biblia na vitabu vingine vya imani walijisahau na hawakujua kama Ubongo wa binadamu utakuja kuongezeka na kuanza kuhoji mambo kwa kina. Watunzi hawa wa Biblia hawakujua kabisa kama...
16 Reactions
112 Replies
10K Views
Cc Kiranga “Is God willing to prevent evil, but not able? Then he is not omnipotent. Is he able, but not willing? Then he is malevolent. Is he both able and willing? Then whence cometh evil...
2 Reactions
371 Replies
37K Views
Nje nakuamini nguvu fulani ya utendaji ktk nyanja ya utawaliwa, maisha ni halisi tena ni halisi ya uhalisia. Naandika kitu hichi lakini najua tuna makundi tofautitofauti kiufahamu, naamini sio...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Uislamu uko zaidi mashariki ya kati, uarabuni, mataifa yanayopakana na uarabuni, Afrika Kaskazini na Nusu ya Africa magharibi. Ukristo uko zaid Ulaya, Marekani ya Kusini na Kaskazini, Australia...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu Zangu nyote Habarini za Leo Someni Biblia Kwa Akili Ndugu zanguni, AChaneni na Dhana ya Mambo ya Kusubiri Roho ziwatafsirie. Dhana ambayo Bado Ni Potofu na Inayofunga Akili zenu zisitumike...
9 Reactions
361 Replies
20K Views
Back
Top Bottom