Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

mie najitambua ni Optimist na Conscientious wewe je? unajua how far you risk your health 'due to dataz' zinazomwagwa kila siku hapa JF vs your personality? I bet kuna threads humu zinafaa ziwe...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Upo kwenye wodi mahututi aka ICU, aka Intensive Care Unit... kupumua kwako kwa mashine, mirija ya maji inapita mkono wa shoto, mkono wa kulia mrija wa damu. Mrija mwingine unapitia puani kusaidia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Katika miaka ya hivi karibuni, nimeshuhudia mmomonyoka wa ardhi kwa kiwango cha kutisha ukingoni mwa barabara hiyo, aka barabara ya 'osheni-rodi!' hasa kwenye kile kpande kuanzia hospitali ya Aga...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
There are many people I have talked to about Aids but every time I ask them whether they would go for a HIV test of their own volition, they cast me such an icy look that I retract and recoil...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
This is not the first report about this so called herbal extracts and food supplements, and when they get negative results they dont publish them, to keep pple in business and continue fleecing...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunashauriwa kuwa breakfast is the most important meal of the day. Naomba ushauri wa bure Je ni mlo upi, hapa tanzania, kwa mtu kama mimi kipato cha kwaida, ninaharaka nawahi kazini, au nakunywa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimesoma ktk Mwananchi la leo kuwa wale wahanga wa kifo cha mama mjamzito na kichanga pale Mwananyamala Hosipitali wamelazimishwa kuhongwa dizel lita 120 za kusafirisha maiti, pia walitishwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Leteni Maswali ya Kiafya Niwasaidie -------------------------------------------------------------------------------- Napenda kuwa julisha wana JF kuwa nakaribisheni maswali mafupi mafupi...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Leo nimesoma habari hii zoka Moshi.Mimi imenipa faraja kidogo lakini wasiwasi pia wa ukiukwaji wa haki za binaadamu kwa sababu kukamata mtu bila idhini yake na bila kibali toka kwenye vyombo vya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
5 mistakes women make at the doctor's office Even well-educated women sometimes freeze up in the doctor's office, says Dr. Christiane Northrup. ATLANTA, Georgia (CNN) -- For 10 years, Barbara's...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Doctor's assistance is the most needed thing when one gets sick.But,in a world which Tech goes beyond reach,people came with simple solutions to make sure you keep track of your simple diseases...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijui kama inatokea kwa wengine... Lakini mwenzenu huwa ninajisikia kwenda chooni kila ninapokumbwa na jambo la mshituko. Mshituko wowote ambao unasababishwa na kubambwa na issue fulani...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hebu angalieni hii u-tube video kuhusu huyu mnugu anavyojitamba kuwaambukiza watoto wa kike HIV. (wataalam naombeni mnisaidie kuiweka hiyo u-tube video)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Women bear sons when calorie intake high, researchers say Last Updated: Tuesday, April 22, 2008 British researchers say they have found a link between what a mother eats at the time of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Top 10 Useless Body Parts By The Science Channel When you're sick you may feel that certain body parts are more trouble than they're worth. And in some cases, you'd be right. While the human body...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Normally your lungs' air passages are lined with millions of tiny hairs called cilia. The cilia act like little brooms protecting the air tubes by sweeping dusts,tar,and other foreign materials...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
nimekuwa nikiperuzi mara kwa mara kuhusu mada za kila siku za wana JF.nakosa raha zaidi ninapoona hakuna mabadiliko yoyote yanayofanyika licha ya malalamiko kuhusu EPA,TICS,Kiwira,ATCL na mengine...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
JAPOKUWA MCHUMIA JUANI ALIKOSEA KIDOGO KUHUSU SWALI LA IODINE DEFICIENCY LAKINI KUNA EVIDENCE KWAMBA IODINE DEFICIENCY HUSABABISHA HYPO AU HYPERTHYIROIDISM ,INGAWA MADHARA ZAIDI NI HYPOTHYIROIDISM...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
I think this is another symbollic catch up for the EU on something the US federal government approved over a year ago. Will the rest of the world now follow suit? EU to approve one-pill-a-day...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Kufuati kifo cha Heath Leadger aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 28 tu huko Manhattan kwa suspected drug overdose, naona kuna umuhimu wa kujadili suala la Drug Overdose. Yeye sio wa kwanza...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom