International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wanaukumbi. 🇮🇷 Iran Yakataa Masharti ya Marekani Kuhusu Fidia: 🇮🇷 Iran yasema Marekani haiwezi kuamua fidia ya kifedha kwa upande mmoja katika makubaliano yoyote ya amani. Tehran inadai...
5 Reactions
39 Replies
503 Views
Wanaukumbi. Qatar — imetatua tatizo la mwisho: $12 bilioni katika mali za Iran zilizogandishwa. Mkataba huo unahamia kwa sababu ya Doha. 🇮🇷 Iran — inapata mabilioni ya pesa zilizogandishwa...
0 Reactions
7 Replies
191 Views
Rais Denis Sassou Nguesso amesema kuwa uamuzi huo wa kufuta hitaji la visa kwa nchi yake utaanza rasmi 2027, ikiwa ni sehemu ya msisitizo na dhamira yake ya dhati kuelekea misingi ya Uafrika...
2 Reactions
0 Replies
56 Views
Baada ya mashambulizi ya mwishoni mwa juma lilopita, Russia leo imetoa onyo kwa mabalozi na raia wa kigeni walioko mjini Kyiv kuondoka katika mji huo kupisha mashambulizi ya makombora yanolenga...
4 Reactions
11 Replies
249 Views
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ahmadou Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Ahmadou Lo, ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu katika Benki Kuu ya Mataifa ya Afrika...
0 Reactions
4 Replies
109 Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameomba kuahirisha kutoa ushahidi katika kesi yake ya ufisadi ya muda mrefu ambayo ilipangwa kuendelea wiki ijayo, akitoa sababu ya hali ya usalama inayoendelea...
3 Reactions
2 Replies
195 Views
Wameanza kulia kulia na kuweka vikao kujadili silaha iliyotumika used a powerful hypersonic Oreshnik ballistic missile in an overnight missile and drone attack on Kyiv, Ukrainian President...
2 Reactions
8 Replies
276 Views
Watu watano wamefariki dunia katika shambulio dhidi ya msikiti mmoja huko San Diego nchini Marekani, baada ya washukiwa wawili kuvamia eneo hilo kabla ya kujitoa uhai kwa kujipiga risasi. Waumini...
16 Reactions
84 Replies
1K Views
🇮🇱🇮🇷➡️ The IAF has eliminated someone important in the heart of Tehran. Rumours say it was Mohammad Bagher Ghalibaf, the president of the Iranian parliament. We will find out soon enough but...
2 Reactions
26 Replies
735 Views
Msemaji wa wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei: Ukweli kwamba tumefikia hitimisho kuhusu sehemu kubwa ya mada zinazojadiliwa ni sahihi. Hata hivyo, kusema kwamba hii ina maana kwamba...
0 Reactions
7 Replies
149 Views
Urusi pia ilirusha makombora mawili ya masafa ya kati ya Oreshnik yenye risasi za MIRV kuelekea eneo la Kiev, huku picha zikionyesha athari nyingi za kuingizwa tena karibu na Bila Tserkva...
1 Reactions
17 Replies
383 Views
Spika wa bunge la Senegal ametangaza kujiuzulu nafasi yake, siku mbili tu baada ya mshirika wake wa karibu kufutwa kazi kama Waziri Mkuu, hatua inayozidisha mzozo wa kisiasa nchini humo. Uamuzi...
0 Reactions
2 Replies
160 Views
Aliyekuwa Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika Kusini, Naledi Pandor, pamoja na familia yake, walivamiwa na kushikiliwa kwa mitutu ya bunduki na majambazi wenye silaha nyumbani...
1 Reactions
4 Replies
111 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
14K Replies
231K Views
Kituo cha Rwampara kilichomwa moto na vijana wenye hasira wakati wakijaribu kuchukua mwili wa rafiki yao aliyedhaniwa kufa kwa Ebola, kwa mujibu wa ushahidi wa mtu mmoja aliyezungumza na shirika...
1 Reactions
8 Replies
178 Views
Siku ya jumatano, waislamu waliokuwa kwenye ibada, walishambuliwa kwa bomu na watu wasio julikana hapo NIGERIA kwanini katika mAPIGAno na BOKO HARAM tunaweka wakristo mbele huku waislamu...
6 Reactions
74 Replies
1K Views
Magaidi wa Hezbollah bado wanapata kipondo ki Takatifu kutoka majeshi hodari ya Israel!!!
0 Reactions
4 Replies
80 Views
Ripoti mpya ya Axios inasema makubaliano yanayoibuka kati ya utawala wa Trump na Iran yanaweza kujumuisha Tehran kutoa akiba yake ya urani iliyoruyubishwa, kusimamisha urutubishaji wa urani kwa...
0 Reactions
9 Replies
171 Views
Baada ya Ukraine kuwashambulia URUSI kwa drones na kwenda kupiga kwenye Shule ya Watoto wa Primary usiku wa kuamkia Jana, leo Rais Putin kaidhinisha vikosi vyote vya Nyuklia kuanza mazoezi na...
5 Reactions
15 Replies
364 Views
The impending expiration of the current nuclear arms agreement between the United States and Russia on February 5, 2026, also called New START, would leave the countries without any cap on the...
0 Reactions
4 Replies
146 Views
Back
Top Bottom