Kwa nini wanawake wanafanana miandiko?

100 others

JF-Expert Member
Aug 5, 2017
3,610
12,039
Kama ulibahatika kusoma shule za mchanganyikeni utagundua kwamba mara nyingi wanawake miandiko yao inafanana sana,tofauti kidogo na wanaume wanakuwa na handwritting tofauti tofauti.
Unaweza kutazama tu notes fulani ukajua either ni mwanaume au mwanamke kaandika.

Pia nadhani ulishakutana na mtu anasema fulani anaandika mwandiko wa kike!!
Chunguza ndugu zako wakike miandiko yao,au mkeo au hata rafiki wa kike utagundua kwa kiasi fulani wana fanana miandiko(in most cases).

Mfano mwandiko hapo chini nikiuliza ni jinsia gani kaandika wengi watasema ni msichana.

majibu-form4-jpg.84623



Na huu hapa mtasema ni mwanaume.

Harper-sig-660x412.jpg



Kwa nini iwe hivyo?
Wanajifunzia wapi?
Au labda ni asili au ni nini?
Inamaanisha nini?
NAWASILISHA.
 
Kwasbb wanawake wanafanana tabia. Kwahiyo ni rahisi.
Mkuu mm ni mtu wa fasihi kwahiyo umenipa wakati mgumu sana kwa ID yako. Mchicha pori unajua maana yake? Achana na maana ya msingi, nazungumzia maana ya ziada.
 
sina hakika ila nawaza tu
huenda ikawa ni misuli(hapa nazungumzia misuli ya mikononi)
kama tujuavyo misuli ya mwanamke si strong kama ya mwanaume lkn inaweza kuwa strong pia.. so huenda ushikaji wa karamu na nguvu anayotumia mwanamke pamoja na mwanaume ni tofauti kutokana na utofauti wa kimaumbile yetu,hivyo ndio maana kunakuwa na tofauti hizo..
 
Kwasbb wanawake wanafanana tabia. Kwahiyo ni rahisi.
Mkuu mm ni mtu wa fasihi kwahiyo umenipa wakati mgumu sana kwa ID yako. Mchicha pori unajua maana yake? Achana na maana ya msingi, nazungumzia maana ya ziada.

Kwani umewaza mini mkuu?
 
sina hakika ila nawaza tu
huenda ikawa ni misuli(hapa nazungumzia misuli ya mikononi)
kama tujuavyo misuli ya mwanamke si strong kama ya mwanaume lkn inaweza kuwa strong pia.. so huenda ushikaji wa karamu na nguvu anayotumia mwanamke pamoja na mwanaume ni tofauti kutokana na utofauti wa kimaumbile yetu,hivyo ndio maana kunakuwa na tofauti hizo..
Somehow umeni convince halafu nahisi pia wanawake mambo yao ni ya kuremba sana,ukitizama viatu,nguo , n.k ni watu wanaopendelea kuremba vitu vyao nahisi labda hata miandiko yao wanaremba.
Nahisi hii miandiko inaelezea kitu Fulani amabacho ni halisi either tabia n.k.
 
Kwasbb wanawake wanafanana tabia. Kwahiyo ni rahisi.
Mkuu mm ni mtu wa fasihi kwahiyo umenipa wakati mgumu sana kwa ID yako. Mchicha pori unajua maana yake? Achana na maana ya msingi, nazungumzia maana ya ziada.

Tabia gani hizo kaka hebu orodhesha hapa.
 
Siri ipo kwenye asili ya mwanamke,kufanya jambo kwa ufasaha.linaloeleweka,hata wewe mkuu ukijaribu kuandika neno "najaribu tena"kwa kuumba herufi kama ulivyofundishwa utagundundua maneno hayo yanasimama wima kabisa,au yanaegama kushoto,na kuleta taswira ile ya kike.

Lakini asili ya men huwa ni careless,n itaunganishwa na a kisha j na a tena bila kueleweka imekuwaje itaungwa na r na i.hapa huzaliwa speed moja matata ambayo taratibu hulaza mwandiko kulia.

Ukitaka kuamini hii waliofundishwa somo la mwandiko na mwalimu wa kike wanakuwa vizuri sana ktk mwandiko.
 
Somehow umeni convince halafu nahisi pia wanawake mambo yao ni ya kuremba sana,ukitizama viatu,nguo , n.k ni watu wanaopendelea kuremba vitu vyao nahisi labda hata miandiko yao wanaremba.
Nahisi hii miandiko inaelezea kitu Fulani amabacho ni halisi either tabia n.k.
Somehow umeni convince halafu nahisi pia wanawake mambo yao ni ya kuremba sana,ukitizama viatu,nguo , n.k ni watu wanaopendelea kuremba vitu vyao nahisi labda hata miandiko yao wanaremba.
Nahisi hii miandiko inaelezea kitu Fulani amabacho ni halisi either tabia n.k.
kbs,kunabaadhi ya mambo ni matokeo ya tabia/kitu fulani!
 
Back
Top Bottom