Codeboy Breezy
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 194
- 323
Nimekuwa muumini mkubwa sana wa kufuatilia historia ya ulimwengu pamoja na uwepo wa viumbe ama miungu hii ya ANUNNAK toka katika sayari nyingine.
Maswali ninayojiuliza mpaka sasa ni kwamba
Inafahamika kabisa kwamba kwa jinsi history inavyoelezea ni kwamba ANUNNAK walimuumba mtu wao wa kwanza Duniani mwenye rangi nyeusi hao wazungu ilikuwa ni matokeo ya maasi ya kufanya tendo la ndoa Kati ya mtu na mashetani. Swali langu ni kwa nini Anunnak sasa wanaruhusu mtu wao Mweusi kutawaliwa na mzungu ilhali wanao uwezo wa kumuwezesha huyu mtu Mweusi aweze kumcontrol mzungu?
Kwa nini Anunnak wanaosifika kuwa na teknolojia ya hali ya juu wasije Duniani mara moja na kumsaidia huyu mtu wao mweusi dhidi ya dhuluma na ubaguzi anaofanyiwa na wazungu (waliotokana na njia isiyo ya halali)
Naomba majibu kwa wenye ufahamu kuna jambo nataka kugundua✍️
Maswali ninayojiuliza mpaka sasa ni kwamba
Inafahamika kabisa kwamba kwa jinsi history inavyoelezea ni kwamba ANUNNAK walimuumba mtu wao wa kwanza Duniani mwenye rangi nyeusi hao wazungu ilikuwa ni matokeo ya maasi ya kufanya tendo la ndoa Kati ya mtu na mashetani. Swali langu ni kwa nini Anunnak sasa wanaruhusu mtu wao Mweusi kutawaliwa na mzungu ilhali wanao uwezo wa kumuwezesha huyu mtu Mweusi aweze kumcontrol mzungu?
Kwa nini Anunnak wanaosifika kuwa na teknolojia ya hali ya juu wasije Duniani mara moja na kumsaidia huyu mtu wao mweusi dhidi ya dhuluma na ubaguzi anaofanyiwa na wazungu (waliotokana na njia isiyo ya halali)
Naomba majibu kwa wenye ufahamu kuna jambo nataka kugundua✍️