Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Ilikuwa jumapili siku kama ya Leo hali ya hewa ni njema sana watoto walionekana kwa mbali wakicheza michezo ya hapa na pale niliwaangalia Kwa mda kisha nikaingia kulala ili kutuliza akili yangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iran ni nchi ya kiislam ya misimamo mikali ya kutaka kuiangamiza israel Kuna ukweli wowote kuwa wamarekani, uingereza na ufaransa walimpa sapoti khomein kuanzisha jamhuri ya kiislam ya iran Hii ni...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Bunduki iliyotaka kumuua Mpelelezi wa Tume ya Dunia John Murphy Ambilikile huko Mexico City, MP5, iliyomuua Kiongozi wa CS-Copenhagen Regner Steiner Valkendorff huko San Antonio, Murphy...
8 Reactions
95 Replies
23K Views
  • Redirect
Asili ya Neno SEPTEMBER limetokana na neno la kirumi " SEPTEM" likiwa Linamanisha saba, maana kwenye kalenda ya kirumi september ulikuwa ni mwezi wa saba. September ni mwezi wa Tisa kati ya Kumi...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mjue KAMANDA Valentine Strasser Kutoka Urais hadi Ombaomba Mtaani. DUNIANI tunajifunza na kuona vitu vingi tofauti vya kushangaza, kuogofya na kufurahisha. Wengi hawamjui Valentine Strasser...
24 Reactions
Replies
Views
Mimi binafsi nililitilia shaka suala zima la ndege ya Malaysia kutoweka angani na isipatikane kokote kwenye uso wa dunia mpaka hivi leo, bado nalitia mashaka suala hilo kwamba halina ukweli wowote...
4 Reactions
72 Replies
14K Views
Kwa mliowahi sikia naomba tuelimishane hii elimu,Nasikia kuna mji upo huko sijui wapi! wachina wanaweza kujenga mji wowote duniani kwa kutumia mabarafu yaani namaanisha unaweza ukaenda ukakuta...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamii forum ni sehemu yenye watu wa kila aina ,(wadukuzi wa mambo) vipo vitu vingi ambavyo vimepata majibu na pia wengi wamefahamu mengi sana kupitia jamii forum (hongereni wote wanaoshiriki...
19 Reactions
168 Replies
28K Views
UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa vya Papua New Guinea ambavyo vimezungukwa na bahari inayoitwa Bismarck Sea...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Let’s call a spade a spade! The “Mining Bad Boy” of Tanzania, Acacia Mining, owned 63.9% by “Mining Bigger Bad Boy”, Barrick Gold, has its few moments of goodwill whilst in parallel, they cause...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Duniani yapo mengi ambayo yanavuta hisia ukiyasikia. Wengi wetu huamini kuwa umeme umekuwa ukizalishwa kutoka katika vyanzo mbalimbali kama mashine, betri, jua na maji. Lakini amini au usiamini...
11 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Haki miliki ya pichaNASA Picha hii ya kwanza kabisa ya Mars ilipigwa na chombo kwa jina Viking 1 mwaka 1976 Sayari ya Mars imekuwa ikiwashangaza, kuwasisimua na kuwavutia binadamu kwa miaka mingi...
3 Reactions
Replies
Views
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa...
6 Reactions
74 Replies
6K Views
watu wanavyo wasifia wachawi inaonekana wachawi ni watu wenye uwezo mkubwa sana. nasikia kuna waganga wengine ukienda Kwake anakuambia usimuambie matatizo yako.yeye ndio anaanza kukuambia. jina...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Mind Control N.S.A WE Have No Secrets (Anymore) The NSA & Synthetic Telepathy: WE Have No Secrets (Anymore) Recent revelations of illegal NSA surveillance activities are no surprise to a...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Langu kwa leo ni kutaka mnisaidie kufahamu, Mh. Iddi Azan mbunge wa Kinondoni anajushughulisha na biashara gani hadi kupelekea kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana...
15 Reactions
140 Replies
32K Views
Habari wana jamvi Intelligence.. Nimeamua tushee kidgo juu ya hii siri ya namba 9 katika uumbaji na existance of human race toka uumbaji wa mwwnyezi mungu mpka kizazi tulipo sasa... Hakika namba...
1 Reactions
51 Replies
18K Views
KAMA HAUKUJUA BASI JUA KUWA 1. Kwa mujibu wascientificamerican.com, Mende anaweza kuishi kwa siku TISA bila kuwa na kichwa. 2. Kuna aina ya samaki aitwae STARFISH ambaye samaki huyo hana...
10 Reactions
45 Replies
13K Views
  • Redirect
Bado kumeendelea kuwa na sintofahamu kuhusiana na UFO's zinazoonekana sehemu mbalimbali lkn chakushangaza shirika kubwa la NASA bado halijaja na majibu ya kutosheleza kuhusu UFO hapa napatwa na...
4 Reactions
Replies
Views
Napenda kulishaur jeshi letu imara LA polisi kubidili mfumo mzima ,kuanzia wakuu wa vituo vidogo,vya kati na vya kanda maalum,ofisi za upelelezi kwa kubdili watendaji wake ,kwani naamini jeshi...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Back
Top Bottom