Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
JWTZ inasubiri adui aje na mizinga na makombora akitaka kuteka nchi ndio wapambane naye. Lakini adui akija na makaratasi (yaliyoambatana na posho?) kama vile EAC, hawana habari naye, hata kama...
0 Reactions
68 Replies
17K Views
Source: The citizen By The Citizen Reporter Mexican tycoon Carlos Slim was on Wednesday named the world’s richest person, with a net fortune of $53.5 billion (Sh70 trillion), which is more...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Wana JF, Nimepata makala hii mahali fulani. Inahusu kuwepo/kutokuwepo kwa Mungu. Ni hoja mpya kidogo. Nawashirikisha as a free text and as an attachment...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
GEORGE Stinney Jr, angekuwa na umri wa miaka 90 sasa kama Mungu angemuweka hai. Aliuawa akiwa mtoto mwenye umri wa miaka 14. Ilikuwa siku kama ya leo, Juni 16, 1944, George alisingiziwa kuua...
10 Reactions
10 Replies
2K Views
Secret agents most times hide during their operation and most times wouldn't like their identity to be unvieled and there for they go for special kinds of equipments. Most times, secret agents...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Huu ni ukweli wengi wamekuwa hawataki kuukubali. Binadamu wa kwanza alikuwa Mwafrika Zinjan thropas ambaye Fuvu lake lilikutwa huko Arusha. Aliishi katika Bonde la Serengeti miaka hiyo ya nyuma...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Habarini wapenda mada za mambo yetu.. kwa waliofanikiwa angalia shughuli za ufungwaji wa bunge letu kama walinotice mkuu wa nchi alipotia timu bungeni, aliposhuka tu kwenye gari alipokelewa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ELEUTERIO SANCHEZ RODRIGUEZ : MTU ALIYEKUWA ANATAFUTWA KULIKO WATU WOTE NCHINI HISPANIA: Eleuterio Sanchez Rodriguez alizaliwa Aprili 15, mwaka 1942 akijulikana zaidi kama EL LUTE, na wakati...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa kifupi, New Age ni nini? Ni mkusanyiko wa dini zote; matendo mbalimbali ya kidini, ambayolengo lake ni kumfanya mwanadamu awe mungu. Ni mwavuli ambao chini yake dini zote zinaweza kujificha...
18 Reactions
143 Replies
24K Views
Wapendwa karibuni tukumbushane na kuonyana, kwa kuwa hali inazidi kuwa mbaya. Shetani anawatumia baadhi ya watu humu kupotosha wengine. Kwa kuwafanya waone kuwa maarifa yatolewayo humu JF yaliyo...
21 Reactions
1K Replies
74K Views
BAHARI YAMEZA WATU? Kisa hiki ni cha kweli na hakijapatiwa ufumbuzi mpaka leo hii. Hiki kisa kilianzia huko tarehe kumi na moja, mwezi wa pili mnamo mwaka 1979 ambapo marafiki watano wajenzi...
22 Reactions
52 Replies
7K Views
Natumai hamjambo wanajf. Nimekuwa nikiona mijadala humu pengine na kwingineko mitandaoni juu ya udhaifu wa silaha za Kisovieti/ Russia hasa ndege vita na vifaru dhidi ya zile za kimagharibi...
8 Reactions
62 Replies
9K Views
Habari ya mchana Poleni na mapambano dhidi ya cov19, tuendelee kujihami nakutumia wakati tulionao kujiwekea kinga zaidi. Sasa acha niende katika hoja moja kwa moja, Tumekuwa ni watu ambao...
4 Reactions
15 Replies
10K Views
CHAPTER ONE: EWE MWANADAMU AMKA.! ACHA KUSHUPAZA SHINGO, MUNGU YUPO NA SIKU YA HUKUMU IPO. UTANGULIZI: UWEPO WA MUNGU.! Hatma ya Mwanadamu imefanywa kuwa siri kubwa, isipo kuwa kwa wachache...
5 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari zenu wapendwa! Kwanini nimeanza chapter 001 na kuanza kuelezea maana halisi ya ndoto zinazohusiana na kifo? Kifo sio kigeni kwetu na wengi tumeshaondokewa na wapendwa wetu si mmoja sio...
2 Reactions
33 Replies
40K Views
Coronavirus could 'burn out naturally' so vaccine not needed, former WHO director claims - Dominic James/Dominic James Coronavirus could "burn out naturally" so a vaccine is no longer needed, a...
0 Reactions
3 Replies
940 Views
Hugo Chavez ni shujaa wa itikadi ya Ujamaa mpaka kifo kilipomchukua Machi 5, 2013. Watu wenye imani isiyoyumba ya falsafa zote za Mrengo wa Kushoto (Left-Wing), kwao Chavez alikuwa jemedari kinara...
19 Reactions
20 Replies
6K Views
Kwanza nawasalimu kwa amani na furaha juu ya wrote walio katika mda huu macho. Mm binafsi ni MTU ambae najipambanua kuwa napinga na nazichukia dini za nje ndani ya bars la Afrika. Na katika hili...
7 Reactions
134 Replies
16K Views
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya China imesema, Jeshi la Ukombozi la Watu la China limetoa misaada ya vifaa vya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona kwa majeshi ya nchi 20...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
PART 1; MEN IN BLACK.(MIB) [emoji117]Men in black ,hawa ni wanaume wenye kuvaa suti nyeusi ambao ni Agent wa serikali ,wanao fanya kazi ya kuzuia usambazwaji wa taarifa/siri zenye ushahidi...
5 Reactions
28 Replies
7K Views
Back
Top Bottom