Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,769
- 5,302
Sina hakika kama wakati mwenyezi mungu alipoumba dunia aliweka hz nchi km tanzania,malawi,kenya,marekani nk.(naamini hvo sababu hata kwenye biblia hakuna neno marekani wala tanzania)
1.swali langu je ni na aliyekuwa/waliokuwa wanagawa mipaka ya dunia mfano bara hili na lile,au nchi hii na ile?
yeye alikuwa na nguvu gani
2.kabla haijawa tanganyika eneo hili ambalo tanzania ipo lilikuwaje.waliishi nani? walitumia jina gani
3.kuanzia mwaka gani binadamu waliacha kuwa nyani(maana wanasema binadamu walikuwa manyani)
1.swali langu je ni na aliyekuwa/waliokuwa wanagawa mipaka ya dunia mfano bara hili na lile,au nchi hii na ile?
yeye alikuwa na nguvu gani
2.kabla haijawa tanganyika eneo hili ambalo tanzania ipo lilikuwaje.waliishi nani? walitumia jina gani
3.kuanzia mwaka gani binadamu waliacha kuwa nyani(maana wanasema binadamu walikuwa manyani)