Kuna madhara gani kwa mtu anayependa sana kusoma na kufuatilia mambo ya kiroho?

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,524
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia
 
We ni mbegu ya kwenye mawe
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia
 
Maranyingi huaga tunakuaga kama machizi hiv! Mim mwenyewe nimuathirika wahayo mambo
Ndugu unaijua Promover TV inayoendeshwa na Jactan masafiri? Maana huko ndio kuna haya madude yote au unaingia chakushangaza online pale kuna hadi ile simulizi ya zabron Gamboshi
 
Unaweza kujikuta hautimizi masuala ya duniani ukafkri ni dhambi , mfano wakat biblia karbia yote imejaa mafundisho ya kiroho lakn kitabu cha mithali kimezungumzia namna ya kuishi duniani ukikabiliana na mapambano ya uchumi na kijamii , huku kitabu cha wimbo ulio Bora kuongelea masuala ya malavidavi, ila watu Weng huwa wanaignore hvi vitabu , ndo mana wakauwaga kama mazuzu, wanashindwa kubalance mambo ....
 
Jiulize swali ,
Unapata faida gani za kiroho au za kimaisha kwao kufuatilia hizo habari?
Ukifuatilia habari za kidini unaahidiwa pepo.
Ukifuatila habari za siasa unaweza kuwa mbunge au ukapewaupambe fulani.
Ukifuatilia habari za kazi utapata ajira.
Ukimfuatilia elimu fulani ya ujuzi kama ufundi,utakuwa fundi bingwa.
Ukifuatilia biashara fulani kwa upeo huo huo utakuwa mfanya biashara mzuri sana.
Sasa ukipata jibu ,la swali langu badili mwenendo na fuatilia kitu kingine mbadala chenye tija na maisha yako.
Hao Mashetani na wachawi mwisho watakukosesha usingizi kwa ndoto mbaya mbaya na wanaweza kuku ''popobawa'' usingizini kila siku ,ukiamka asubuhi unajikuta umelowa kinyesi makalioni kwa kupigwa pipe.
epuka, huo ni uraibu wa kiujinga ni sawa na kupenda kucheza computer game kupita kiasi, hatimae unakuwa addicted.
 
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia
wanakuandaa kubeba mikoba na utozi wako daaah itakuwa noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia
muulize kigagula Mshana Jr akupe mbinu za kupokea mikoba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia
wape hi hao jamaaa kwenye avatar yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwa unatazama nini sana specifically kwenye youtube, fafanua uchawi gani
Habari Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nimejikuta nimekuwa mlevi wa kufuatilia mada za kiroho hasa zinazohusiana na masuala ya kishirikina huwa napenda kusikiliza na kujua mambo yakishirikina yanafanyikaje,
Zaidi nimejikuta hadi naingia YouTube kutafta simulizi za kusisimua na za kutisha ambazo zina ukweli zinazohusisha shuhuda za watu mbalimbali ambao waliwahi kutumika au kutumia nguvu za kichawi na kishetani na baadae wakaacha, huwa napenda kusikiliza simulizi hizo maana huwa wao wanasimulia mambo mengi sana,

Yaani nimekuwa mlevi wa simulizi za aina hizi hadi kuna marafiki zangu huwa wananikataza kuwa naweza kujikuta nakuwa mchawi kwa kufuatilia sana habari za kishirikina, huwa ninatabia ya kuingia YouTube natafta simulizi nyingi na kuzisave offline alafu nikimaliza nazima data naweka headfone nasikiliza kuanzia asubuhi hadi jioni, lakini licha ya kusikiliza simulizi nyingi na zakutisha ila cha ajabu huwa siogopi wala kushtuka hata nikiwa peke yangu, hakika huwa nafurahia sana hasa ninaposikia wakisimulia namna walivyokutana na nguvu ya mungu, kuna mda huwa napata nguvu na mawazo ya kutamani kumtumikia mungu huku nikiamini kwa mungu nitakuwa sehemu salama lakini cha ajabu kila nikipanga kwenda kanisani nashindwa, Kibaya nimeenda mbali zaidi katika simulizi hizi nimejikuta kulingana na mambo ninayosikia kupitia simulizi inanisaidia kujua baadhi ya hali flani ambazo sio za kikawaida hasa nikikutana nazo huwa ninahisi kulingana na baadhi ya simulizi nilizowahi kusikia baadhi ya watu wakielezea namna ya kutambua MTU ambae si wa kawaida na MTU ambae ni wa kawaida, lakini zaidi kinachonipa wasiwasi nimejikuta naanza kuogoa kila mzee anaekatiza mbele yangu huwa napata picha flani inajengeka kichwani mwangu ya mambo ninayoyasikia katika simulizi mbalimbali,

Nimejitahidi sana kuacha kusikiliza simulizi za namna hii na kufuatilia machapisho yanayohusu ushirikina lakini nimeshindwa kabisa yaani nikikaa bila kusikiliza huwa naskia hali ya msukumo inanituma nitafte simulizi za shuhuda za mambo ya kutisha nisikilize,

Ninachoomba kujua kwa wazoefu vipi kuna madhara yotote ninaweza kupata? Au ni namna gani naweza kuepuka huu uraibu?

Hizi ni baadhi ya simulizi nilizowahi kufuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibaha kuna kanisa moja kubwa mno watu utoka kila mkoa huenda kuiji pale mwezi wa 10 siku moja nikiwa zangu kikazi kibaha nikasema ngoja na mm wiki hii niende aisee nilienda kuona watu wanavyoiji aisee duniani kuna watu wanajua kutengeneza pesa bhana dah watu wanapiga ela balaaaaa ila sisi ni aisee nilivyoingia mule ndani kwanza kuingia tuu kumuona wao wanamwita cjui baba unacha 1000 mlangani aisee watu wanapiga ela jioni narudi zangu job nikamwambia jama zangu kuna watu wabunifu duniani hapa hatari...ckwendaga tena...

121.
 
Unaweza kujikuta hautimizi masuala ya duniani ukafkri ni dhambi , mfano wakat biblia karbia yote imejaa mafundisho ya kiroho lakn kitabu cha mithali kimezungumzia namna ya kuishi duniani ukikabiliana na mapambano ya uchumi na kijamii , huku kitabu cha wimbo ulio Bora kuongelea masuala ya malavidavi, ila watu Weng huwa wanaignore hvi vitabu , ndo mana wakauwaga kama mazuzu, wanashindwa kubalance mambo ....
Muhubiri anavyoongelea namna dunia ilivyo na kila kitu ni ubatili.
Muhubiri 7;15 Nimeona kila jambo katika siku zangu za ubatili.+ Yuko mwadilifu anayeangamia katika uadilifu wake,+ na yuko mwovu anayeendelea kuishi kwa muda mrefu katika ubaya wake.+16 Usiwe mwadilifu kupita kiasi,+wala kujionyesha kuwa na hekima kupita kiasi.+ Kwa nini ujiletee ukiwa?+17 Usiwe mwovu kupita kiasi,+ wala kuwa mpumbavu.+ Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?+ 18 Ni afadhali ushikilie upande mmoja, lakini usiachilie ule mwingine;+ kwa maana yeye anayemwogopa Mungu atatoka akiwa na zote hizo.
 
Muhubiri anavyoongelea namna dunia ilivyo na kila kitu ni ubatili.
Muhubiri 7;15 Nimeona kila jambo katika siku zangu za ubatili.+ Yuko mwadilifu anayeangamia katika uadilifu wake,+ na yuko mwovu anayeendelea kuishi kwa muda mrefu katika ubaya wake.+16 Usiwe mwadilifu kupita kiasi,+wala kujionyesha kuwa na hekima kupita kiasi.+ Kwa nini ujiletee ukiwa?+17 Usiwe mwovu kupita kiasi,+ wala kuwa mpumbavu.+ Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?+ 18 Ni afadhali ushikilie upande mmoja, lakini usiachilie ule mwingine;+ kwa maana yeye anayemwogopa Mungu atatoka akiwa na zote hizo.
Sawa, point yako ni ip chief , naona umeniquote boss
 
Back
Top Bottom