International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kiongozi wa China, Xi Jinping, anatarajia kumpokea rafiki yake, Vladimir Putin, ikiwa ni chini ya wiki moja tangu kukamilika kwa ziara kubwa ya Donald Trump nchini humo. Hatua hii inajiri huku...
0 Reactions
3 Replies
197 Views
Rais Duma Gideon Boko wa Botswana ametoa onyo kali kwa watu wanaotuhumiwa kufuja rasilimali za umma, akitangaza kuwa serikali yake itafuatilia urejeshaji wa fedha zilizoibiwa bila kujali ni lini...
2 Reactions
7 Replies
253 Views
Wanaukumbi. Waziri wake wa Mambo ya Nje Araghchi anasema Mlango-Bahari wa Hormuz uko 100% katika maji ya eneo la Iran na Oman — HAKUNA maji ya kimataifa kati ya hayo. Tafsiri: "Hii ni uwanja...
5 Reactions
44 Replies
509 Views
Je, sasa ni wakati sahihi kusema all roads lead to Beijing ? Au ni kama ajali imetokea tu ziara za viongozi mbalimbali wa mataifa makubwa kuongozana Beijing ? Nini hasa kinacho sukuma kwa sasa...
6 Reactions
12 Replies
205 Views
Why Fans Are Calling Joli the “Cameroon Ayra Starr” And Why “Mule Makossa Remix” Is Fueling the Conversation A new conversation is rapidly taking over African music spaces, and it surrounds...
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Televisheni ya serikali ya Iran sasa hivi inarusha vipindi vya mafunzo ya jinsi ya kutumia bunduki aina ya AK-47 kwa raia, ambapo wakufunzi kutoka jeshi la IRGC wanaonyesha namna ya kushika...
6 Reactions
42 Replies
768 Views
Mtu ukijaribu kutafuta tofauti ya akili ya Samuya na akili ya Trump utahitaji tochi yenye nguvu sana. Umeshawahi kuona wapi kiongozi anaishitaki Serikali anayoiongoza kisha anafanya nayo...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Israeli imeanza kuizuia meli ya Magaidi wa kiislamu ya "Global Sumud Flotilla" inayoongozwa na Uturuki iliyoondoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza mnamo Mei 14, huku vikosi vya majini vya Israeli...
0 Reactions
2 Replies
81 Views
Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel umekuwa ukitolewa mara kwa mara na viongozi wa kiislamu kote duniani swali najiuliza Je wanaweza? Natarajia kuona...
9 Reactions
36 Replies
392 Views
Raia wachoma magurudumu ya magari barabarani huku mgomo wa usafiri ukiendelea Kenya Chanzo cha picha,NMG Wahudumu wa uchukuzi wa umma wamesema watalemaza sekta ya usafiri hadi pale mamlaka ya...
2 Reactions
8 Replies
241 Views
Askari wa IDF ambaye alionekana kwenye picha akiweka sigara mdomoni mwa sanamu ya Bikira Maria, katika kijiji cha Wakristo kusini mwa Lebanon, amehukumiwa kifungo na kazi ngumi kwa siku 21 jela...
4 Reactions
59 Replies
571 Views
IMETHIBITISHWA: Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad, ameangamizwa bila huruma huko Gaza. Hii inadhibitisha wazi kuwa Israel ina mkono mrefu!! Habari za kifo hiki ziwafikie Mzee wa Uharo Ritz...
8 Reactions
22 Replies
301 Views
I recently watched a Symposium hosted by Central European University, and the speaker was none other than the eminent and legendary Joseph Nye from Harvard Kennedy School of Governance. The topic...
17 Reactions
140 Replies
11K Views
Kulingana na mwandishi mkuu wa Al Jazeera huko Tehran, Marekani imekataa pendekezo la Iran kwa ukamilifu na wakati wowote Iran itaanza kupigwa!! Pendekezo la Iran lilijumuisha masharti 5 ambayo...
1 Reactions
3 Replies
234 Views
WHO IS NEXT Russian parliament approves law allowing Putin to invade other countries Huyu bwana Putin ni smart sana hakurupuki kama wengine . Wengine wanaweza kukurupuka tu asubuhi na kuanzisha...
6 Reactions
8 Replies
241 Views
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ameendelea kusisitiza umuhimu wa amani na mshikamano kati ya vyombo vya dola na wananchi, kwa kueleza kuwa hataki polisi wake kutumia vitisho kwa raia wala...
2 Reactions
7 Replies
325 Views
Kadiri miaka inavyoenda ndivyo umuhimu wa China unazidi kuonekana duniani, Mchina ana soft power moja inayokua kwa kasi sana. China haihitaji kuanzisha unnecessary wars and conflicts duniani kama...
14 Reactions
31 Replies
999 Views
Serikali ya Ivory Coast imevunja Tume Huru ya Uchaguzi (CEI) baada ya malalamiko ya muda mrefu na kutoka kwa wapinzani kuhusu jinsi chombo hicho kinavyoendesha chaguzi nchini humo. Hayo...
2 Reactions
4 Replies
195 Views
Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu...
3 Reactions
15 Replies
446 Views
Netanyahu: Vita na Iran havijaisha, uranium iliyotajirishwa lazima ‘iondolewe’ Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anasema kwamba vita na Iran havijaisha kwani bado kuna uranium iliyotajirishwa katika...
1 Reactions
32 Replies
475 Views
Back
Top Bottom