Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habarini za uzima wakuu, naomba kuleta kwenu uzi huu unaohusu mambo kidogo juu ya mchezo wa Jumanji ambao umepelekea mpaka kutolewa kwa movie mbili zenye matukio ya kufanana. Karibuni. Kwa wale...
4 Reactions
116 Replies
15K Views
Kila Taifa duniani ili lisimame imara lazima idara hii iwepo, mfano US utawakuta CIA AU NASSA, Urusi wapo KGB na kadhalika. Tunasema Malaika hasa kulingana na ugumu na upekee wa kazi yenyewe, Wao...
5 Reactions
45 Replies
15K Views
Tarehe 8, mwezi wa 8 mwaka 2005, saa tatu asubuhi ikiwa ni siku ya Jumatatu, moja ya tawi la Bank Kuu ya Brazil lililopo katika mji wa Fortaleza katika jimbo la Ceara, lilifunguliwa kama kawaida...
74 Reactions
122 Replies
28K Views
Intelijensia: Pandikizi Chochezi Source: Agent provocateur - Wikipedia Suala la Intelijensia, ujasusi na ushushushu ni kitu adhimu sana kukifahamu si tu kwa manufaa ya usalama wa nchi bali pia...
40 Reactions
60 Replies
16K Views
@From: maalim hassan Kila mtu anataka kujua namba yake ya bahati na namna ya kuitumia kwa faida yake. Baadhi ya watu wanataka kutumia namba zao za bahati kwa kupanga tarehe zao muhimu na kufanya...
4 Reactions
45 Replies
89K Views
habari wakuu . Kiukweli ninachangamoto katika utambuzi wa Tarehe yangu ya kuzaliwa na mwezi. japo mwaka unatambulika. nahii ilitokana na kutopata data kamili kutoka kwa mlezi. sasa naomba kujua...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Defection is the desertion of one's country or cause in favor of an opposing one. Edward Snowden mfanyakazi wa shirika la kijasusi la marekani alikimbia nchi yake na kwenda Russia ambapo Russians...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Kitendo cha kufundisha kipo toka enzi na enzi,kila mzazi ama mtu mzima huwafundisha watoto ama wadogo zao jinsi ya kutenda ,kufanya ama kutekeleza jambo fulani kwa utaratibu uleule. Sasa je ,ni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam wanajukwaa, Kwa mara ya kwanza nami napost mada katika jukwaa hili baada ya kuwa msomaji wa mada mbali mbali kama za kina Pasco, Mshana Jr. e.t.c. Katika jukwaa hili kumekuwa na mada...
16 Reactions
320 Replies
43K Views
Mungu na Shetani wapo katika Utashi wa kila binadamu mwenye akili timamu. Binadamu ndiyo kiumbe pekee mwenye kubeba mipango na malengo ya aliye muumba,binadamu ni kiumbe ambacho kinatekeleza...
4 Reactions
13 Replies
7K Views
Zana ya kiimani kuwa viumbe hai viliumbwa ndani ya siku moja au vimeumbwa kwenye mfumo wa theory ya evolution of life ya Charles Dawn imekanushwa kwa vitendo vya mawimbi ya program ya nguvu za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naombeni ufafanuzi hapa. Kati ya MWEZI na JUA kipi kina nguvu zaidi ya kingine? Pili wanasayansi wengi husafiri kwenda mwezini, Je! Kwa nini hawaendi kwenye jua? Pia wanasayansi hao hao...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Kombora la ajabu: Je ni silaha gani iliofanyiwa majaribio na Urusi Arctic? Hakimiliki ya pichaRUSSIAN DEFENCE MINISTRY Wahandisi watano wa nguvu za kinyuklia waliofariki kufuatia kulipuka kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa...
22 Reactions
1K Replies
104K Views
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact...
16 Reactions
236 Replies
35K Views
Ilikuwa mwaka 2011 ndipo alipoonekana kwa Mara mwisho kiongozi wa zamani wa Libya colonel GADAFI. Ni katika hotuba zake na pia akiuawa na vikosi vya waasi wakisimamiwa na NATO air Force. Lakini...
2 Reactions
28 Replies
9K Views
Historia kuu inayozingatiwa kuhusu hesabu za miaka ni ile yenye mlengwa wa kidini. ambapo historia hiyo inasema miaka 2019 ilianzia mwaka 1 ambapo Yesu kristo alipozaliwa kwa mujibu wa Dionysius...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Huyu ni mtoto wa meneja wa zamani wa NBC Urambo na mzawa wa Masasi,Ibrahim Salumu Khatau na mama yake karani wa bank ya NBC Isike Tabora na baadae Urambo Bi.Stella Ezekiel,wote ni marehemu sasa...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wale wahenga wanakumbukua ile story ya mnugu aliyekutwa Arusha miaka ya tisini. Alikuwa analima bangi kumbe alikuwa fugitive. FBI files wanasimulia mkasa wake jamaa alikuwa gang leader in states...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Majuma kadhaa yalopita, The Bold aliweza kuandika Thread inayomhusu D.B.Cooper,jamaa ambae aliweza kuiteka ndege ya Boeing mnamo mwaka 1971 na kisha kuomba apewe dollar lak 2 ambazo alipewa na...
17 Reactions
99 Replies
66K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…