Pichani ni Kitabu Kinachoitwa Grand Grimoire, Joka Jekundu au Injili ya Shetani. Kina Maombi ya Kumuita Shetani, Kumiliki Majini au Mali. Kanisa Katoliki Limewahi Kusema Kitabu Hiki Kipo Chini Yao...
Wanabodi
Salaam;
Kwa muda hapa watu wamekuwa wakibishana juu ya uwepo wa Mungu. Wengine wakisema Mungu hayupo na wale wanaoamini uwepo wa Mungu.
Binafsi nikiunganisha hoja za wale wanaosema...
Na Thadei Ole Mushi.
Shida kubwa waliyonayo Viongozi wetu kwa Sasa ni kuongoza jamii yenye maarifa na Elimu kwa wingi.
Jamii aliyoongoza Nyerere si sawa na aliyoongoza Mwinyi. Jamii aliyoongoza...
Kundi moja la wataalamu wa anga limegundua kile linachosema kuwa ni ushahidi tosha zaidi kuwahi kupatikana kuhusu shimo jeusi lililopo angani.
Shimo hilo lilisaliti uwepo wake kwa kuitawanya...
"When these five kinds of spy are all at work, none can discover the secret system. This is called “divine manipulation of the threads.” It is the sovereign’s most precious faculty."
Ni maneno...
Nlikua natafuta interviews na documentaries za magenge ya wauza dawa za kulevya ( cartels ) YouTube. Sasa nilivoandika "interviews with " YouTube ika-suggest interview with serial killers. Prior...
Wakati mwingine upuuzi unapozidi mtu anaweza kufanya jambo bila kufikiria madhara yake hata kwake mwenyewe. Ni kama ile wapemba wanayoiita hasira za Mkizi ambazo humfanya aingie kwenye mtumbwi wa...
Habari wana Jamii Intelligence inaomba tupate kuchambua hizo fikra hapo chini
KARIBUNI SANA
Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro iliyopita...
Kwa muda mrefu, Wazungu walikuwa kupitia vitabu vya kidini wakidai kuwa binadamu wa kwanza aliishi barani Asia (na siyo Africa) kwa kuwa, wao ndio wamebarikiwa kupitia uzao wa Japheth kutumikiwa...
Sii nia yangu kutisha watu,lakini nimeona ni wajibu wangu kuwapa hili ambalo mainstream media haitaki kuiongelea kabisa!(kwa sababu mbalimbali)
WHAT IS COMING!
Tarehe 23-24-September 2015, mwaka...
Katika aina zote za uchukuaji wa taarifa kwa walengwa, watuhumiwa (suspects) au aina zote za mauaji ya kupangwa (assassinations) isipokuwa ugaidi, dawa zinaweza kutumika ipasavyo. Ikiwa muuaji...
Dhamira yangu KUU ya kuandika kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi ilikuwa kuhimiza mageuzi ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa katika Tanzania. Mageuzi haya niliyoyataka na ninayoyataka...
Je umewah kukaa sehemu ukawa unapiga story na Mungu mnacheka,mnagonga na kushauriana?
wakati mwingine dhambi zetu zinatutenga na Mungu tunaanza kuwa waoga na wenye kujishtukia, wenye chuki kwa...
Law of Attraction zina sema Ask Universe and universe will give you .
.kupitia
.frequency
.Vibration
.Energy
We attract positive & negative through our thought.
Budha say " every thing start in...
Happy Sunday
Kwetu wanasema utwa mundungu,
Ila kwa taratibu za Watanzania tunasema habari ya Jumapili.
Naamini muwazima wa afya njema kabisa
siku kadhaa niliongea mambo mawili juu ya Maajabu ya...
Preamble: Let me admit that this is the best analysis I have seen in years regarding the myth of overpopulated Africa. Please read it carefully with an open mind, and get the points straight. The...
Ujinga ni kinyume cha elimu. Huu ujinga umegawanyika sehemu mbili :
1. Ujinga ambao dhidi yake ni elimu.
2. Ujinga ambao dhidi yake ni hila
Aina zote hizi mbili nimezizingatia katika mada yangu...
DONALD Trump ni Rais wa 45 wa Marekani. Hicho cheo chake sina shida nacho. Trump ni bilionea wa dola, kwa Shilingi ya Nyerere, ni trilionea. Nina kazi muhimu leo na huo utajiri wake.
Trump ni mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.