Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Mwanzo 38:9-10 Inaonyesha vile Mungu anavyothamini mbegu za kiume(shahawa) kias kwamba unapozichezea hovyo anakuadhibu, Kuna siri gani ya kiroho zaid kwenye mbegu za kiume,. wanaomwagia mdomoni...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
Habari za muda huu wana Jf. Nimuda kidogo sijaandika chochote katika jukwaa hili zaidi ya kuwa msomaji na Mchangiaji mabandiko mbali mbali. Mungu ni mwema ametupa nafasi ya kuona mwaka mwingine...
6 Reactions
24 Replies
6K Views
Katikati ya mwezi wa tano mwaka 2020, dunia ilikuwa katika sintofahamu kubwa iliyoletwa kutokana na janga la corona. Ni kipindi ambacho ratiba pamoja mienendo mingi ya wanaaajamii duniani kote...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Wajukuu zangu leo nataka niwaeleze mambo fulani, fundo ambalo limenikaa kooni mpaka nashindwa kuhema. Aliyewaroga kafa na katupa gunia chini ya bahari kukiwa na chuma kizito ndani yake kusiwe hata...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Heri ya Mwaka Mpya Wanajamii Forums wote...Natumai wote mmekuwa na holiday season ya kufana. Baada ya kimya kidogo naomba leo tumsome huyu mchuuzi maarufu kwenye tasnia ya ujasusi kwa majina...
15 Reactions
42 Replies
10K Views
Habari za muda huu jf. Tuanze moja kwa moja,tutatumia bibilia as reference pindi itakapohitajika Kama msingi kwakuwa ndio kitabu nikisomacho. Nabii Musa ni Nani? Maisha yake yanaelezewa kwenye...
3 Reactions
9 Replies
6K Views
Kwa wale ambao wamesoma biblia kiundani zaidi, mnaweza kutuelewesha wale wahalifu waliosurubiwa na yesu pale msalabani walifanya makosa gani ? Kuna mmoja alimkashfu yesu wakati wametundikwa...
11 Reactions
166 Replies
36K Views
Habari za wakati huu members wa JF Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya. Nitakoliongelea si jambo jipya...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu. Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo...
12 Reactions
85 Replies
9K Views
The world’s largest communist dictatorship, China, has invested some $168 million into efforts to control the weather, according to the World Economic Forum (WEF). The globalist “Great Reset”...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ilikuwa tarehe 25 july 2020 baada ya kuamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguuko yangu ya kila siku nakutana na baridi kali sana. Miaka mingi kidogo wakati nakua kipindi cha baridi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hapo chini ni picha za mmea uitwao muhaladari, wengine wanaita mdodoma. Kisayansi unaitwa panama berry tree. Picha ya kwanza imepigwa wakati wa usiku na nyingine wakati wa asubuhi. Kinachoonekana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
ZIFAHAMU SEHEMU SABA HATARI ZAIDI DUNIANI KATIKA MAISHA YAKO. Kwa fikra za kawaida tunadhani ya kwamba sehemu zinalindwa zaidi duniani ni Benki,Ikulu,kambi za jeshi na Bungeni labda kwa sababu ya...
12 Reactions
32 Replies
7K Views
Ukisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika...
5 Reactions
59 Replies
7K Views
Hatupaswi kuendelea kuita bara letu AFRICA na kuanza kuita jina lake halisi la ALKEBU-LAN, kama jinsi ma babu zetu walivyo kua wakiliita hapo awali, ALKEBU-LAN lenye maana ya "ASILI YA UHAI...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Artemis program ni programu ya anga za mbali ambayo inakwenda kufanyia uchunguzi mwezi 🌒. Program hii inaongozwa na NASA wakishirikiana kwa ukaribu kabisa na mashirika ya tafiti za anga kutoka...
4 Reactions
5 Replies
916 Views
First of all I want to emphasize that the following essay is a philosophical discourse on religion, it is not a religious one and therefore emphasis should be on philosophy, particularly...
1 Reactions
225 Replies
21K Views
Suala la Kifo kutokana na vitabu ya Imani vinaeleza baada ya uasi wa Edeni ndipo adhabu ya kifo au mauti ilipoanza. kwahiyo tunajifunza kwamba kama kusingekuwa na uasi wa Sheria za awali ina maana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mambo ya ajabu sana. Ni ama tunadanganywa au hatumjui vizuri huyo anayeitwa Mungu. Kuna wakati niliwahi kusema Shetani na Mungu ni marafjki sana. Kinachotokea sisi ndio tunataka...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom