⚠️picha za kutisha⚠️
Israel ilifanya shambulio lililolenga gari katika kitongoji cha Rimal kaskazini mwa Gaza. Magaidi 4 waliangamizwa.
Kwa jumla, angalau magaidi 28 waliangamizwa leo katika...
Zimbabwe bid a final farewell on Tuesday to Nothabo Zandile Tshuma (42) and her daughters, Natalie (15) and Nala (5), whose deaths in the United Kingdom shocked communities both at home and across...
Mahakama ya Sri Lanka imewahukumu adhabu ya kifo aliyekuwa Mkuu wa Polisi wa nchi hiyo, Pujith Jayasundara, na aliyekuwa Katibu wa Wizara ya Ulinzi, Hemasiri Fernando, kwa kosa la uzembe mkubwa...
Iran na Oman zinaripotiwa kukaribia kufikia makubaliano mapya ya kuruhusu usafiri wa meli kurejea katika Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hizo mbili zikitarajiwa kugawana udhibiti wa njia za...
Mshahara wa wastani wa kila mwezi wa Israeli ulifikia NIS 15,223 kuanzia mwezi Juni,( sawa na Tshs 13,414,567/) ongezeko la 7.7% kutoka mwaka mmoja uliopita, kulingana na makadirio ya awali ya...
Raia kutoka nchi 50, zikiwemo 30 za Afrika, watakabiliwa na amana za usalama za hadi dola 20,000 za Marekani wakati wa kuomba visa fulani za biashara na utalii chini ya programu ya kudumu ya...
Hii mada itawakera wale wenzangu na mimi wenye mapenzi yaliyopitiliza kwa taifa la Marekani! Lakini ukweli mchungu ni kwamba AMERICA WILL NEVER BE GREAT AGAIN...! what a painful truth!
Akiwa...
Jana IDF ilishambulia kusini mwa Gaza na kumuua gaidi Salem Jamal Abd al-Rahman Abu Labad, kamanda wa seli ya Hamas Nukhba. Gaidi huyo alijipenyeza Kibbutz Nir Oz wakati wa mauaji ya Oktoba 7...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatarajia kufanya kuwa wa kudumu mpango wa majaribio unaowataka raia wa mataifa 50, mengi yakiwa ya Afrika, kutoa dhamana kubwa wanapoomba viza, huku gharama...
Mahakama ya Korea Kusini imemuamuru bilionea wa teknolojia na Mwenyekiti wa SK Group, Chey Tae-won, kumlipa aliyekuwa mkewe, Roh So-yeong, won bilioni 944, sawa na takribani dola milioni 640...
YONI NETANYAHU ALIHESHIMIWA ENTEBBE—MIAKA 50 BAADAE
Sanamu ya shaba ya Luteni Kanali Yoni Netanyahu sasa imesimama katika kituo cha zamani cha Uwanja wa Ndege wa Entebbe, ikizinduliwa katika...
Ndo ile ukisikia adui yako kawa rafiki yako ndio hii sasa,
Baghdad, Iraq
Ni wanajeshi 12 miongoni mwa askari 551 amboa walijulikana kama "Super twelve' walipewa jukumu la kumlinda raisi Saddam...
Nadhani Washauri wa Trump hawakufanya Tathmini ya kutosha kuingia vitani na Iran.
Vita vilipochanganya na Marekani alipoanza kupoteza akaenda Kumuomba RAIS wa china asimuizie silaha Iran,Xi...
Mgogoro wa Iran
Kikosi cha uokoaji cha Marekani kiliacha ndege mbili aina ya MC-130J na helikopta nne aina ya MH-6 Little Bird ndani ya Iran baada ya usafiri huo kuzama kwenye mchanga laini wa...
Zimbabweans seeking to travel to the United States will now have to apply for visas in South Africa after the U.S. Department of State moved routine visa processing from Harare to regional visa...
Zimbabwe’s long history of street protests faced another test on 31 July, when activists called for nationwide demonstrations against Constitution Amendment Act No. 3 — a controversial law that...
Iran imewanyonga raia wake wawili, baada ya kutuhumiwa kwa kutuma taarifa nyeti za kijeshi pamoja na location za maeneo ya kiusalama kwenda Israel. Inadaiwa kuwa taarifa hizo zilitumwa wakati wa...
Kila taifa lina wakati mmoja ambao linaamua kuwekeza kwenye kesho badala ya kuendelea kuboresha jana. Rwanda inaonekana kufikia hatua hiyo. Uamuzi wa kuzima mtandao wa 3G ifikapo 2027 hauhusu...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Tathmini mpya za wataalamu wa masuala ya ulinzi wa Center for Strategic and International studies (CSIS) zinaonyesha kuwa Marekani imetumia zaidi ya asilimia 65 ya makombora yake ya Patriot...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.