Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God. Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking.. Wengi wenu humu mmelishwa...
22 Reactions
324 Replies
26K Views
Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Habari msomaji wa uzi huu. Karibu ujifunze mambo mbalimbali katika ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho. Kama kichwa cha uzi huu inavyosema (Jinsi ya kuthibiti nafsi isitoke kwenye mwili) Kila...
4 Reactions
52 Replies
11K Views
Jamii ya watu wa Afrika kabla ujio wa wageni kutoka mabara ya Asia,Amerika na nk na kabla ya kurithishwa tamaduni za ughaibuni ilikuwa haijui habari ya adui wa Mungu. Wa Afika wakiamini yupo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanabodi, Raisi ndiye kiongozi mkuu katika nchi, japo baadhi ya nchi kiongozi mkuu ni waziri mkuu mfalme au malkia. Siamini kwamba maraisi wote duniani huwa na nia njema kwa nchi zao, wengine...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Binafsi nachokiona ni ninyume chake! Sioni faida ya ulimwengu wa kiroho ktk dunia yetu, ila ninachokiona ni hao wanaotumia kuuhubiri ulimwengu huo ndio wanafaidika na dunia ila dunia haifaidiki...
7 Reactions
87 Replies
9K Views
JWTZ inasubiri adui aje na mizinga na makombora akitaka kuteka nchi ndio wapambane naye. Lakini adui akija na makaratasi (yaliyoambatana na posho?) kama vile EAC, hawana habari naye, hata kama...
0 Reactions
68 Replies
17K Views
Source: The citizen By The Citizen Reporter Mexican tycoon Carlos Slim was on Wednesday named the world’s richest person, with a net fortune of $53.5 billion (Sh70 trillion), which is more...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Wana JF, Nimepata makala hii mahali fulani. Inahusu kuwepo/kutokuwepo kwa Mungu. Ni hoja mpya kidogo. Nawashirikisha as a free text and as an attachment...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
GEORGE Stinney Jr, angekuwa na umri wa miaka 90 sasa kama Mungu angemuweka hai. Aliuawa akiwa mtoto mwenye umri wa miaka 14. Ilikuwa siku kama ya leo, Juni 16, 1944, George alisingiziwa kuua...
10 Reactions
10 Replies
2K Views
Secret agents most times hide during their operation and most times wouldn't like their identity to be unvieled and there for they go for special kinds of equipments. Most times, secret agents...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Huu ni ukweli wengi wamekuwa hawataki kuukubali. Binadamu wa kwanza alikuwa Mwafrika Zinjan thropas ambaye Fuvu lake lilikutwa huko Arusha. Aliishi katika Bonde la Serengeti miaka hiyo ya nyuma...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Habarini wapenda mada za mambo yetu.. kwa waliofanikiwa angalia shughuli za ufungwaji wa bunge letu kama walinotice mkuu wa nchi alipotia timu bungeni, aliposhuka tu kwenye gari alipokelewa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ELEUTERIO SANCHEZ RODRIGUEZ : MTU ALIYEKUWA ANATAFUTWA KULIKO WATU WOTE NCHINI HISPANIA: Eleuterio Sanchez Rodriguez alizaliwa Aprili 15, mwaka 1942 akijulikana zaidi kama EL LUTE, na wakati...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa kifupi, New Age ni nini? Ni mkusanyiko wa dini zote; matendo mbalimbali ya kidini, ambayolengo lake ni kumfanya mwanadamu awe mungu. Ni mwavuli ambao chini yake dini zote zinaweza kujificha...
18 Reactions
143 Replies
24K Views
Wapendwa karibuni tukumbushane na kuonyana, kwa kuwa hali inazidi kuwa mbaya. Shetani anawatumia baadhi ya watu humu kupotosha wengine. Kwa kuwafanya waone kuwa maarifa yatolewayo humu JF yaliyo...
21 Reactions
1K Replies
75K Views
BAHARI YAMEZA WATU? Kisa hiki ni cha kweli na hakijapatiwa ufumbuzi mpaka leo hii. Hiki kisa kilianzia huko tarehe kumi na moja, mwezi wa pili mnamo mwaka 1979 ambapo marafiki watano wajenzi...
22 Reactions
52 Replies
7K Views
Natumai hamjambo wanajf. Nimekuwa nikiona mijadala humu pengine na kwingineko mitandaoni juu ya udhaifu wa silaha za Kisovieti/ Russia hasa ndege vita na vifaru dhidi ya zile za kimagharibi...
8 Reactions
62 Replies
9K Views
Habari ya mchana Poleni na mapambano dhidi ya cov19, tuendelee kujihami nakutumia wakati tulionao kujiwekea kinga zaidi. Sasa acha niende katika hoja moja kwa moja, Tumekuwa ni watu ambao...
4 Reactions
15 Replies
10K Views
CHAPTER ONE: EWE MWANADAMU AMKA.! ACHA KUSHUPAZA SHINGO, MUNGU YUPO NA SIKU YA HUKUMU IPO. UTANGULIZI: UWEPO WA MUNGU.! Hatma ya Mwanadamu imefanywa kuwa siri kubwa, isipo kuwa kwa wachache...
5 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom