Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Jina la kitabu
Jina la kitabu A Biography of the Continent.
Mwandishi: John Reader.
Mchambuzi: Nanyaro E.J.
Dibaji.
John Reader ambaye ni mwandishi wa Kitabu hiki ni mtoto wa dereva Tax wa Londoni,ambaye alikuja Afrika mwaka 1955 na kuishi Cape town kwa miaka nane kabla ya kuhamia Nairobi alikoishi kwa miaka kumi.Akiwa Afrika alifanya kazi kama mpigapicha na mwandishi hali iliyomfanya awe na uwezo wa kusafiri maeneo mengi,anasema aliona mazishi ya Tom Mboya na Kwame Nkrumah,alishikana mkono(shake hands) na Mwl Nyerere,Id Amin,Steven Biko,Jomo Kenyata,Ian Smith,Haile Selassie etc.
Anasema ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya Kiafrika tofauti na picha waliyo nayo watu wa Magharibi ambao wanaona Afrika kama bara giza(dark continent).
Kitabu hiki kinaeleza ukweli juu ya Afrika ukweli ambao umefichwa kwa miaka mingi.Binadamu wa kwanza aligundulika hapa Afrika kaskazini mwa Tanzania,tena akiwa ameendelea ni ushaidi wa ustaarabu wa mwafrika.
Chapter 1
Building a Continent
Mwandishi anasema kuwa bara la Afrika limeweza kuhimili mabadiliko mbalimbali ya kijamii,kijiografia,kiuchumi, kuliko mabara mengine.Miamba yenye umri wa zaidi ya miaka bil 6 sawa na umri wa Dunia bado ipo Afrika(miamba iliyopo Mwanza,na kule Serengeti National park)Anasema hakuna Bara lingine lenye muundo huu wa maumbile ya Dunia tangu uumbaji hadi sasa kama bara la Afrika.
Mwandishi anasema kuwa uimara wa ardhi na miamba ya Afrika,iliyotokana na miamba hii kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio imesababisha uwepo wa madini mengi anbayo ni faida kubwa kwa uchumi wa Afrika.Anasema Almasi inajitengeneza kwenye hali ya joto la kati ya 1000-1,150 Degrees!
Mwandishi anasema kuwa uchumi mwingi wa nchi nyingi za kiafrika kuanzia wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni ulijengwa kwa misingi ya madini,nchi kama Gabon,Ghana,Mali,Siara
leone,Zaire,Zambia na Zimbabwe na Afrika kusini.Ugunduzi wa Almasi huko Botswana ulifanya uchumi wake kukua kwa kasi hadi miaka ya 1994.Anaendelea kusema mkondo(craton) waKaapvaal pekee una zaidi ya tone 40,000 hadi 1883.
Chapter 2
TRANSITIONS
Mwandishi anasema miaka 3.6 bil iliyopita mabadiliko ya kimfumo na kimuundo yalipelekea hadi mimea kuanza kujitengenezea chakula yenyewe kupita kwa mfumo wa Photosynthesis,ni hapa ndio oksijen ilizaliwa
Kufuatia uwepo wa predators(wanyama wanaokula nyama)Matumizi ya harufu yalianza ili kuwezesha mwindaji na mwindwaji kujihami.Hata hivo ongezeko la wanyama wanaokula nyama lilikuwa
muhimu ili wasiishi muda mrefu na hivo kufa ba kutengeneza rasilimali nyingine ardhini ikiwepo mafuta na uhai wa viumbe wengine.
Mwandishi anasema kuwa tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa mabara mengine yamemeguka kutoka bara la Afrika ambalo kwa miaka mingi limebaki bila kutikisika anasema Human evolution has been the primary evidence of supercontinent! anaendelea kusema Africa is the "keystone of the continental drift hypothesis".Kwa miaka 200mil Afrika haijatingishika licha ya uwepo wa matukio makubwa yanayotishia Dunia kama Tsunami etc.
Chapter 3
MISSING LINKS
Uwanda wa misitu ya mvua ambayo imekuwapo kwa miaka 40mil,Sahara region na Misri ya leo inaaminika kuwa chanzo cha primates ambao binadamu ali evolve.Misitu ya kitropical inahifadhi kiwango kikubwa cha viumbe hai Duniani
Kuna jumla ya aina 4500 za mamalia Duniani kote huku Afrika ikiwa na kiwango kikubwa zaidi ya mabara mengine.Hii ni kutokana na bara hili kuwa
Intact na hivyo kuwezesha mabadiliko ya mara kwa mara ya mamalia.
Mwaka 1735 mwanasayansi wa Kisweden(swedish) Carl Von Linne akigundua namna ya kufanya classfication ndio neno HOMO likaanza rasmi kutumika.Neno HOMO liliandikwa kwa kilatin HOMO NOSCE TE IPSUM tafsiri yake MAN KNOW THSELF..
Hii ilikuwa hatua kubwa sana katika maendeleo ya binadamu,hasa kutambua watu kutokana na mahali na
eneo.Anasema kuwa kuna dhana mbili muhimu kuhusu binadamu
1. Kiimani(kidini) wanaaminu katika uumbaji.
2. Kisayansi binadamu ametokana na evolution ya Nyani(chimpazee) aliyebadilika badilika hadi kufikia tulivo leo(evolution hii inaendelea)anasema DNA ya Nyani na Binadamu ina mfanano kwa 99% ila anakiri kuwa 1%inayobaki ina maana kubwa sana
Miaka milion 200 iliyopita,wakati huo Dunia ikiwa moja(Pangae) kwa mujibu wa mwanasayansi Alfred Wegener, Dinosar(Dinosaurs)ndie mnyama aliyekuwa anatawala Dunia na alijaa kila pembe ya Afrika. Mwandishi anasema kuwa katika bonde la Fayum lililopo Misri ya leo kuna ushahidi wa wazi wa maisha ya kale ya. wanyama wa majini(Reptilia) hasa samaki,mamba etc...misitu mingi ilijawa na na popo
Chapter 4
ORIGINS AND CLIMATE
Mwandishi anasema kuwa Mabadiliko ya tabianchi yanaadhiri sehemu kubwa ya mgawanyo wa makazi ya viumbe hai Duniani.Lakini hapa Afrika viashiria vinaonyesha kuwa ushindani wa rasilimali unaadhiri zaidi ya mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi ambayo tunayashuhudia leo si kwamba yameanza leo bali yamekuwepo tangu historia ya
kijiojia,ndio yaliyosababisha kupotea kwa Dinosar na ndio yaliyofanya uwepo wa binadamu!kiumbe hai ambaye alishindwa kuwenda sambamba na evolution na adaptation basi kiumbe huyo alitoweka.
Mwandishi anasema kuwa Bara la Afrika lilikuwa limeungana na Ulaya likatengana na baadae miaka mil 16 iliyopita vikaungana tena na ni kipindi ambacho kiliruhusu wanyama ambao walikuwa wanapatikana Ulaya wakahamia upande ambao ni Afrika na ambao ulikuwa ni bora zaidi.Mwandishi anasema
mgawanyo wa pili ulizaa species mbalimbali hata ndani ya bara la Afrika yenyewe.
Anaendelea kusema kuwa Afrika ni chanzo kizuri na cha uhakika cha taarifa mbalimbali za kiutafiti wa viumbe hai na maisha kwa ujumla,kutokana na Uimara wa Bara hili.Afrika ni maabara ya mammalian evolution!
Mwandishi: John Reader.
Mchambuzi: Nanyaro E.J.
Dibaji.
John Reader ambaye ni mwandishi wa Kitabu hiki ni mtoto wa dereva Tax wa Londoni,ambaye alikuja Afrika mwaka 1955 na kuishi Cape town kwa miaka nane kabla ya kuhamia Nairobi alikoishi kwa miaka kumi.Akiwa Afrika alifanya kazi kama mpigapicha na mwandishi hali iliyomfanya awe na uwezo wa kusafiri maeneo mengi,anasema aliona mazishi ya Tom Mboya na Kwame Nkrumah,alishikana mkono(shake hands) na Mwl Nyerere,Id Amin,Steven Biko,Jomo Kenyata,Ian Smith,Haile Selassie etc.
Anasema ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya Kiafrika tofauti na picha waliyo nayo watu wa Magharibi ambao wanaona Afrika kama bara giza(dark continent).
Kitabu hiki kinaeleza ukweli juu ya Afrika ukweli ambao umefichwa kwa miaka mingi.Binadamu wa kwanza aligundulika hapa Afrika kaskazini mwa Tanzania,tena akiwa ameendelea ni ushaidi wa ustaarabu wa mwafrika.
Chapter 1
Building a Continent
Mwandishi anasema kuwa bara la Afrika limeweza kuhimili mabadiliko mbalimbali ya kijamii,kijiografia,kiuchumi, kuliko mabara mengine.Miamba yenye umri wa zaidi ya miaka bil 6 sawa na umri wa Dunia bado ipo Afrika(miamba iliyopo Mwanza,na kule Serengeti National park)Anasema hakuna Bara lingine lenye muundo huu wa maumbile ya Dunia tangu uumbaji hadi sasa kama bara la Afrika.
Mwandishi anasema kuwa uimara wa ardhi na miamba ya Afrika,iliyotokana na miamba hii kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio imesababisha uwepo wa madini mengi anbayo ni faida kubwa kwa uchumi wa Afrika.Anasema Almasi inajitengeneza kwenye hali ya joto la kati ya 1000-1,150 Degrees!
Mwandishi anasema kuwa uchumi mwingi wa nchi nyingi za kiafrika kuanzia wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni ulijengwa kwa misingi ya madini,nchi kama Gabon,Ghana,Mali,Siara leone,Zaire,Zambia na Zimbabwe na Afrika kusini.
Ugunduzi wa Almasi huko Botswana ulifanya uchumi wake kukua kwa kasi hadi miaka ya 1994.Anaendelea kusema mkondo(craton) waKaapvaal pekee una zaidi ya tone 40,000 hadi 1883.
Chapter 2
TRANSITIONS
Mwandishi anasema miaka 3.6 bil iliyopita mabadiliko ya kimfumo na kimuundo yalipelekea hadi mimea kuanza kujitengenezea chakula yenyewe kupita kwa mfumo wa Photosynthesis,ni hapa ndio oksijen ilizaliwa
Kufuatia uwepo wa predators(wanyama wanaokula nyama)Matumizi ya harufu yalianza ili kuwezesha mwindaji na mwindwaji kujihami.Hata hivo ongezeko la wanyama wanaokula nyama lilikuwa
muhimu ili wasiishi muda mrefu na hivo kufa ba kutengeneza rasilimali nyingine ardhini ikiwepo mafuta na uhai wa viumbe wengine.
Mwandishi anasema kuwa tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa mabara mengine yamemeguka kutoka bara la Afrika ambalo kwa miaka mingi limebaki bila kutikisika anasema Human evolution has been the primary evidence of supercontinent! anaendelea kusema Africa is the "keystone of the continental drift hypothesis".Kwa miaka 200mil Afrika haijatingishika licha ya uwepo wa matukio makubwa yanayotishia Dunia kama Tsunami etc.
Chapter 3
MISSING LINKS
Uwanda wa misitu ya mvua ambayo imekuwapo kwa miaka 40mil,Sahara region na Misri ya leo inaaminika kuwa chanzo cha primates ambao binadamu ali evolve.Misitu ya kitropical inahifadhi kiwango kikubwa cha viumbe hai Duniani
Kuna jumla ya aina 4500 za mamalia Duniani kote huku Afrika ikiwa na kiwango kikubwa zaidi ya mabara mengine.Hii ni kutokana na bara hili kuwa
Intact na hivyo kuwezesha mabadiliko ya mara kwa mara ya mamalia.
Mwaka 1735 mwanasayansi wa Kisweden(swedish) Carl Von Linne akigundua namna ya kufanya classfication ndio neno HOMO likaanza rasmi kutumika.Neno HOMO liliandikwa kwa kilatin HOMO NOSCE TE IPSUM tafsiri yake MAN KNOW THSELF..
Hii ilikuwa hatua kubwa sana katika maendeleo ya binadamu,hasa kutambua watu kutokana na mahali na
eneo.Anasema kuwa kuna dhana mbili muhimu kuhusu binadamu
1. Kiimani(kidini) wanaaminu katika uumbaji.
2. Kisayansi binadamu ametokana na evolution ya Nyani(chimpazee) aliyebadilika badilika hadi kufikia tulivo leo(evolution hii inaendelea)anasema DNA ya Nyani na Binadamu ina mfanano kwa 99% ila anakiri kuwa 1%inayobaki ina maana kubwa sana
Miaka milion 200 iliyopita,wakati huo Dunia ikiwa moja(Pangae) kwa mujibu wa mwanasayansi Alfred Wegener, Dinosar(Dinosaurs)ndie mnyama aliyekuwa anatawala Dunia na alijaa kila pembe ya Afrika. Mwandishi anasema kuwa katika bonde la Fayum lililopo Misri ya leo kuna ushahidi wa wazi wa maisha ya kale ya. wanyama wa majini(Reptilia) hasa samaki,mamba etc...misitu mingi ilijawa na na popo
Chapter 4
ORIGINS AND CLIMATE
Mwandishi anasema kuwa Mabadiliko ya tabianchi yanaadhiri sehemu kubwa ya mgawanyo wa makazi ya viumbe hai Duniani.Lakini hapa Afrika viashiria vinaonyesha kuwa ushindani wa rasilimali unaadhiri zaidi ya mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi ambayo tunayashuhudia leo si kwamba yameanza leo bali yamekuwepo tangu historia ya
kijiojia,ndio yaliyosababisha kupotea kwa Dinosar na ndio yaliyofanya uwepo wa binadamu!kiumbe hai ambaye alishindwa kuwenda sambamba na evolution na adaptation basi kiumbe huyo alitoweka.
Mwandishi anasema kuwa Bara la Afrika lilikuwa limeungana na Ulaya likatengana na baadae miaka mil 16 iliyopita vikaungana tena na ni kipindi ambacho kiliruhusu wanyama ambao walikuwa wanapatikana Ulaya wakahamia upande ambao ni Afrika na ambao ulikuwa ni bora zaidi.Mwandishi anasema
mgawanyo wa pili ulizaa species mbalimbali hata ndani ya bara la Afrika yenyewe.
Anaendelea kusema kuwa Afrika ni chanzo kizuri na cha uhakika cha taarifa mbalimbali za kiutafiti wa viumbe hai na maisha kwa ujumla,kutokana na Uimara wa Bara hili.Afrika ni maabara ya mammalian evolution!
Jina la kitabu A Biography of the Continent.
Mwandishi: John Reader.
Mchambuzi: Nanyaro E.J.
Dibaji.
John Reader ambaye ni mwandishi wa Kitabu hiki ni mtoto wa dereva Tax wa Londoni,ambaye alikuja Afrika mwaka 1955 na kuishi Cape town kwa miaka nane kabla ya kuhamia Nairobi alikoishi kwa miaka kumi.Akiwa Afrika alifanya kazi kama mpigapicha na mwandishi hali iliyomfanya awe na uwezo wa kusafiri maeneo mengi,anasema aliona mazishi ya Tom Mboya na Kwame Nkrumah,alishikana mkono(shake hands) na Mwl Nyerere,Id Amin,Steven Biko,Jomo Kenyata,Ian Smith,Haile Selassie etc.
Anasema ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya Kiafrika tofauti na picha waliyo nayo watu wa Magharibi ambao wanaona Afrika kama bara giza(dark continent).
Kitabu hiki kinaeleza ukweli juu ya Afrika ukweli ambao umefichwa kwa miaka mingi.Binadamu wa kwanza aligundulika hapa Afrika kaskazini mwa Tanzania,tena akiwa ameendelea ni ushaidi wa ustaarabu wa mwafrika.
Chapter 1
Building a Continent
Mwandishi anasema kuwa bara la Afrika limeweza kuhimili mabadiliko mbalimbali ya kijamii,kijiografia,kiuchumi, kuliko mabara mengine.Miamba yenye umri wa zaidi ya miaka bil 6 sawa na umri wa Dunia bado ipo Afrika(miamba iliyopo Mwanza,na kule Serengeti National park)Anasema hakuna Bara lingine lenye muundo huu wa maumbile ya Dunia tangu uumbaji hadi sasa kama bara la Afrika.
Mwandishi anasema kuwa uimara wa ardhi na miamba ya Afrika,iliyotokana na miamba hii kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio imesababisha uwepo wa madini mengi anbayo ni faida kubwa kwa uchumi wa Afrika.Anasema Almasi inajitengeneza kwenye hali ya joto la kati ya 1000-1,150 Degrees!
Mwandishi anasema kuwa uchumi mwingi wa nchi nyingi za kiafrika kuanzia wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni ulijengwa kwa misingi ya madini,nchi kama Gabon,Ghana,Mali,Siara
leone,Zaire,Zambia na Zimbabwe na Afrika kusini.Ugunduzi wa Almasi huko Botswana ulifanya uchumi wake kukua kwa kasi hadi miaka ya 1994.Anaendelea kusema mkondo(craton) waKaapvaal pekee una zaidi ya tone 40,000 hadi 1883.
Chapter 2
TRANSITIONS
Mwandishi anasema miaka 3.6 bil iliyopita mabadiliko ya kimfumo na kimuundo yalipelekea hadi mimea kuanza kujitengenezea chakula yenyewe kupita kwa mfumo wa Photosynthesis,ni hapa ndio oksijen ilizaliwa
Kufuatia uwepo wa predators(wanyama wanaokula nyama)Matumizi ya harufu yalianza ili kuwezesha mwindaji na mwindwaji kujihami.Hata hivo ongezeko la wanyama wanaokula nyama lilikuwa
muhimu ili wasiishi muda mrefu na hivo kufa ba kutengeneza rasilimali nyingine ardhini ikiwepo mafuta na uhai wa viumbe wengine.
Mwandishi anasema kuwa tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa mabara mengine yamemeguka kutoka bara la Afrika ambalo kwa miaka mingi limebaki bila kutikisika anasema Human evolution has been the primary evidence of supercontinent! anaendelea kusema Africa is the "keystone of the continental drift hypothesis".Kwa miaka 200mil Afrika haijatingishika licha ya uwepo wa matukio makubwa yanayotishia Dunia kama Tsunami etc.
Chapter 3
MISSING LINKS
Uwanda wa misitu ya mvua ambayo imekuwapo kwa miaka 40mil,Sahara region na Misri ya leo inaaminika kuwa chanzo cha primates ambao binadamu ali evolve.Misitu ya kitropical inahifadhi kiwango kikubwa cha viumbe hai Duniani
Kuna jumla ya aina 4500 za mamalia Duniani kote huku Afrika ikiwa na kiwango kikubwa zaidi ya mabara mengine.Hii ni kutokana na bara hili kuwa
Intact na hivyo kuwezesha mabadiliko ya mara kwa mara ya mamalia.
Mwaka 1735 mwanasayansi wa Kisweden(swedish) Carl Von Linne akigundua namna ya kufanya classfication ndio neno HOMO likaanza rasmi kutumika.Neno HOMO liliandikwa kwa kilatin HOMO NOSCE TE IPSUM tafsiri yake MAN KNOW THSELF..
Hii ilikuwa hatua kubwa sana katika maendeleo ya binadamu,hasa kutambua watu kutokana na mahali na
eneo.Anasema kuwa kuna dhana mbili muhimu kuhusu binadamu
1. Kiimani(kidini) wanaaminu katika uumbaji.
2. Kisayansi binadamu ametokana na evolution ya Nyani(chimpazee) aliyebadilika badilika hadi kufikia tulivo leo(evolution hii inaendelea)anasema DNA ya Nyani na Binadamu ina mfanano kwa 99% ila anakiri kuwa 1%inayobaki ina maana kubwa sana
Miaka milion 200 iliyopita,wakati huo Dunia ikiwa moja(Pangae) kwa mujibu wa mwanasayansi Alfred Wegener, Dinosar(Dinosaurs)ndie mnyama aliyekuwa anatawala Dunia na alijaa kila pembe ya Afrika. Mwandishi anasema kuwa katika bonde la Fayum lililopo Misri ya leo kuna ushahidi wa wazi wa maisha ya kale ya. wanyama wa majini(Reptilia) hasa samaki,mamba etc...misitu mingi ilijawa na na popo
Chapter 4
ORIGINS AND CLIMATE
Mwandishi anasema kuwa Mabadiliko ya tabianchi yanaadhiri sehemu kubwa ya mgawanyo wa makazi ya viumbe hai Duniani.Lakini hapa Afrika viashiria vinaonyesha kuwa ushindani wa rasilimali unaadhiri zaidi ya mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi ambayo tunayashuhudia leo si kwamba yameanza leo bali yamekuwepo tangu historia ya
kijiojia,ndio yaliyosababisha kupotea kwa Dinosar na ndio yaliyofanya uwepo wa binadamu!kiumbe hai ambaye alishindwa kuwenda sambamba na evolution na adaptation basi kiumbe huyo alitoweka.
Mwandishi anasema kuwa Bara la Afrika lilikuwa limeungana na Ulaya likatengana na baadae miaka mil 16 iliyopita vikaungana tena na ni kipindi ambacho kiliruhusu wanyama ambao walikuwa wanapatikana Ulaya wakahamia upande ambao ni Afrika na ambao ulikuwa ni bora zaidi.Mwandishi anasema
mgawanyo wa pili ulizaa species mbalimbali hata ndani ya bara la Afrika yenyewe.
Anaendelea kusema kuwa Afrika ni chanzo kizuri na cha uhakika cha taarifa mbalimbali za kiutafiti wa viumbe hai na maisha kwa ujumla,kutokana na Uimara wa Bara hili.Afrika ni maabara ya mammalian evolution!
Mwandishi: John Reader.
Mchambuzi: Nanyaro E.J.
Dibaji.
John Reader ambaye ni mwandishi wa Kitabu hiki ni mtoto wa dereva Tax wa Londoni,ambaye alikuja Afrika mwaka 1955 na kuishi Cape town kwa miaka nane kabla ya kuhamia Nairobi alikoishi kwa miaka kumi.Akiwa Afrika alifanya kazi kama mpigapicha na mwandishi hali iliyomfanya awe na uwezo wa kusafiri maeneo mengi,anasema aliona mazishi ya Tom Mboya na Kwame Nkrumah,alishikana mkono(shake hands) na Mwl Nyerere,Id Amin,Steven Biko,Jomo Kenyata,Ian Smith,Haile Selassie etc.
Anasema ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya Kiafrika tofauti na picha waliyo nayo watu wa Magharibi ambao wanaona Afrika kama bara giza(dark continent).
Kitabu hiki kinaeleza ukweli juu ya Afrika ukweli ambao umefichwa kwa miaka mingi.Binadamu wa kwanza aligundulika hapa Afrika kaskazini mwa Tanzania,tena akiwa ameendelea ni ushaidi wa ustaarabu wa mwafrika.
Chapter 1
Building a Continent
Mwandishi anasema kuwa bara la Afrika limeweza kuhimili mabadiliko mbalimbali ya kijamii,kijiografia,kiuchumi, kuliko mabara mengine.Miamba yenye umri wa zaidi ya miaka bil 6 sawa na umri wa Dunia bado ipo Afrika(miamba iliyopo Mwanza,na kule Serengeti National park)Anasema hakuna Bara lingine lenye muundo huu wa maumbile ya Dunia tangu uumbaji hadi sasa kama bara la Afrika.
Mwandishi anasema kuwa uimara wa ardhi na miamba ya Afrika,iliyotokana na miamba hii kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio imesababisha uwepo wa madini mengi anbayo ni faida kubwa kwa uchumi wa Afrika.Anasema Almasi inajitengeneza kwenye hali ya joto la kati ya 1000-1,150 Degrees!
Mwandishi anasema kuwa uchumi mwingi wa nchi nyingi za kiafrika kuanzia wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni ulijengwa kwa misingi ya madini,nchi kama Gabon,Ghana,Mali,Siara leone,Zaire,Zambia na Zimbabwe na Afrika kusini.
Ugunduzi wa Almasi huko Botswana ulifanya uchumi wake kukua kwa kasi hadi miaka ya 1994.Anaendelea kusema mkondo(craton) waKaapvaal pekee una zaidi ya tone 40,000 hadi 1883.
Chapter 2
TRANSITIONS
Mwandishi anasema miaka 3.6 bil iliyopita mabadiliko ya kimfumo na kimuundo yalipelekea hadi mimea kuanza kujitengenezea chakula yenyewe kupita kwa mfumo wa Photosynthesis,ni hapa ndio oksijen ilizaliwa
Kufuatia uwepo wa predators(wanyama wanaokula nyama)Matumizi ya harufu yalianza ili kuwezesha mwindaji na mwindwaji kujihami.Hata hivo ongezeko la wanyama wanaokula nyama lilikuwa
muhimu ili wasiishi muda mrefu na hivo kufa ba kutengeneza rasilimali nyingine ardhini ikiwepo mafuta na uhai wa viumbe wengine.
Mwandishi anasema kuwa tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa mabara mengine yamemeguka kutoka bara la Afrika ambalo kwa miaka mingi limebaki bila kutikisika anasema Human evolution has been the primary evidence of supercontinent! anaendelea kusema Africa is the "keystone of the continental drift hypothesis".Kwa miaka 200mil Afrika haijatingishika licha ya uwepo wa matukio makubwa yanayotishia Dunia kama Tsunami etc.
Chapter 3
MISSING LINKS
Uwanda wa misitu ya mvua ambayo imekuwapo kwa miaka 40mil,Sahara region na Misri ya leo inaaminika kuwa chanzo cha primates ambao binadamu ali evolve.Misitu ya kitropical inahifadhi kiwango kikubwa cha viumbe hai Duniani
Kuna jumla ya aina 4500 za mamalia Duniani kote huku Afrika ikiwa na kiwango kikubwa zaidi ya mabara mengine.Hii ni kutokana na bara hili kuwa
Intact na hivyo kuwezesha mabadiliko ya mara kwa mara ya mamalia.
Mwaka 1735 mwanasayansi wa Kisweden(swedish) Carl Von Linne akigundua namna ya kufanya classfication ndio neno HOMO likaanza rasmi kutumika.Neno HOMO liliandikwa kwa kilatin HOMO NOSCE TE IPSUM tafsiri yake MAN KNOW THSELF..
Hii ilikuwa hatua kubwa sana katika maendeleo ya binadamu,hasa kutambua watu kutokana na mahali na
eneo.Anasema kuwa kuna dhana mbili muhimu kuhusu binadamu
1. Kiimani(kidini) wanaaminu katika uumbaji.
2. Kisayansi binadamu ametokana na evolution ya Nyani(chimpazee) aliyebadilika badilika hadi kufikia tulivo leo(evolution hii inaendelea)anasema DNA ya Nyani na Binadamu ina mfanano kwa 99% ila anakiri kuwa 1%inayobaki ina maana kubwa sana
Miaka milion 200 iliyopita,wakati huo Dunia ikiwa moja(Pangae) kwa mujibu wa mwanasayansi Alfred Wegener, Dinosar(Dinosaurs)ndie mnyama aliyekuwa anatawala Dunia na alijaa kila pembe ya Afrika. Mwandishi anasema kuwa katika bonde la Fayum lililopo Misri ya leo kuna ushahidi wa wazi wa maisha ya kale ya. wanyama wa majini(Reptilia) hasa samaki,mamba etc...misitu mingi ilijawa na na popo
Chapter 4
ORIGINS AND CLIMATE
Mwandishi anasema kuwa Mabadiliko ya tabianchi yanaadhiri sehemu kubwa ya mgawanyo wa makazi ya viumbe hai Duniani.Lakini hapa Afrika viashiria vinaonyesha kuwa ushindani wa rasilimali unaadhiri zaidi ya mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi ambayo tunayashuhudia leo si kwamba yameanza leo bali yamekuwepo tangu historia ya
kijiojia,ndio yaliyosababisha kupotea kwa Dinosar na ndio yaliyofanya uwepo wa binadamu!kiumbe hai ambaye alishindwa kuwenda sambamba na evolution na adaptation basi kiumbe huyo alitoweka.
Mwandishi anasema kuwa Bara la Afrika lilikuwa limeungana na Ulaya likatengana na baadae miaka mil 16 iliyopita vikaungana tena na ni kipindi ambacho kiliruhusu wanyama ambao walikuwa wanapatikana Ulaya wakahamia upande ambao ni Afrika na ambao ulikuwa ni bora zaidi.Mwandishi anasema
mgawanyo wa pili ulizaa species mbalimbali hata ndani ya bara la Afrika yenyewe.
Anaendelea kusema kuwa Afrika ni chanzo kizuri na cha uhakika cha taarifa mbalimbali za kiutafiti wa viumbe hai na maisha kwa ujumla,kutokana na Uimara wa Bara hili.Afrika ni maabara ya mammalian evolution!