nilisoma hii ishu kwenye kitabu The dark side of Nyerere cha Ludovick Kaijage. baadhi ya sehemu anasema.
walivyokutana.
hapa akamuibia documents.
Hapa anakuta vitu vyake kwenye mikono salama.
Shirika la Ujasusi la Marekani limetoa nyaraka zenye jumla ya kurasa milioni 12 zikionyesha jinsi nchi hiyo ilivyokuwa ikiifanyia ujasusi Tanzania.
Katika nyaraka hizo zimeonye pia namna taifa la...
Habari za Asubuhi Wadau....?
Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na...
Msaada au maoni ya kitaalam kuh ujenzi wa nyumba kwenye ardhi ya udongo mfinyanzi.Nimeamua kutafakari nanyi
wenzangu wa JAMII INTELLIGENCE kwa maana ukitaka kwenda mbio lazima uagane na...
Habari wakuu..?
"no jesus no life"
Huu msemo nimekuwa nikiusikia kwa watu mbalimbali,fikra zangu zimenivuta niujadili.
Kwanza kabisa kwa nijuavyo mimi life-maisha means uhai.
Nachotaka kujua huyo...
jf
Kuna minong'ono kadhaa jinsi ya maafisa hao wanavyoweza kutambuana popote pale duniani wengine wanasema wana lugha zao wengine kwa kuangaliana tu ,wajuvi wa mambo wanijuze katika somo hili
Baada ya kuapishwa kwa Donald trump kama rais wa 45 wa nchi ya marekani,,,,watu wengi na wanachama wa jumuiya za kijasusi na kijeshi za sehem mbali mbali zilibaini kitu kisicho cha kawaida kwa...
Reincarnation ni falsafa na Imani iliyojengeka toka enzi na enzi inayoamini kuwa baada ya kifo cha mwili au roho, nafsi ya mwanadamu huanza tena maisha mengine katika mwili mpya hapa hapa...
Naomba mwenye ufahamu ama jibu MFANO ikitokea katika Uchaguzi ujao wa 2020 Rais aliyepo kama anavyofahamika ni wa awamu ya 5 akashindwa uchaguzi je atayechukua madaraka atafaa kuitwa Rais wa...
Manabii wote waliotangulia walivaa kanzu.
Halikadhalika kinamama na kinadada wema wote waliotangulia akiwepo bikra Maria walijistiri kwa vazi la heshima la hijabu.
Je vazi hili ni takatifu ...
Inasikitisha sana kuona shehena kubwa ya bidhaa mbalimbali zinaingia nchini kutokea zanzibar kimagendo. Inasikitisha zaidi kuona shehena zinazokamatwa ni tone tu ya hali halisi.
Iweje nchi...
Vodacom's elite network
Stefaans Brümmer
15 April 2007 11:59
Vodacom's connectivity -- the cellphone group's habit of choosing politicians and their friends as business partners -- extends to...
Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa...
Something interesting regarding those who believe and those who don't believe in God ! Very interesting. It stimulates our lateral thinking :
This lovely parable is from "Your Sacred Self" by Dr...
Totemism is a system of belief in which each human is thought to have a spiritual connection or a kinship with another physical being, such as an animal or plant ..
inasemekana kwa faklsafa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.