Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia. Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu. Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo...
8 Reactions
275 Replies
32K Views
  • Poll Poll
(Angalia chini kwa tafasiri ya Kiingereza) Solstisi ya Kaskazini itakuwa Juni 21, wakati mhimili wa Dunia utainama kwenye bapa ya Mfumo wa Jua kwa kiasi cha nyuzi 23.5. Nusu ya kaskazini mwa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Operesheni Neptune au D-Day kama wengi wanavyoifaham (jina la operesheni ya awamu ya kwanza ktk utekelezaji wa Operesheni Overlord) lilijumuisha Marekani, Uingereza, Canada, Ufaransa na vikosi...
6 Reactions
11 Replies
3K Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapi juu kifo na uhai vyote ni kaz ya mungu baba wa mbingun aliye juu hilo halina ubishi kwa mwabadamu yeyote yule Kipi ni...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Baba wa Taifa (picha) Bendera ya Taifa Nembo ya Taifa Wimbo wa Taifa Bunge Mahakama ... na kadhalika, ambavyo ni SUPRANATIONAL
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Teknoliojia inakuwa na na kila mtu ana teknology nyumbani. Kifo cha Osama na matukio ya hivi karibuni yamefanya nijiulize maswali kuhusu kama wataalam wetu na serikali yetu unajua risk na...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Kwanza nianze kwa kusema nimepost hapa jukwaa la hoja mchanganyiko naona kule jukwaa la intelligence maboss wanachelewa kuachia Uzi hewan. Naomba mtahamishia uzi huu kule jf intelligence Habari...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Naomba kuuliza kuhusu umuhimu wa nambari 3 katika tamaduni za Kitanzania, aidha kihesabu au katika imani za watu (belief/religious systems)kwa mfano kwenye matambiko, nk. Kwa nini nadodosa hili...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
June 29, 2017 Bonn, Germany Children of dictators (1/2) | DW Documentary Fidel Castro, Augusto Pinochet, Idi Amin, Hermann Göring – what was it like to grow up as the child of one of these...
5 Reactions
31 Replies
5K Views
*GEREZA LA KIHISTORIA LA 'WATUKUFU' WA UHALIFU Unapozungumzia simulizi za kusisimua kuhusu ulimwengu wa jela na wafungwa basi huwezi kumaliza na hakika utakuwa mtovu wa nidhamu kama utaacha...
45 Reactions
58 Replies
13K Views
hello great thinkers... natanguliza shukrani kwa wasisi wa hii site,foshizzle it is very smart and enjoyable.leo nataka tufahamishane kuhusu biblia despite of religious discrepancies, i would like...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
THE deal stinks like a dead and rotting animal. Eti, the government rewarded the Tanzania International Container Services (TICTS) with an extension of its contract -- for doing a bad job! It...
1 Reactions
140 Replies
33K Views
Kutojijua Mwenyewe Mojawapo kati ya aibu kubwa ya kitabia ambayo hairekebishiki ni mtu kutoona aibu zake. Aghlabu upotofu na ubaya unatokana na ujinga na ujahili. Mara nyingi sifa na...
7 Reactions
53 Replies
9K Views
Madhara Ya Chuki, Uhasidi Na Uadui (Falsafa Binasfi) Leo nitajaribu kuelezea maradhi makubwa yanayo tusumbua wanadamu wengi kwenye nafsi zetu. Binadamu tunaye adui mkubwa kabisa ambaye tunaishi...
14 Reactions
24 Replies
14K Views
Serikali yamgeuka Reginald Mengi kwa kauli ya mapapa wa ufisadi * Waziri Sophia Simba asema Mengi kachemsha *Mkuchika naye asema wanamchunguza Ramadhan Semtawa na Leon Bahati...
0 Reactions
543 Replies
60K Views
Kama ulinunua iPhone baada ya June 2010 (iPhone 4). Basi ujue imehifadhi sehemu zote ulizowahi kwenda tokea uiwashe. Info yote hiyo imehifadhiwa kwenye faili linaloitwa consolidated.db ambalo...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii...
12 Reactions
156 Replies
22K Views
Naamini Kila mtu anajua kuwa maisha ni safari, safari yenye wingi wa changamoto za Kila Aina. Kila mmoja kapitia Mapito yenye wingi wa simulizi zenye kuleta hisia tofauti. Lakini Kwa pande wangu...
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Nilikuwa natafakari juu ya uumbaji na kushangazwa na kitu kimoja cha ajabu; viumbe vingi hata vinavyoishi mazingira tofauti na vya aina (specie) tofauti sana vimefanana kwa kuwa na macho. Vinaweza...
7 Reactions
58 Replies
19K Views
Inashangaza Tanzania kujiita Kisiwa cha amani, nchi yenye utulivu, huku tukilalamikia kuongezeaka kwa vitendo vya Uharifu kuwa kunatokana na Idadi kubwa ya wakimbizi ambao wametokana na Nchi zenye...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom