Katika karne ile ya kumi na tatu kilinzishwa chombo cha papa cha kutisha mno - yaani, ile Inkwizisheni (Inquisition) [Mahakama ya Kanisa Katoliki ya kukomesha uasi, hasa katika karne ile ya 15 na...
Habari zenu wandugu.Leo ni jumatatu najuwa wengi tupo katika mihangaiko ya kutafuta riziki ya kila siku.
Niingia katika madaDunia hii tunayoishi ilianzia wapi,nini chanzo chake,hayo ni baadhi ya...
Wakuu,
Unapofungua Agano Jipya,hasa katika zile Injili Nne,utakutana na uadui kati ya Wayahudi dhidi ya Wasamaria!
Ila ushawahi jiuliza chanzo cha ukinzani huu? Basi twende sote tupate kujua...
MCHANGO WA MAJASUSI WA KIDOLA KATIKA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA NCHINI URUSI
Katika hadithi za kijasusi za Urusi na Marekani, si kawaida kuacha kutaja majina ya 'mashujaa wa ujasusi wa urusi'...
Habari zenu....
Jamani hii imekaaje ni binti ambae tulisoma nae primary ni miaka imepita.... kwakipindi cha takribani miaka mitatu nimekuwa nikimuota saaana si kwamba labda alikuwa rafiki...
Kumekuwepo na mitazamo kwamba biblia inazungumzia wazungu na sisi waafrica we had nothing to do with the bible na wokovu wa wanadamu (for believers), wala bible haitutaji.
Leo nakuletea watu...
Ndugu zangu hamkani si shwari tena...you are being watched n monitored!take care
Uhuru wa kupashana habari umeingia kitanzini... mitandao ya kijamii imebanwa mbavu.... mada nyingi zenye kukosoa...
Ninaanzisha thread hii ili kuwakaribisha wataalamu wa Nuclear phyiscis watupe elimu kuhusu Nuclear energy.
Bomu la nyuklia hutengenezwa kutokana na madini yenye asili ya Radioactive kama vile...
March 23 mwaka 1994 tabibu mkaguzi(medical examiner) anauchunguza mwili wa marehemu Ronald Opus na kufikia maamuzi kua Ronald Opus alikufa kwa kupigwa risasi kichwani, Hii inatokana na jeraha...
Bell was a Scottish-born American scientist and inventor, most famous for his pioneering work on the development of the telephone.
Alexander Graham Bell was born on 3 March 1847 in Edinburgh and...
Wakuu,
Baada ya kuyaangalia mapigo
matano ya kwanza,ebu tumalizie
matano mengine!
Baada ya wanyama wa mwituni
na nyumbani kufa,pigo la sita
lilifuatia!
PIGO LA SITA
Musa aliyachota majivu ya...
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni...
Nilipatwa na furaha nilipo sikia kwamba twiga mwenye sifa ya kipekee ana patikana hapa Tanzania na kwamba ana uzito wa zaidi ya tani mbili wakati yule wa kawaida ana tani moja na kilo mia mbili...
Tnamfahamu Jaji Chande Othman, aliyekuwa Jaki Mkuu wa Tanzania.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amemteua kuchunguza kifo cha Katibu Mkuu wa zamani, Dag Hammarsjold, aliyeuwawa...
Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.
Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo...
(Angalia chini kwa tafasiri ya Kiingereza)
Solstisi ya Kaskazini itakuwa Juni 21, wakati mhimili wa Dunia utainama kwenye bapa ya Mfumo wa Jua kwa kiasi cha nyuzi 23.5. Nusu ya kaskazini mwa...
Operesheni Neptune au D-Day kama wengi wanavyoifaham (jina la operesheni ya awamu ya kwanza ktk utekelezaji wa Operesheni Overlord) lilijumuisha Marekani, Uingereza, Canada, Ufaransa na vikosi...
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapi juu
kifo na uhai vyote ni kaz ya mungu baba wa mbingun aliye juu hilo halina ubishi kwa mwabadamu yeyote yule
Kipi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.