Mjue Mungu "Amen" wa Misri. Ambae leo tunamsujudia Bila Kujua

Secret Star

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,708
1,553
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.
220px-Amun.svg.jpg
2556dd7164452ab7b5f13a94e05fa73b.jpg
 
Simply not true.

Amen tunayoitumia sisi inamaana "na iwe hivyo" na imetoka kwenye maandishi ya kiebrania.

Hizo theory za kuwa imetokana na mungu Amun ni just fringe theories with no roots or whatsoever.

Soma 👇
Amen is a word of Biblical Hebrew origin.[8] The word originated in the Hebrew Scriptures, as a confirmatory response; it is found in Deuteronomy as a confirmatory response made by the people.[9] Moreover, in the Books of Chronicles (16:36), it is indicated that around 1000 BC, the word was used in its religious sense, with the people responding "Amen" upon hearing the blessing, "Blessed be the Lord God of Israel from now and unto all eternity".[9] The basic triconsonantal root from which the word is derived, is common to a number of languages in the Semitic branch of the Afroasiatic languages, including biblical Aramaic.

The word was imported into Greek from the Judaism of the early Church.[3][10] From Greek, amen entered other European languages. According to a standard dictionary etymology of the English word, amen passed from Greek into Late Latin, and thence into English.[11] Rabbinic scholars from medieval France believed the standard Hebrew word for faith emuna comes from the root amen. as they are both from the root aleph-mem-nun. That is, the Hebrew word amen was thus etymologically derived from the same triliteral Hebrew root as does the verb ʾāmán

Kisha Soma 👇

Popular among some theosophists,[13] proponents of Afrocentric theories of history,[14] and adherents of esoteric Christianity[15] is the conjecture that amen is a derivative of the name of the Egyptian god Amun (which is sometimes also spelled Amen). Some adherents of Eastern religions believe that amen shares roots with the Hindu Sanskrit word Aum.[16][17][18][19] Such external etymologies are not included in standard etymological reference works. The Hebrew word, as noted above, starts with aleph, while the Egyptian name begins with a yodh
 
Simply not true.

Amen tunayoitumia sisi inamaana "na iwe hivyo" na imetoka kwenye maandishi ya kiebrania.

Hizo theory za kuwa imetokana na mungu Amun ni just fringe theories with no roots or whatsoever...

Neno Amen la Wahindi wanalotaja katika sala zao, Kihindi linamaanisha nini,

Pia waislam na Kiarabu.

Pia Naomba unitumie Screen shot ya Hebrew ya neno "Na iwe hivyo" Ili tulihakiki kama maana yake ni Amen.
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Amen kwa Kiebrania humaanisha NA IWE HIVYO
 
Simply not true.

Amen tunayoitumia sisi inamaana "na iwe hivyo" na imetoka kwenye maandishi ya kiebrania.

Hizo theory za kuwa imetokana na mungu Amun ni just fringe theories with no roots or whatsoever.

Soma 👇
Amen is a word of Biblical Hebrew origin.[8] The word originated in the Hebrew Scriptures, as a confirmatory response; it is found in Deuteronomy as a confirmatory response made by the people.[9] Moreover, in the Books of Chronicles (16:36), it is indicated that around 1000 BC, the word was used in its religious sense, with the people responding "Amen" upon hearing the blessing, "Blessed be the Lord God of Israel from now and unto all eternity".[9] The basic triconsonantal root from which the word is derived, is common to a number of languages in the Semitic branch of the Afroasiatic languages, including biblical Aramaic.

The word was imported into Greek from the Judaism of the early Church.[3][10] From Greek, amen entered other European languages. According to a standard dictionary etymology of the English word, amen passed from Greek into Late Latin, and thence into English.[11] Rabbinic scholars from medieval France believed the standard Hebrew word for faith emuna comes from the root amen. as they are both from the root aleph-mem-nun. That is, the Hebrew word amen was thus etymologically derived from the same triliteral Hebrew root as does the verb ʾāmán

Kisha Soma 👇

Popular among some theosophists,[13] proponents of Afrocentric theories of history,[14] and adherents of esoteric Christianity[15] is the conjecture that amen is a derivative of the name of the Egyptian god Amun (which is sometimes also spelled Amen). Some adherents of Eastern religions believe that amen shares roots with the Hindu Sanskrit word Aum.[16][17][18][19] Such external etymologies are not included in standard etymological reference works. The Hebrew word, as noted above, starts with aleph, while the Egyptian name begins with a yodh
Amen ya misri imeanza kabla,,na hawa waebrania waliishi misri kwa miaka mingi,,wali adopt.
Hata El mungu wa israel,kiuhalisia ni mungu mkuu wa jamii ya Caanan.
Kiufupi ni mungu wa wenyeji wa caanan,,wenyewe mwaita mungu wa kipagani,
Yahwew ni mungu wa kipagani wa jamii ya median,ya arabia
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Mi nafikiri inabidi ujue sisi tukiweka Hilo neno Amen,tunakuwa tunalenga nini?
Huyu Mungu wala hatumjuhi,Tunachomaanisha kwa kuweka Amen,au Amina,ni "na iwe kama tulivyoomba",kwa Mungu wetu,God,Jehova,au Allah,
Hapa ni Swala la lugha na concept tu,
Mfano ukisikia watu wanasema "huyu jamaa ni mstaarabu"kwa watu wengi tunaelewa kuwa unamaanisha huyu jamaa anatabia njema,mwenendo wake ni mzuri kwenye jamii,lakini Hilo neno "mstaarabu",maana yake ya ndani ni "kama mwarabu"lakini haimaniishi watu wakisema wewe ni "mstaarabu"vichwani mwao wanamaanisha wewe ni kama mwarabu,wanachokuwa wanamaanisha wewe unamwenendo,tabia nzuri.
Kinacho matter hapa ni neno linatumika kumaanisha nini.
Kibongo bongo,maneno kama "nasafisha mtaro"Msaniii,au Tigo,ni ya kawaida,ila ukiyatamka unaweza kuzua sintofahamu maana yameishapewa maana nyingine.
Majina kama"luhende,Kamana,haya ni majina kwa makabila mengine,mf usukumani,lakini kwa wenyeji wa Kagera,
Ni matusi.
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Watu wa dini wanasemaje kwani
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Mfano wa hadithi ya Yesu na Krishna wa wa Hindu



Wote Yesu na Krishna waliitwa Mungu na Wana wa Mungu

Wote waliitwa waokozi

Wote walitumwa toka mbinguni kuja duniani, na ni nafasi ya pili ya utatu mtakatifu

Hata baba wa Krishna wa duniani alikuwa seremala kama Yesu

Wote walitembelewa na wazee wenye busara walioongozwa na nyota walipozaliwa

Katika story zote mbili Malaika waliwaonya wazaz wao kuwa watawala walikuwa na mpango wa kuwaua watoto hao kwa kutoa amri ya kuwaua. Kwenye hadithi zote mbili wazazi walikimbia kuokoa maisha ya watoto. Wakati Maria an Yesu walikimbilia Egypt, Krishna walikimbilia Mathura.

Wakiwa watu wazima wote Yesu na Krishna walikimbilia jangwani na kufunga

Yesu aliitwa Simba wa Yuda wakati Krishna aliitwa Simba wa Saki

Wote walidai kuwa ndiyo njia ya ufufuo na uzima

Wote walidai kwamba walikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa dunia

Wotewalitenda miujiza.



Mfanano wa hadithi ya Yesu na Dionysus wa Wagiriki



Wote walizaliwa na mabikra huku Dionysus akwia amezaliwa December, 25

Wote walikuwa walimu (wahubiri) waliokuwa wakifundisha makundi ya watu toka sehemu moja kwenda nyingine

Dionysus alibadili maji kuwa DIvai

Dionysus alikuwa akiliwa kwenye karamu ya ibada kama inavyofanywa kanisani katika mwili na damu ya Yesu

Dionysus alitoka kuzimu siku ya tatu na kupaa mbinguni

Dionysus alikuwa akitambulika kwa picha ya mwanakondoo



Na kumbuka dini ya Kihindu na imani za Kigiriki ni za kale zaidi kuliko kuzaliwa kwa Yesu.
 
Mfano wa hadithi ya Yesu na Krishna wa wa Hindu



Wote Yesu na Krishna waliitwa Mungu na Wana wa Mungu

Wote waliitwa waokozi

Wote walitumwa toka mbinguni kuja duniani, na ni nafasi ya pili ya utatu mtakatifu

Hata baba wa Krishna wa duniani alikuwa seremala kama Yesu

Wote walitembelewa na wazee wenye busara walioongozwa na nyota walipozaliwa

Katika story zote mbili Malaika waliwaonya wazaz wao kuwa watawala walikuwa na mpango wa kuwaua watoto hao kwa kutoa amri ya kuwaua. Kwenye hadithi zote mbili wazazi walikimbia kuokoa maisha ya watoto. Wakati Maria an Yesu walikimbilia Egypt, Krishna walikimbilia Mathura.

Wakiwa watu wazima wote Yesu na Krishna walikimbilia jangwani na kufunga

Yesu aliitwa Simba wa Yuda wakati Krishna aliitwa Simba wa Saki

Wote walidai kuwa ndiyo njia ya ufufuo na uzima

Wote walidai kwamba walikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa dunia

Wotewalitenda miujiza.



Mfanano wa hadithi ya Yesu na Dionysus wa Wagiriki



Wote walizaliwa na mabikra huku Dionysus akwia amezaliwa December, 25

Wote walikuwa walimu (wahubiri) waliokuwa wakifundisha makundi ya watu toka sehemu moja kwenda nyingine

Dionysus alibadili maji kuwa DIvai

Dionysus alikuwa akiliwa kwenye karamu ya ibada kama inavyofanywa kanisani katika mwili na damu ya Yesu

Dionysus alitoka kuzimu siku ya tatu na kupaa mbinguni

Dionysus alikuwa akitambulika kwa picha ya mwanakondoo



Na kumbuka dini ya Kihindu na imani za Kigiriki ni za kale zaidi kuliko kuzaliwa kwa Yesu.
Mkuu ninependa hii napataje history zao kws urefu zaidi
 
Back
Top Bottom