Nini faida ya dini na ibada katika maisha yetu ya kila siku!?

nkumbison

JF-Expert Member
Sep 22, 2013
2,219
2,970
Natafakari hapa, ina maana bila dini au kuabudu tusingejua matendo mabaya hayatakiwi?
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Faida yake ni ile hofu ya kwenda jehanam ukitenda dhambi. Maovu yamepungua hasa dunia ya tatu kwa kumhofia Mungu. Japo kwa wajanja wale walioleta dini wanajua maisha ni mchezo. Funga macho ukizidi kuhofia moto wa milele wao wanapiga kazi katika ulimwengu wa roho.
 
Wananasema Mungu ni pendo ila nikizitazama dini zilizopo ambazo kimsingi zinaeneza neno la Mungu na hata namna zilivyonezwa naona chuki tu na mauaji yametawala ndani yake.
Mungu ni Pendo? Hebu fafanua mkuu.
 
Nikizidi kutafakari zaidi, naona hata habari za Mungu, Yesu na Mitume na Manabii wengine tulikua nazo kabla ya hizo dini kuja, kwa mfano iliwezekana vipi kuyatunga majina ya Yesu na Mungu katka lugha za nchi na makabila mbalimbali ili yafiti katika kitabu cha Biblia.
Je si kwasababu taharifa walizokuja nazo tulikua nazo na kuanza kuzifiti kutokana na sifa zao? Yaani kama walisema kuna mwana wa Mungu anaitwa Jesus waswahili tulikua tunajua Kuna mwana wa Mungu anaitwa Yesu?


Kwa mlionielewa nisaidieni kuwaelewesha na wengine..
 
Nikizidi kutafakari zaidi, naona hata habari za Mungu, Yesu na Mitume na Manabii wengine tulikua nazo kabla ya hizo dini kuja, kwa mfano iliwezekana vipi kuyatunga majina ya Yesu na Mungu katka lugha za nchi na makabila mbalimbali ili yafiti katika kitabu cha Biblia.
Je si kwasababu taharifa walizokuja nazo tulikua nazo na kuanza kuzifiti kutokana na sifa zao? Yaani kama walisema kuna mwana wa Mungu anaitwa Jesus waswahili tulikua tunajua Kuna mwana wa Mungu anaitwa Yesu?


Kwa mlionielewa nisaidieni kuwaelewesha na wengine..
Sio kweli Mkuu Tulikuwa atuzijui bhana
 
kiranga akija hapa huu Uzi utaharibika.....by the way.... Ibada Na miss zinaamsha internal spirit....meditation f
 
Back
Top Bottom