The concept of life

The concept of life

mazojms

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
1,625
Reaction score
2,545
- Binadamu anasemekana kua ndio kiumbe mwenye akili zaidi duniani lakini maana ya maisha kwake haitofautiani na maana ya maisha kwa primitive organisms kama bacteria, the only difference ni ufanyaji wa task lakini task ni zilezile.

- Mfano Bacteria hutengeneza colonies wakati huohuo binadamu wanatengeneza Nchi/ Empires, Bacteria wanazaliana wakati huohuo binadamu wanazaliana pia, bacteria wanatumia maisha yao kubadili mazingira yao vivyo hivyo kwa binadamu.

- Hivyo binadamu pia bado tuko primitive kuelewa sababu ya kuwepo duniani. Njia pekee inayoifanya sababu iendelee kuwepo japo haijulikani ni REPRODUCTION. Reproduction is a natural process na ndio taarifa ambayo itaendelea kuexist paka pale sababu itakapo timia.

SURVIVAL
Theory ya "survival of the fittest" inaonyesha kwamba ili usurvive ni lazima uwe fit ndipo uweze kupingana na natural forces/selection. Kua fit maana yake ni kutumia sehem ndogo ya akili inayoendana mwili wako primitive ili kujilinda. Nikimaanisha akili hufanya maamuzi kulingana na uwezo wa mwili.

SURVIVAL HAS ITS SET BACKS
- Njia ambazo miili inatumia ili kusurvive ndizo zinazoweka vizuizi na mwisho zinatufanya tuendelee kuwa primitive.

_ Tunalala sababu miili imechoka, tunashinda tukitafuta chakula sababu miili inanjaa, tunakufa sababu miili imezeeka. Kiufupi tunatumia 100% ya maisha kutumikia miili ili iendelee kusurvive, bila kujali maana halisi ya kuishi ni nini.

_ Akili inauwezo wa kuwa sehem yeyote wakati wowote lakini mwili hauwezi, kama mwili usingeweka kizuizi inamaanisha binadamu angeweza kuwa sehem yoyote ile kwa wakati wowote ule kimwili na kiakili.
_ Bila kizuizi cha mwili binadamu angeweza kucommunicate na kitu chochote au mtu yeyote aliye popote kwa wakati wowote.

NB: Yani kama namna ambayo binadamu tunamwelezea MUNGU.

THE ROLE OF EVOLUTION
- Evolution ni kama means ya mwili kupunguza vizuizi/resistance na kufungua uelewa uliojificha. Kufikia level ya juu ya uelewa ndio lengo halisi la maisha, level ambayo tutagundua kua vitu tunavyoviona vya maana leo hii they are just nothing but survival techniques tu. Level ambayo time will stop to exist na kifo hakitakuwepo. Level ambayo tutakua free from our primitive bodies.

- The fate of humanity ni kufika hiyo level ya juu ya intelligence ambapo tutakua free. Hakikisha unaacha offsprings so that part of you will live to taste the freedom.



AKILI ZA USIKU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hua sioni sababu ya mTanzania kuandika KISWAHILI akichanganya na kingereza..haisaidii na haina maana yoyote, na watu wa namna ya uandishi huu ndio wale walioendelea kuifanya Afrika kua masikini mpaka leo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Hua sioni sababu ya mTanzania kuandika KISWAHILI akichanganya na kingereza..haisaidii na haina maana yoyote,na watu wa namna ya uandishi huu ndo wale walioendelea kuifanya Afrika kua masikini mpaka leo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
_ It was never my intention kumfurahisha mtu wala kuonyesha umahili wangu wa kutumia lugha yeyote.

_ Watu wanatumia miaka kudecode maana ya maandishi yaliyofichwa kwenye codes ili tu kuelewa kilicho andikwa, ila wewe unaona kuchanganya lugha ni tatizo. Nikisema wewe ndio tatizo lenyewe nitakua nimekosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hua sioni sababu ya mTanzania kuandika KISWAHILI akichanganya na kingereza..haisaidii na haina maana yoyote,na watu wa namna ya uandishi huu ndo wale walioendelea kuifanya Afrika kua masikini mpaka leo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Unachopinga ndio uluchokifanya hapo mwishoni.

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
_ Akili inauwezo wa kuwa sehem yeyote wakati wowote lakini mwili hauwezi, kama mwili usingeweka kizuizi inamaanisha binadamu angeweza kuwa sehem yoyote ile kwa wakati wowote ule kimwili na kiakili.
_ Bila kizuizi cha mwili binadamu angeweza kucommunicate na kitu chochote au mtu yeyote aliye popote kwa wakati wowote.

NB: Yani kama namna ambayo binadamu tunamwelezea MUNGU.
Nimegundua mwili unatukwamisha sana wakati mwingine.
Asante, kazi nzuri.
 
Mala zote hua mnajifanya mnajua kila kitu na kumbe ni ujinga mtupu,uandishi wa kiswaenglish unaweza ukaufanya kwa uchache sana yamkini salam! Kisha nenda na lugha halisi maana sentensi zako hakika si wote watazielewa na kusudi lako halitatimia,unachukulia mitandao ya kijamii ni sehemu ya kujifurahisha zaidi ya kuelimishana. Lakini kwa sababu bado unaonekana una dharau na ndiyo sifa za waTanzania wengi kudharau au kutoa tusi ngoja nikuache lakini hii inafifisha thamani ya mtu mweusi
_ It was never my intention kumfurahisha mtu wala kuonyesha umahili wangu wa kutumia lugha yeyote.

_ Watu wanatumia miaka kudecode maana ya maandishi yaliyofichwa kwenye codes ili tu kuelewa kilicho andikwa, ila wewe unaona kuchanganya lugha ni tatizo. Nikisema wewe ndio tatizo lenyewe nitakua nimekosea?

Sent using Jamii Forums mobile app

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
_ It was never my intention kumfurahisha mtu wala kuonyesha umahili wangu wa kutumia lugha yeyote.

_ Watu wanatumia miaka kudecode maana ya maandishi yaliyofichwa kwenye codes ili tu kuelewa kilicho andikwa, ila wewe unaona kuchanganya lugha ni tatizo. Nikisema wewe ndio tatizo lenyewe nitakua nimekosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazojms, I think you underestimate the stupidity of some people. Let him/them be.
 
Binaadamu kaumbwa kwa makusudi(Purpose) mawili makuu
  1. Kumuabudu na kumtukuza Mungu
  2. Kuzaa na kuijaza dunia
Pia kuna vikusudi vidogo vidogo ambavyo kila mtu kapewa either tofauti au inayofanana na mwingine. Kazi sasa ipo kwenye kuitambua kusudi lako, Utalitambua kusudi lako duniani?

Ili kutambua inabidi uzame kiroho, usikilize roho wa Mungu atakavyokuambia kusudi lako
 
Hua sioni sababu ya mTanzania kuandika KISWAHILI akichanganya na kingereza..haisaidii na haina maana yoyote,na watu wa namna ya uandishi huu ndo wale walioendelea kuifanya Afrika kua masikini mpaka leo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature


Unakemea nini na wewe unafanya nini!!! 🤣
 
Hua sioni sababu ya mTanzania kuandika KISWAHILI akichanganya na kingereza..haisaidii na haina maana yoyote,na watu wa namna ya uandishi huu ndo wale walioendelea kuifanya Afrika kua masikini mpaka leo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Twende chitchat huku siyo size yako. Hili jukwaa linataka wanaojikita kwenye mada na sio wanaoona wivu wenzao wanajua lugha mbili.
 
Nani kakwambia sijui lugha? inawezekana ninyi wengine humu ni watoto
Twende chitchat huku siyo size yako. Hili jukwaa linataka wanaojikita kwenye mada na sio wanaoona wivu wenzao wanajua lugha mbili.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Wanaelewa wote watakaopita hapa? kuweni kuelewa mimi au wewe kunafanya wote waelewe? hata hivyo nabishana na mtu wa kijiweni utapoteza muda wangu bure
Sasa kama umeelewa kwanini usijadili mada?

Ni mjinga pekee anayekosoa kitu ambacho amekielewa. Halafu uache kuwa maskini?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mala zote hua mnajifanya mnajua kila kitu na kumbe ni ujinga mtupu,uandishi wa kiswaenglish unaweza ukaufanya kwa uchache sana yamkini salam! Kisha nenda na lugha halisi maana sentensi zako hakika si wote watazielewa na kusudi lako halitatimia,unachukulia mitandao ya kijamii ni sehemu ya kujifurahisha zaidi ya kuelimishana. Lakini kwa sababu bado unaonekana una dharau na ndiyo sifa za waTanzania wengi kudharau au kutoa tusi ngoja nikuache lakini hii inafifisha thamani ya mtu mweusi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mala zote=Mara zote.
Kiswahili chenyewe unachokililia haukijui. Twende chitchat.
 
Wanaelewa wote watakaopita hapa?kweni kuelewa mimi au wewe kunafanya wote waelewe?hata hivyo nabishana na mtu wa kijiweni utapoteza muda wangu bure

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Jina la jukwaa ni "jamii intelligence" haujaelewa bado linahusu watu gani? Sisi wana intelligentsia. Sasa google maana ya intelligentsia usipokuta "highly educated people/intellectuals". Chapa ndala tuu twende chitchat.
 
Mala zote hua mnajifanya mnajua kila kitu na kumbe ni ujinga mtupu,uandishi wa kiswaenglish unaweza ukaufanya kwa uchache sana yamkini salam! Kisha nenda na lugha halisi maana sentensi zako hakika si wote watazielewa na kusudi lako halitatimia,unachukulia mitandao ya kijamii ni sehemu ya kujifurahisha zaidi ya kuelimishana. Lakini kwa sababu bado unaonekana una dharau na ndiyo sifa za waTanzania wengi kudharau au kutoa tusi ngoja nikuache lakini hii inafifisha thamani ya mtu mweusi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Unasema kweli kwamba sijui kila kitu, ila ninachojua ni kwamba "Elimu haina mwisho so does stupidity"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom