Kuna aina mbili za kisukari type 1 ambayo mwili hautengenezi insulin[inayothibiti sukari mwilini]na unahitaji kujidunga sindano mbili kili siku,type 2 ambayo mwili unatengeneza insulin lakini haitoshi na unameza vidonge kuongezea.Nimekua na type 2 kwa miaka 10 sasa na nafunga kama kawaida.Fata masharti ya kutokula vitu vitamu,kufanya mazoezi na kumeza dawa.
Wapo wengi wanaofunga..Ninapoishi nina watu kama 2 wote wanafunga na wanaumwa sukari...mmoja hutumia sindano kujidunga...na mwingine hutumia vidonge...
Pia ninayo maelezo ya Dawa ya Kisukari...kuna mtu nilimpatia na ametumia for past 40days ameona kuna mabadiliko makubwa..Hawa nilinao wao wanajifanya washatumia madawa mengi...hivyo nimeachana nao..ukiwa interested nitumie PM..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.