Noswerd malila
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 143
- 75
Habari ya asubuhi wakuu natumaini muwazima wa afya kwa wale ambao ni tofauti napenda kuwapa moyo mtakua vyema na kurudi ktk kusukuma gurudumu la maendeleo
Acha niende moja kwa moja katika swali langu nilouliza wajuzi wa mambo naomba kuuliza
1. Nafsi nini?
2. Je Nafsi ktk mwili huishi ndani ya mwili au nje ya mwili?
3. Je Nafsi huwezi kuumizwa na kupata maumivu kama wengi wasemavyo nafsi umeumia sana?
Acha niende moja kwa moja katika swali langu nilouliza wajuzi wa mambo naomba kuuliza
1. Nafsi nini?
2. Je Nafsi ktk mwili huishi ndani ya mwili au nje ya mwili?
3. Je Nafsi huwezi kuumizwa na kupata maumivu kama wengi wasemavyo nafsi umeumia sana?