Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 568
@Rakims una uzi ulizungumzia jinsi ya kufanya astra projection. Nimejaribu na feedbak ni hivi nmeishia pale kwenye ganzi maana nilihisi kama mwili unamong'onyoka,
Halaf pumzi najikuta nabana naskilizia mwili unavyobongonyoka. Nifafanulieni vizuri hapa maana hadi nimepandisha homa asubuhi. Ikiwezekana nipeni easy ways.
Help!
Halaf pumzi najikuta nabana naskilizia mwili unavyobongonyoka. Nifafanulieni vizuri hapa maana hadi nimepandisha homa asubuhi. Ikiwezekana nipeni easy ways.
Help!