Kwanini tunanaongelea sana watu tufanye meditation?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Nawasalimia sana watu wote wa hapa JF.
Nivema nikaeleza kwa ufupi kwanini tunajaribu kuieleza jamii kuhusu meditation.

Asilimia kubwa yetu sisi wanadamu tunakuwa hatuko aware na mabo yanatoendelea katika ulimwengu wetu. Akili zetu na uwezo wetu umedumaa kwa kiasi kikubwa sana. Mambo yanayoendelea katika ulimwengu tunakuwa hatuko aware nayo na mwisho wa siku ujinga ndani yetu unazidi kukomaa.

Tunajikuta tunaku tunaanza kushabikia vipi ambavyo havina hata uhalisia ilimradi tunahisi kuwa vinatufariji na kutupa virtual happiness. Tunakuwa na uwoga wa hali ya juu na kutishana sisi kwa sisi kwa sababu tunakuwa kwenye giza na upofu wa hali yajuu. Kwa sababu tunakuwa tupo kwenye giza zito totoro kila sauti tunayosikia tunatetemeka sana na kuogopa kwa kiasi kikubwa.

Kila kitu kinacho fanyika kila baada ya sekunde tunakuwa hatukijui hatuko aware japo kuwa kinafanyika katika mazingira yetu. Unaweza ukajiuliza tu swali moja je unaweza ukajua vitu vyote vilivyotendeka kwa mda wa dakika tono zilizopita?. Kwa uhakika jibu litakuwa ni hapana asilimia chini na 20% ndio utaweza kukumbuka.

Awareness ya kila kinachofanyika na connection ya kwako binafsi inahitajika sana kwetu sisi. Kwa sasa kuna njia moja ambayo ni nzuri inayoweza kumsaidia mtu kuelekea kwenye awareness. Meditation ndio njia moja muhimu sana. Nimeanzisha somo maalumu kwaajili ya kujifunza namna ya kuelekea kujielewa kwa hatua.

Kunawakati mambo muhimu yanafanyika kwaajili ya manufaa yako lakini wewe binafsi unakuwa hauko aware na hatimaye unajikuta uko nje ya mstari. Kwanini sasa tusiamushe awareness yetu?
 
roho inaniuma sana sababu ya uvivu wa kufanya meditation. inansaidiaga sana hii kitu nkiishupalia. Nifanyeje ili ntoe uvivu huu.? enheee! nimekumbuka ngoja ntumie ile njia ya asigwa Ya tape record.
 
Last edited by a moderator:
roho inaniuma sana sababu ya uvivu wa kufanya meditation. inansaidiaga sana hii kitu nkiishupalia. Nifanyeje ili ntoe uvivu huu.? enheee! nimekumbuka ngoja ntumie ile njia ya asigwa Ya tape record.

Meditation ni jambo zuri sana kwa wale wenye nia na kujitambua.... .... ... .. . lakini moyo wangu unamashaka sana na hizi njia tunazotumia siku hizi ... mfano tape record,bio disc,graphic imagination etc etc etc.....
 
Last edited by a moderator:
Nimenza kuelezea namna gani unaweza ukafanya. Ila thread ipo kwenye jukwaa la marafiki.
 
Meditation ni jambo zuri sana kwa wale wenye nia na kujitambua.... .... ... .. . lakini moyo wangu unamashaka sana na hizi njia tunazotumia siku hizi ... mfano tape record,bio disc,graphic imagination etc etc etc.....

hakuna njia maalumu ya kufanya meditation inategemea ile itakayokufaa wakati mwingine inaweza isimfae lakini yote ya yote sikubaliani na group meditation inabidi ufanye peke yako.
 
Nimenza kuelezea namna gani unaweza ukafanya. Ila thread ipo kwenye jukwaa la marafiki.

Mkuu Annael please uwe unaweka hapa kule mtu utakuta comments 100 halafu zote hazieleweki. Anyway ntaitafuta hiyo thread.
 
Last edited by a moderator:
suala la meditation ni jambo jema, lakini shida inakuja sehem moja. unaweza kuanza meditation leo, baada ya wiki moja unajikuta umejisahau, au mambo yakiingiliana unasahau kila kitu.
 
dah hivi mkuu nikienda katika hizo tample za meditation wanatumia utaratibu gan kufundisha ambao kwa namna nyngne utakua unarahsisha zaidi kuelewa kuliko haya maandishi peke yake? nipe jibu tafadhali ninashda nalo.
 
Hivi meditation si ni uzingativu kwenye jambo moja tu? Kwa mfano ukiwa umekula pilipili wakati inakuwasha na huku ukifikiri namna ya kuondokana na muwasho huo si ni sawa . a meditation tu.
 
Meditation ni mhm sana inanisaidia kucontrol hisia mbaya za tamaa, hasira, chuki, manung'uniko, na kuwa na confidence towards life, ni kitu endelevu au tabia naona watu wanataka mafanikio hlf waache haipo hivo ukita emotional intelligence bas fanya mediation kua tabia yako
 
Nawasalimia sana watu wote wa hapa JF.
Nivema nikaeleza kwa ufupi kwanini tunajaribu kuieleza jamii kuhusu meditation.

Asilimia kubwa yetu sisi wanadamu tunakuwa hatuko aware na mabo yanatoendelea katika ulimwengu wetu. Akili zetu na uwezo wetu umedumaa kwa kiasi kikubwa sana. Mambo yanayoendelea katika ulimwengu tunakuwa hatuko aware nayo na mwisho wa siku ujinga ndani yetu unazidi kukomaa.

Tunajikuta tunaku tunaanza kushabikia vipi ambavyo havina hata uhalisia ilimradi tunahisi kuwa vinatufariji na kutupa virtual happiness. Tunakuwa na uwoga wa hali ya juu na kutishana sisi kwa sisi kwa sababu tunakuwa kwenye giza na upofu wa hali yajuu. Kwa sababu tunakuwa tupo kwenye giza zito totoro kila sauti tunayosikia tunatetemeka sana na kuogopa kwa kiasi kikubwa.

Kila kitu kinacho fanyika kila baada ya sekunde tunakuwa hatukijui hatuko aware japo kuwa kinafanyika katika mazingira yetu. Unaweza ukajiuliza tu swali moja je unaweza ukajua vitu vyote vilivyotendeka kwa mda wa dakika tono zilizopita?. Kwa uhakika jibu litakuwa ni hapana asilimia chini na 20% ndio utaweza kukumbuka.

Awareness ya kila kinachofanyika na connection ya kwako binafsi inahitajika sana kwetu sisi. Kwa sasa kuna njia moja ambayo ni nzuri inayoweza kumsaidia mtu kuelekea kwenye awareness. Meditation ndio njia moja muhimu sana. Nimeanzisha somo maalumu kwaajili ya kujifunza namna ya kuelekea kujielewa kwa hatua.

Kunawakati mambo muhimu yanafanyika kwaajili ya manufaa yako lakini wewe binafsi unakuwa hauko aware na hatimaye unajikuta uko nje ya mstari. Kwanini sasa tusiamushe awareness yetu?
 
Sio kila tahajudi ni tahajudi,kwa wale Wakristo wanapaswa kuwa makini sana na haya makitu......

Kuna tahajudi za aina mbili....

1;Ya kushuhudia kila unachoikifanya kwa kuupa ubongo wako mazoezi ya kawaida kabisa kama vile ambavyo unavyoweza kuyapa mazoezi mapafu yako na mwili wako kuhimili mikikimikiki ya muda mrefu kwa kukimbia kila siku,hii haina matatizo kabisa

2;Kuna ile ya kuufanya ubongo wako unakuwa empty na nguvu usizojua zinatoka wapi kuanza kuingia ndani mwako na kuanza kusafiri kwenda mahali pengine kimawazo na kiroho n.k,hii sio salama kwa Wakristo maana ni Satanic...

Kabla hujafanya jambo lolote ni vyema ukalijua kwa undani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom