Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,394
- 17,769
Nilitembelea wilaya ya Ulanga, nikafika tarafa ya Malinyi kata ya Igawa, kijiji cha Kiwale kitongoji cha Mkomange nikakuta kuna mtu alikuwa anawekeza kwenye kutoa huduma za tiba yaani hospitali. Huyu nimefahamishwa anaitwa Gustav Pius Mbwasi.
Pale kitongojini kuna majengo mengi yaliyogeuka kuwa makazi ya popo, yaliyokuwa tayari kwa ajili ya shughuli za hospitali. Naambiwa huyu bwana aliletewa zengwe na serekali na kumnyima kibali cha kufungua hospitali hiyo.
Kwanini serekali ilimzuia kufungua mradi huu uliokuwa na manufaa kwa wananchi?
Pale kitongojini kuna majengo mengi yaliyogeuka kuwa makazi ya popo, yaliyokuwa tayari kwa ajili ya shughuli za hospitali. Naambiwa huyu bwana aliletewa zengwe na serekali na kumnyima kibali cha kufungua hospitali hiyo.
Kwanini serekali ilimzuia kufungua mradi huu uliokuwa na manufaa kwa wananchi?