International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

  • Redirect
Kama unafikiri huu ndio mwisho wa response ya Israel kwa Islamic Republic huielewi Israel Serikali ya kislam ya Iran imejaa ma agent wa Israel tegemea matukio mengi hivi karibuni
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Niaje waungwana Naona hata hapa ni wayahudi wa wachache wa bonyokwa ndio wamejitutumua ku report kashambulio ka Israel, ambako kimezuiwa mara moja bila kuleta madhara. Kila mtu anakumbuka...
4 Reactions
Replies
Views
Habari waungwana Wana jamii forum wenzangu. Inshu ya vita mashariki ya kati imekaa kimkakati sana. Ukweli ni kwamba mhusika mkuu Bado hataki kujulikana ambaye ni mmarekani, lengo limekwisha...
4 Reactions
26 Replies
560 Views
  • Redirect
Dunia nzima imeripuka na taarifa na dhana kuwa Israel imejibu mapigo ya Iran.Wengine wakaenda mbali na kusema Israel imepiga Iraq,Syria na hiyo Iran. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Iran...
1 Reactions
Replies
Views
Nchi ya UAE inayounganisha na jimbo la Dubai ni miongoni mwa mataifa tajiri sana duniani.Kila kitu wamependelea kiende kiteknolojia hata pasipokuwa na umuhimu wa namna hiyo. Maendeleo hayo ndiyo...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Marekani ilikua inatumia nguvu nyingi kuzuia operesheni ya kupiga Rafah, ila kwa sasa imelegeza kama njia ya kuzuia Israel kupiga Iran. Ikumbukwe mojawapo wa sababu kuu kwanini inabidi Iran...
5 Reactions
39 Replies
1K Views
Habari JF Ili mjue nani mwamba Kati ya Iran na Israel fuatana na mimi twende pamoja. IRAN NA ISRAEL,NANI MWAMBA? Tarehe 13/04/2024,Islamic Revolutionary Guards Corps (IRGC) ambayo ni tawi la...
0 Reactions
8 Replies
576 Views
  • Redirect
Wanaukumbi. 🇮🇱🇮🇷 Israel ilishambulia Isfahan ya Iran kwa kutumia ndege zisizo na rubani Vyombo vya habari viliripoti hayo kwa kurejelea taarifa kutoka upande wa Iran. Mji muhimu kimkakati...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari za asubhui imeripotiwa Leo Israel kafanya revenge ndogo ndani ya Iran kwa kile kilichosubiliwa na wengi imekuwa kama suprise maana Israel ilionesha haitaipiga Iran hivi karibuni pengne hadi...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Israel bombs Iran and Syria 18 APRIL 2024 Israel has reportedly launched Missile attacks against Iran, in an escalatory "response" to the Iran retaliation over Israel Bombing Iran's Embassy...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Tayari Israel imejibu shambulio lililofanywa na Iran dhidi yake takriban wiki iliyopita. Miripuko imesikiaka kwenye mji wa Isfahan ambapo Iran imekiri kutokea kwa shambulio hilo Shirika la habari...
1 Reactions
Replies
Views
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele...
20 Reactions
147 Replies
4K Views
Wakati maelfu ya wapalestina wakiuliwa kama kuku,viongozi wa nchi za kiarabu walipiga kimya na kula biriani zao wakiona hayo hayawahusu. Hata diplomasia zao na kulaani kulikuwa kwa njia za...
1 Reactions
9 Replies
690 Views
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na...
1 Reactions
12 Replies
562 Views
Habari ya siku ya leo wana JF, naamini leo ni siku ya Sabatho takatifu wenye kumuabudu Mungu waandelee na juhudu maana Mungu ni Msikivu. Twende na mimi pamoja; Bila shaka umesikia viongozi wengi...
1 Reactions
11 Replies
456 Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
18 Reactions
194 Replies
7K Views
Kilichoipata Israel kutokana na kipigo cha Iran ni siri kubwa japo kidogo kidogo ukweli unaanza kujitokeza. Marekani imesema makombora 9 ya ballistic hayakushikika na yalitua kwenye kambi mbili...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Konsela wa Ujerumani Olaf Scholz hivi karibuni alifanya ziara nchini China ambapo alitembelea Manispaa ya Chingqing, ikiwa ni kituo chake cha kwanza katika ziara hiyo ya siku tatu. Hii ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Naona maji yanazidi kuzidi unga huko Middle East Shambulizi la Hezbollah limeondoka na roho za wanajeshi 18 wa Israel papo hapo na huku makumi wakiwa majeruhi Hii inaitwa kujitumbukiza kwenye...
8 Reactions
15 Replies
832 Views
Back
Top Bottom