Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,470
- 95,999
Kama kichwa cha HABARI kinavyosema kesho ni Friday October 13, niliwahi kusikia kuhusiana na hii siku wanasema ni siku ya kichawi au ya kimaajabu
sasa basi napenda kujua kuhusiana na hizo habari na hii siku ,wale wajuzi wa mambo karibuni
anko angu Eiyer mshana jr Mkuu wa chuo juvenile davis na wengineo karibuni hapa mtupe kidogo mkijuacho kuhusiana na hii siku ambayo kesho itakua ndio siku ya FRIDAY OCTOBER 13
sasa basi napenda kujua kuhusiana na hizo habari na hii siku ,wale wajuzi wa mambo karibuni
anko angu Eiyer mshana jr Mkuu wa chuo juvenile davis na wengineo karibuni hapa mtupe kidogo mkijuacho kuhusiana na hii siku ambayo kesho itakua ndio siku ya FRIDAY OCTOBER 13