Kuwa makini na watu wanaokutendea Mema

Kuwa makini na watu wanaokutendea Mema

Boss Man

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2022
Posts
458
Reaction score
995
Ivi ni 'Kua' makini au ni 'Kuwa' makini....anyway

Siku zote tambua kwamba Kuwa Mwema sio kutenda mema, kuwa mwema ni kutokuwaza mabaya kwani wanaotenda mema asilimia kubwa sio wema ni wahuni hujificha ili wasisomeke.

Samaki anayevuliwa kwa ndoano hafugwi analiwa, anayefugwa anavuliwa na wavu. Mtu yeyote anayekuvutia ili uje ni ndoano hiyo, utakula ukishakula tu umekwenda na maji.

Asili yetu ni fikra asiyekuwazia mabaya ni mwema kwako, anayekutendea mema hadi afikie hatua ya kutokuwazia mabaya ndio anakuwa mwema.

Yani Mwema ni yule asiyewaza mabaya, anayefanya Mema akiwa anawaza vibaya ni Mbaya, anayefanya mabaya akiwa anawaza Mema ni Mwema.

Mungu anatuhukumu kwa Intent (kwa Nia)

Ni hayo tu

MUNGU NI MWEMA
 
Ni kweli.Miaka ya nyuma kidogo niliwahi kumuuliza mtu,kwanini umeamua kunisaidia? Akaniangalia halafu akacheka huku akisema basi tu....nilikuja kumuelewa baadaye nilipomkumbusha hii kauli, tangu hapo urafiki wetu ulikufa hadi leo.
 
Ni kweli.Miaka ya nyuma kidogo niliwahi kumuuliza mtu,kwanini umeamua kunisaidia? Akaniangalia halafu akacheka huku akisema basi tu....nilikuja kumuelewa baadaye nilipomkumbusha hii kauli, tangu hapo urafiki wetu ulikufa hadi leo.
Kwanini urafiki uli die
 
Kwanini urafiki uli die
Jamaa alitaka kutake advantage niwe mtumwa kwake kutokana na hali niliyokuwa ninaipitia by then,si unajua maisha tena ndg yangu. Kuna wakati unakuwa katika situation unahitaji msaada ili utoke. Baada ya kumchana ukwel kuwa unanisaidia ili unipangie jinsi ya kuishi na dharau mbele za watu bora ubaki na msaada wako. Akakasirika na soon akajua nimetoka kwenye hiyo hali ndio akapotea mazima.

Kwa ufupi, hope so kidogo utakuwa umepata picha fulani hivi.
 
Jamaa alitaka kutake advantage niwe mtumwa kwake kutokana na hali niliyokuwa ninaipitia by then,si unajua maisha tena ndg yangu. Kuna wakati unakuwa katika situation unahitaji msaada ili utoke. Baada ya kumchana ukwel kuwa unanisaidia ili unipangie jinsi ya kuishi na dharau mbele za watu bora ubaki na msaada wako. Akakasirika na soon akajua nimetoka kwenye hiyo hali ndio akapotea mazima.

Kwa ufupi, hope so kidogo utakuwa umepata picha fulani hivi.
You did the right thing to tell him the truth.
 
You did the right thing to tell him the truth.
Kabisa mkuu. Fikiria anakwambia sitaki nikuone unaongea na wanawake fulani, kumbe yeye aliwataka wakampiga kibuti, nikamwambia usinipangie marafiki wa kuwa nao wewe unanisaidia tu.Nikamuuliza unakumbuka niliwahi kukuuliza kwanini unanisaidia?

Nilimaambia ukweli akaona kumbe huyu siwezi kumcontrol.
 
Back
Top Bottom