International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kwa Mujibu wa Taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya Al Jazeera Aprili 6, 2026, Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani ilijaribu kuwapelekea silaha kwa siri waandamanaji wa Iran kupitia...
2 Reactions
1 Replies
123 Views
Ni drug dealer maarufu Kwa jina la Wap-wap, nchini Thailand Nahisi alikuwa na mbinu zake za kuwakimbia polisi.kulikuwa na dancing festival Police Wakatumia mbinu ya kuvaa magauni na mask kama...
8 Reactions
15 Replies
261 Views
Meli za kivita zimewasili hapo carribean, zikijiandaa kumuondoa castro na utawala wake wa unyama. Iran bado anapikwa, magaidi naijeria wanaoua wakristo wanaungua, etc. Ahsante Trump
8 Reactions
52 Replies
985 Views
Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran. Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa...
2 Reactions
9 Replies
172 Views
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Jumatatu kuwa Israel itaongeza nguvu ya mashambulizi yake nchini Lebanon ili “kuisambaratisha” Hezbollah. Katika ujumbe wa video uliorekodiwa...
1 Reactions
2 Replies
47 Views
Kumekuwa na dhana potofu zinazoenezwa na Wafuga Midevu na Majini wakiongozwa na Mzee wa UHARO Ritz na mjinga mwenzako zitto junior wakidai kuwa Israel ni wachokozi na wanavamia nchi zingine...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Polisi wa Basque (Ertzaintza) huko Bilbao, Uhispania walipambana na wanaharakati wa Kiislamu wa meli za kivita waliokuwa wakirejea katika Uwanja wa Ndege wa Bilbao leo. Baada ya kukamatwa katika...
0 Reactions
8 Replies
174 Views
  • Redirect
Ousmane Sonko amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Senegal, siku chache baada ya Rais kutengua uteuzi wake kama waziri mkuu. Leo wabunge walipiga kura kumrejesha bungeni, kisha kumchagua kuongoza...
0 Reactions
Replies
Views
Princess Joyce Matthew Andrew Appointed North Central Coordinator of RELAX TINUBU IS FIXING NIGERIA Princess Amb. Dr. Joyce Matthew Andrew has been appointed as the North Central Coordinator of...
0 Reactions
1 Replies
40 Views
Baada ya Trump kutangaza kuwa wako karibu kufikia Muafaka na Magaidi ya Serikali ya Mapinduzi ya Iran, Israel kuna uwezekano mkubwa wakashindwa kukubaliana na makubaliano dhaifu yanayokwenda...
1 Reactions
26 Replies
365 Views
Wanaukumbi. 🇮🇷 Iran Yakataa Masharti ya Marekani Kuhusu Fidia: 🇮🇷 Iran yasema Marekani haiwezi kuamua fidia ya kifedha kwa upande mmoja katika makubaliano yoyote ya amani. Tehran inadai...
5 Reactions
39 Replies
442 Views
Wanaukumbi. Qatar — imetatua tatizo la mwisho: $12 bilioni katika mali za Iran zilizogandishwa. Mkataba huo unahamia kwa sababu ya Doha. 🇮🇷 Iran — inapata mabilioni ya pesa zilizogandishwa...
0 Reactions
7 Replies
163 Views
Rais Denis Sassou Nguesso amesema kuwa uamuzi huo wa kufuta hitaji la visa kwa nchi yake utaanza rasmi 2027, ikiwa ni sehemu ya msisitizo na dhamira yake ya dhati kuelekea misingi ya Uafrika...
2 Reactions
0 Replies
50 Views
Baada ya mashambulizi ya mwishoni mwa juma lilopita, Russia leo imetoa onyo kwa mabalozi na raia wa kigeni walioko mjini Kyiv kuondoka katika mji huo kupisha mashambulizi ya makombora yanolenga...
4 Reactions
11 Replies
226 Views
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ahmadou Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Ahmadou Lo, ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu katika Benki Kuu ya Mataifa ya Afrika...
0 Reactions
4 Replies
101 Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameomba kuahirisha kutoa ushahidi katika kesi yake ya ufisadi ya muda mrefu ambayo ilipangwa kuendelea wiki ijayo, akitoa sababu ya hali ya usalama inayoendelea...
3 Reactions
2 Replies
193 Views
Wameanza kulia kulia na kuweka vikao kujadili silaha iliyotumika used a powerful hypersonic Oreshnik ballistic missile in an overnight missile and drone attack on Kyiv, Ukrainian President...
2 Reactions
8 Replies
259 Views
Watu watano wamefariki dunia katika shambulio dhidi ya msikiti mmoja huko San Diego nchini Marekani, baada ya washukiwa wawili kuvamia eneo hilo kabla ya kujitoa uhai kwa kujipiga risasi. Waumini...
16 Reactions
84 Replies
1K Views
🇮🇱🇮🇷➡️ The IAF has eliminated someone important in the heart of Tehran. Rumours say it was Mohammad Bagher Ghalibaf, the president of the Iranian parliament. We will find out soon enough but...
2 Reactions
26 Replies
716 Views
Msemaji wa wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei: Ukweli kwamba tumefikia hitimisho kuhusu sehemu kubwa ya mada zinazojadiliwa ni sahihi. Hata hivyo, kusema kwamba hii ina maana kwamba...
0 Reactions
7 Replies
131 Views
Back
Top Bottom