Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Jana, kuna mtoto wa form 2 aliniuliza ''Nini maana ya ulimwengu?" Mimi Nikamjibu, "Ulimwengu, Ni Kila kitu kilichopo sasaivi (wewe hapo,vitu vyako vyote, watu wako wote wa karibu,watu wote wa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam wakuu... Kisa Cha Ibrahimu na Isaka kimeelezwa vizuri katika vitabu vitakatifu vya dini. Katika biblia,kitabu Cha mwanzo 22 mstari wa1-14 kinaeleza tukio la Mungu kumjaribu Ibrahimu amtoe...
11 Reactions
50 Replies
7K Views
Naomba nisaidiwe mawazo ktk hili.Miaka ya nyama katika nyumba ninayoishi lilipata kutokea tukio. Ilikuwa ni usiku wa mwisho wa mwezi ramadhan,Dada yangu ambaye ndiye mpishi wetu wa miaka yote...
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Himaya ya Misri ilianza miaka mingi sana. Ilianzishwa mwaka 3000 kabla ya kuzaliwa Yesu. Huo ulikuwa utawala wa mwanzo wa kujenga dola. Utawala wa mwanzo ukaisha mwaka 2700 hivi kabla ya Yesu...
10 Reactions
41 Replies
6K Views
1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke? 2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi...
36 Reactions
238 Replies
33K Views
Kuna uwezekano mkubwa wa kabila la Kiiraqw lilopo mkoa wa Manyara kupotea kabisa au asili ya watu hawa kupotea kabisa siku za mbeleni na hasa ukizingatia na udogo wa kabila lenyewe. Hii ni...
10 Reactions
223 Replies
90K Views
Nimekuwa muumini mkubwa sana wa kufuatilia historia ya ulimwengu pamoja na uwepo wa viumbe ama miungu hii ya ANUNNAK toka katika sayari nyingine. Maswali ninayojiuliza mpaka sasa ni kwamba...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Wala-Watu wa Tsavo walikuwa Simba wawili waliojulikana sana kwa kuwala binadamu. Simba hawa walisababisha vifo vya idadi kubwa ya wajenzi wa Reli ya Kenya-Uganda , tangu Desemba, 1898. HISTORIA...
6 Reactions
19 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa Becnel, mwandishi mashuhuri nchini Marekani anaeleza kwamba, familia ambazo zinaongoza kwa migogoro ni zile ambazo zimeundwa na wazazi ambao wana watoto wa nje ya ndoa au kwa lugha...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Special presidential division(SPD) ni kikosi maalumu cha jeshi alichounda mzee Mobutu mwenyewe mwaka 1985 kwa jukumu la kumlinda yeye na familia yake pia kushughulikia maadui wote wa mzee kwa...
21 Reactions
83 Replies
23K Views
Wakuu nimekutana sana hayo maneno katika usomaji wangu wa nyuzi mbalimbali za kijasusi hapa Kwenye kampuni yetu na nimekua nahangaika ku crack hizi code leo nikasema nisife na tai shingoni najua...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Time traveling ni ile hali ya mtu kuweza kurudi nyuma(past) ya muda au kwend mbele ya muda(future) Tuanzie hapa kwanza kwenye concept ya time is illusion ... ili pewa nguvu sana na mtaalam...
10 Reactions
175 Replies
22K Views
Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC...
6 Reactions
181 Replies
8K Views
Kwa wale Wakristo watakua na ufahamu kwamba, katika kitabu kitakatifu cha Biblia kuna mkusanyiko wa vitabu vya Agano la kale na Agano Jipya. Vitabu vya Agano la kale viliandikwa kabla ya Kuja kwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Jifunze kuwa Mbunifu. Hakuna kitu kipya sana,vitu ni vilevile,lakini kama kijana mwenye ndoto kubwa jifunze kuwa mbunifu,Usiendelee kufanya vitu kwa mazoea,Kuwa mbunifu katika kila jambo...
22 Reactions
16 Replies
3K Views
Intelligent people have a variety of features in common with one another. In this essay, we will cover everything you need to know about the subject. By adopting these mindsets, you boost your...
12 Reactions
7 Replies
3K Views
Tofauti Kati ya Dini Na sayansi/filosofi kuhusu Sababu ya Sisi kuwepo duniani Na Nani ametuleta mahali hapa Ni Moja: Approach ya Dini katika kuelezea Sababu yetu kuwa hapa duniani inaanzia kwenye...
12 Reactions
67 Replies
7K Views
Habarini waungwana,Leo tena mbele yenu huku nikiwa na swali nyeti kidogo ambalo limejikuta tu likilanda kwenye fikra zangu!.. Je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji kumbukumbu...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, Huu mjadala ni mpana sana na upo tangu miaka mingi sana, nitaeleza nadharia ya uwepo wa mbingu na Mungu jinsi ulivyoibuka, nitatumia mifano ya sasa na ya kale ili niweze kueleweka...
5 Reactions
48 Replies
6K Views
Kuna makundi mengi ya siri ambayo ni hatari sana kama KNIGHTS OF MALTA, KNIGHTS OF EULOGIA (SKULL AND BONES), KNIGHTS OF COLUMBUS, KNIGHTS OF MALTA Japo Kundi hatari zaidi ni The Jesuits ambao...
15 Reactions
60 Replies
11K Views
Back
Top Bottom