WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 946
Mfahamu Alien
Nikiumbe Kama Kinacho Fanana Na Binadamu Ila Wao Wanaishi Galaxy Nyingine Na Hii Tunayo Ishi Sisi Yaani Ukiachana Na Jumla Ya Sayari 8 Zinazo Zunguka Jua Ambapo Binadamu Anapatika Kwenye Sayari Ya 3 Basi Kuna Galaxy Nyingine Wanahishi Hawa Viumbe Na Inasemekana Kuna Zaidi Ya Galaxy Million
Alien Wanauwezo Wa akili Mara 100 Ya Binadamu
Mara Ya Kwanza Alien Walidondoka Nchini Mexico Wakati Huo Mexico Ilikuwa Haina Technologia Yeyote Ilee Basi Jeshi La Mexico Moja Kwa Moja Lili Wasiliana Na Marekani Kwa Wakati Huo Marekani Ndiyo Nchi Iliyo Kuwa imeendelea
Jeshi La Marekani Lili Wasili Na Kuwachua Hao Alliens Ambapo Walikuwa 4 Wawili Walifariki Palepale Marekani Walivyo Wachukua Hao Alliens Waliwaifadhi Kwenye vyombo Vya Oxygen Kwakuwa Walikuwa Hawawezi Kutumia Hewa Oxygen Kwa Muda Mrefu Zaidii
Mmoja Alikufaa Kutokana Nakushindwa Kula Chakula Chaduniani P1 Na Hewa Akabakia Mmoja Yule Mmoja Akawa Anaonesha Ishara Kwa Kidole Kuonesha Kile Chombo Ambacho Ni U.F.O. Wanacho Kitumia Kusafiria
Basii Aliwasiliana Na Wenzie baada Yasiku Kazaa Walipokea Signal Kutoka Kwa Wale Wenzie Basi Walifika Waka Wakawachukua Wenzao Ila Wamarekani Wakaomba Na Wao Kutembelea Huko Wanapoishi Wao
Basi Walipanga Safari Zakianga Wanasansi Kumi na Mbili 12 Walienda Ila Wanavyo Dai Walikufa Wotee
Baada Ya Hapo Aliens Wakaingia Makubaliano Na Marekani Kwamba Tuna Wapa Technologia Ila Sisi Tuna Wachukua Binadamu Na Kuwafanyia Uchunguzi Ndiyo Maana Marekani Kuna Kipindi Camera Zilikuwa Zina Wanasa Alliens Kwenye Majumba Ya Watuu
Kuna Mama Mmoja Nchini Marekani Alikuwa Amemlaza Mtoto Wake Chumba Kingine Usiku Mtoto Akawa Anaongea Mambo Yaajabu Na Kupiga Kelele Akisema Mom Aliens Mom Aliens
Mamaliamka Na Kwenda Ila Hakukuta Kitu Na Mtot Alikuwa Salama
kesho Yake Aliangalia Kwenye CcTv Cammera Za Nyumba Hiyo Kweli Walimuona Huyo Aliens Akiwa Anaondokaa
Baada Ya Video Kusaambaa FBI Wakaipiga Puuuu Huo Mjadala P1 Na Mashirika Mengine Apo Marekani
Nikiumbe Kama Kinacho Fanana Na Binadamu Ila Wao Wanaishi Galaxy Nyingine Na Hii Tunayo Ishi Sisi Yaani Ukiachana Na Jumla Ya Sayari 8 Zinazo Zunguka Jua Ambapo Binadamu Anapatika Kwenye Sayari Ya 3 Basi Kuna Galaxy Nyingine Wanahishi Hawa Viumbe Na Inasemekana Kuna Zaidi Ya Galaxy Million
Alien Wanauwezo Wa akili Mara 100 Ya Binadamu
Mara Ya Kwanza Alien Walidondoka Nchini Mexico Wakati Huo Mexico Ilikuwa Haina Technologia Yeyote Ilee Basi Jeshi La Mexico Moja Kwa Moja Lili Wasiliana Na Marekani Kwa Wakati Huo Marekani Ndiyo Nchi Iliyo Kuwa imeendelea
Jeshi La Marekani Lili Wasili Na Kuwachua Hao Alliens Ambapo Walikuwa 4 Wawili Walifariki Palepale Marekani Walivyo Wachukua Hao Alliens Waliwaifadhi Kwenye vyombo Vya Oxygen Kwakuwa Walikuwa Hawawezi Kutumia Hewa Oxygen Kwa Muda Mrefu Zaidii
Mmoja Alikufaa Kutokana Nakushindwa Kula Chakula Chaduniani P1 Na Hewa Akabakia Mmoja Yule Mmoja Akawa Anaonesha Ishara Kwa Kidole Kuonesha Kile Chombo Ambacho Ni U.F.O. Wanacho Kitumia Kusafiria
Basii Aliwasiliana Na Wenzie baada Yasiku Kazaa Walipokea Signal Kutoka Kwa Wale Wenzie Basi Walifika Waka Wakawachukua Wenzao Ila Wamarekani Wakaomba Na Wao Kutembelea Huko Wanapoishi Wao
Basi Walipanga Safari Zakianga Wanasansi Kumi na Mbili 12 Walienda Ila Wanavyo Dai Walikufa Wotee
Baada Ya Hapo Aliens Wakaingia Makubaliano Na Marekani Kwamba Tuna Wapa Technologia Ila Sisi Tuna Wachukua Binadamu Na Kuwafanyia Uchunguzi Ndiyo Maana Marekani Kuna Kipindi Camera Zilikuwa Zina Wanasa Alliens Kwenye Majumba Ya Watuu
Kuna Mama Mmoja Nchini Marekani Alikuwa Amemlaza Mtoto Wake Chumba Kingine Usiku Mtoto Akawa Anaongea Mambo Yaajabu Na Kupiga Kelele Akisema Mom Aliens Mom Aliens
Mamaliamka Na Kwenda Ila Hakukuta Kitu Na Mtot Alikuwa Salama
kesho Yake Aliangalia Kwenye CcTv Cammera Za Nyumba Hiyo Kweli Walimuona Huyo Aliens Akiwa Anaondokaa
Baada Ya Video Kusaambaa FBI Wakaipiga Puuuu Huo Mjadala P1 Na Mashirika Mengine Apo Marekani
=====Mwisho=====