Nimeleta uzi huu kwa sababu watu wengi humu waalihitaji kupata maelezo ya Blue Beam project pale walipoona nimewaelezea kuhusu Cern Project.
Mwanajamvi, kama una mchango unaweza kuchangia kwenye...
Kuna tetesi nimeisikia mahali, kuhusu uwezekano wa Kampuni ya Uwindaji ya Ortello Business Company (OBC), kuongezwa kinyemela mkataba wa umiliki wa vitalu vya Uwindaji huko Loliondo.
Mkataba...
Sina uhakika, maana nahisi labda mshana jr atakua ameshawaandikia hili, kama ndivyo basi iunganishwe tu maana hakutakua na namna tena.
Miaka hiyo huko vijijini kulikua na masimulizi ya kila aina...
Ivi ni 'Kua' makini au ni 'Kuwa' makini....anyway
Siku zote tambua kwamba Kuwa Mwema sio kutenda mema, kuwa mwema ni kutokuwaza mabaya kwani wanaotenda mema asilimia kubwa sio wema ni wahuni...
HISTORIA YA TAIFA LA ISRAEL TANGU 1948 NA VITA VITA KUU ILIZOPIGANA.
UTANGULIZI
Katika karne ya 19 idadi kubwa ya Wayahudi waliishi katika maeneo kadhaa ya Milki ya Urusi yaliyotwaliwa na milki...
Kumekuwepo na malumbano ya hoja juu ya Mungu yupo au hayupo mara Mungu hivi mara Mungu vile, sasa leo mdukuzi wa masuala ya kiroho nataka nikupe udambwiudambwi wa kiroho samahani ambao nitakuwa...
Habari!
Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu.
Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani...
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel.
Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe...
"Vultures fly", Tai wanaruka, kwa nini Tai wana ruka , hapa naangazia jinsi gani Tai wanavyoruka na kutua sehemu ulipo mzoga na kuruka na kile walichokiona kina thamani kwao. Tai hawa ni baadhi ya...
Wasalaam,
Katika wale wote tunaofuata Iman ya Mungu mmoja ama mafundisho yanayofanana na kutofautiana katika sehemu chache
Haswa katika dini kuu Uislam ,Ukristo na Uyahudi.
Katika pande zote...
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni...
Dola ya Rumi au unaweza kuiita Roman Empire ni moja ya falme nne zenye nguvu zilizo tokea kuitawala duniani kama ilivyo tabiriwa kutoka kwenye maandiko matakatifu. Soma kitabu cha (Danieli sura...
Hebu leo tulijadili hili kwa mapana yake Luciferianism na Satanism kwa kuwa wengi huwa tunachanganya tukidhani ni kitu kimoja lakini chenye majina tofauti, lakini kiukweli ni vitu viwili tofauti...
Kwa vizazi vyetu vya Siku hizi , imekua ni ngumu mno kufuatilia mambo ya ukoo /Mizimu, huku wengi tukiita ni mapepo wachafu ambao hatupaswi kuwa nao karibu kabisa. Na vitu hivi vimekua...
Watunzi wa biblia na vitabu vingine vya imani walijisahau na hawakujua kama Ubongo wa binadamu utakuja kuongezeka na kuanza kuhoji mambo kwa kina.
Watunzi hawa wa Biblia hawakujua kabisa kama...
Cc Kiranga
“Is God willing to prevent evil, but not able? Then he is not omnipotent.
Is he able, but not willing? Then he is malevolent.
Is he both able and willing? Then whence cometh evil...
Nje nakuamini nguvu fulani ya utendaji ktk nyanja ya utawaliwa, maisha ni halisi tena ni halisi ya uhalisia.
Naandika kitu hichi lakini najua tuna makundi tofautitofauti kiufahamu, naamini sio...
Uislamu uko zaidi mashariki ya kati, uarabuni, mataifa yanayopakana na uarabuni, Afrika Kaskazini na Nusu ya Africa magharibi.
Ukristo uko zaid Ulaya, Marekani ya Kusini na Kaskazini, Australia...
Ndugu Zangu nyote Habarini za Leo
Someni Biblia Kwa Akili Ndugu zanguni, AChaneni na Dhana ya Mambo ya Kusubiri Roho ziwatafsirie. Dhana ambayo Bado Ni Potofu na Inayofunga Akili zenu zisitumike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.