econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 23,418
- 35,421
Kundi la Hamas limetangaza kuvunja serikali yake ya utawala wa Gaza ili kupisha kamati ya wataalamu wa Kipalestina itakayosimamia shughuli za kiraia katika Ukanda wa Gaza. Hatua hiyo ni sehemu ya mpango wa mpito uliokubaliwa katika mazungumzo ya kusitisha mapigano.
Swali: Nani aliwapa Hamas ushauri wa kuishambulia Israeli?. Leo wamepoyeza udhibiti
Swali: Nani aliwapa Hamas ushauri wa kuishambulia Israeli?. Leo wamepoyeza udhibiti