Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
hivi umewahi kukwama kwenye mojawapo za elevator ambazo zinamilikwa na OTIS halafu ukapiga simu yao??shughuli inakuwaje katika kuja kutolewa humo ndani,,,mimi nafikiri pia serikali iangalie...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Maandamano makubwa ya kuung'oa uatawala wa king Mohammadi yameanza rasmi nchini Morocco,,shughuli pevu,je baada ya Morocco nani atafata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimekutana na habari kuwa upo utapeli wa aina yake ambao umeshawaliza watu wachache. Unahusiana na kundi linalokuja kwa lengo la kuja kupangisha nyumba na kufanya mambo lukuki hasa kwa watu wenye...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
  • Closed
Kwa muda mrefu sasa, suala kuhusu kisomo cha darasani cha Dr. Slaa na hasa PhD limejitokeza mara nyingi. Kwa namna ya pekee nimeshavutiwa kuanzisha mjadala wa tafakuri ya kina kuhusu PhD ya Dr...
2 Reactions
58 Replies
11K Views
  • Closed
Katika kumbukumbu zangu tangu matumizi ya umeme kwa mfumo wa Luku yaanzishwe nchini sijawahi kusikia huduma hii kukosekana kwa siku tatu mfululizo kama ilivyokuwa kuanzia Agosti 29-2011. Hii...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimukuwa nafuatilia falsafa na wanafalsafa kwa ukaribu sana, na minegundua kuwa wanafalsafa wengi wanahusishwa na nchi ya Ugiriki. Wanafalsafa wote wakuu wanaonekana kutokea Ugiriki, ukianzia kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Looks like the problem of power is now finished.or is just illution played by Tanesco.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu internet na teknolojia ia habari vinaendelea kuwatoa kamasi wanasiasa wanafiki. Nadhani kuanzia sasa Hilary Clinton uzuri wako wote utapukutika, by the end of this week nadhani kutakuwa...
0 Reactions
117 Replies
17K Views
Watch the below clips to get a clear understanding of the roots for HipHop music Truth Behind Hip Hop 5 (Powerful Message to All) - YouTube The Truth Behind Hip Hop 5 Sample - YouTube
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu, We would like to alert the public, especially the air travlling public about the Oil Com recently won tender to refuel aircraft in Tanzania airports, possibly replacing BP. The safety of...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nashukuru sana serikali kwa kuamua kuwakabidhi JWTZ wakawashughulikie Majangiri, dawa yao imepatikana. Askari wanyama pori na maofisa wao, walikuwa wanakula dili na hawa majangili,tunayajua hayo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
When asked to define the ideal leader, many would emphasize traits such as intelligence, toughness, determination, and vision--the qualities traditionally associated with leadership. Often left...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani mwenye taarifa za uchunguzi wa CAG kuhusu David Jairo atujuze na tuhabarisheni!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wafanyakazi TBL tunaomba serikali iingilie kati swala lililopo kati ya Management ya TBL na wafanyakazi la sivyo wazawa tutazidi kunyanyaswa ndani ya nchi yetu! Makaburu wamewatunuku madaraka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Reading from 'Business Times', a weekly News Paper, there is a a report that there an event arranged in Moscow in 2014, Winter Olympic, which neighbour, Republic of Georgia is lobbing for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, suala la ajira kwa wataalamu hasa wa afya (matibabu) ikoje ndani ya jeshi letu, mpaka inafikia kuwa na wataalamu wachache mno, hali ambayo inapelekea taifa kupoteza pesa nyingi kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
Wakati nchi ikiendelea kuelea katika mawimbi na Kimbunga cha misukosuko ya kiuchumi, kimaadili, usalama, na kitaaluma, watu tumekujikuta tukiwa katika hamaki kubwa, hatua mbali mbali...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wanajamii, Nimekutana na hii report ya one of the detailed research kuhusu hali ya maisha ya watanzania na utulivu tulionao. Kwa kweli hii report inazungumzia ukweli wa hali halisi ambao hata...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
  • Closed
Salaam wanaJF! Pata nakala ya sheria ya Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) namba 15 ya mwaka 1996. Someni kwa makini. Asante!
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Wadau Hayo ndiyo mambo ya Libya, someni afu mtafakari jinsi hii dunia ilivyo na UN yenye wenyewe (Americans and British aka World Bank na International Monetary Fund,) Lazima viongozi wa Afrika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…