Mrejesho Jaribio la Astral Projection

Mrejesho Jaribio la Astral Projection

Lee Napoleon

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
896
Reaction score
568
@Rakims una uzi ulizungumzia jinsi ya kufanya astra projection. Nimejaribu na feedbak ni hivi nmeishia pale kwenye ganzi maana nilihisi kama mwili unamong'onyoka,

Halaf pumzi najikuta nabana naskilizia mwili unavyobongonyoka. Nifafanulieni vizuri hapa maana hadi nimepandisha homa asubuhi. Ikiwezekana nipeni easy ways.

Help!
 
Ungemfuata Rakims kwenye uzi wake ulikuwa huna ulazima wa kuanzisha uzi
 
ULITAKA KUSAFIRI KWENDA NCHI GANI?passport unayo?

inaruhusiwa kusafiri kwa njia hiyo na kuingia bank usiku na kutoka na burungutu la pesa?

cjajua asee, me mpango wangu niende 2 kwa babe angu night maana yuko mbal japo nimuone.
 
Mmesema tunaweza kusafiri nje ya nch kwa hiyo mnaita projection..fafanua vizuri watu twende miami beach
 
hakika hawataishi...wanaleta mzaha na Mungu...!

Woga wako ndo umaskini wako je unaijua umbilical cold?
Ukiwa out of body no harm unaunganishwa na kitu inaitwa silver cold sawa na umbilical cold inayomuunganisha mama na mtoto.
 
Watu kama hawa wanaabudu uoga! Namaanisha kuwa uoga wao ndio mungu wao.

Tatizo wakiwa huko makanisani au misikiteen hawaambiwi hizi makitu wakati hata walimu wa imani kama yesu, krishna, buddha wanasema binadamu wamelala yaani watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Tatizo wakiwa huko makanisani au misikiteen hawaambiwi hizi makitu wakati hata walimu wa imani kama yesu, krishna, buddha wanasema binadamu wamelala yaani watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Wamekaririshwa uoga tu mkuu! Alafu wanasema eti mbingu ni ya kwao😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom