International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mhalifu mwenye umri wa miaka 21 aliyetambuliwa kama Nasire Best alipigwa risasi na kuuawa na maafisa wa Secret Service baada ya kufyatua risasi karibu na Ikulu ya White House Jumapili jioni, na...
4 Reactions
54 Replies
857 Views
Drone strikes residential building in Romania (VIDEO) Romania’s Defense Ministry claimed that the UAV which injured two people in the city of Galati came from Russia A residential building...
2 Reactions
6 Replies
375 Views
Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel...
5 Reactions
36 Replies
571 Views
Ni drug dealer maarufu Kwa jina la Wap-wap, nchini Thailand Nahisi alikuwa na mbinu zake za kuwakimbia polisi.kulikuwa na dancing festival Police Wakatumia mbinu ya kuvaa magauni na mask kama...
9 Reactions
17 Replies
470 Views
Hivi karibuni China imeandika historia mpya ya teknolojia duniani. Kwa miaka mingi Marekani, South Korea na Taiwan zilikuwa The Big 3 Cartel walitawala GPU na memory chips. Wakiamua supply...
13 Reactions
71 Replies
1K Views
Niaje waungwana Habari ndio hiyo, baada ya muda mchache wa kutangaza makubaliano mapya na Iran, ghafla milio ya risasi ilisikika nje ya white house na kusababisha hatihati katika eneo zima la...
3 Reactions
45 Replies
740 Views
Mashambulizi ya Iran dhidi ya kambi za jeshi la marekani mashariki ya kati yameharibu vifaa na miundo mbinu 228 kwa mujibu wa picha za satellite zilizoachiwa.Idadi ya uharibifu ni mkubwa mno...
2 Reactions
3 Replies
359 Views
Nchini Afghanistan chini ya utawala wa Taliban, sheria mpya imeifanya iwe karibu haiwezekani kwa wanawake kupata talaka, katika taifa ambalo takriban asilimia 70 ya wasichana wako kwenye ndoa za...
3 Reactions
20 Replies
392 Views
Rais wa Senegal ametoa msamaha kwa mwandishi wa habari, Rene Capain Bassene, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha maisha jela kuhusiana na mauaji ya watu 14 yaliyotokea mwaka 2018 katika mkoa wa...
3 Reactions
4 Replies
257 Views
Wanakumbi. ⚡️EXCLUSIVE: We have obtained a complete version of the current “Memorandum of Understanding” between Iran and the United States Details of the current Peace Deal, per an Iranian MP...
0 Reactions
3 Replies
218 Views
Ghana inatarajia kuanzisha mfumo mpya wa viza kwa njia ya mtandao (e-visa), ambao utakuwa bure kabisa kwa raia wote wa nchi za Afrika. Taifa hili linatarajia kwamba hatua hii ya kutoa viza bila...
1 Reactions
0 Replies
177 Views
Gabon’s High Authority for Communication (HAC), the country’s media and telecommunications regulator, announced an open-ended suspension of dominant social media platforms to curb what it termed...
1 Reactions
2 Replies
109 Views
Jeshi la Marekani usiku huu wa tarehe 26/05/2026 limefanya mashambulizi ya kijeshi kwenye sites za kurushia makombora za Iran na boti ambazo wamedai zilikuwa zinajaribu kusimika mabomu baharini...
4 Reactions
69 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Rais wa Marekani Donald Trump amekataa pendekezo lililoripotiwa ambapo Oman na Iran walikuwa wakijadili mpango wa kutoza ushuru meli zinazopita kwenye Mlango wa bahari wa Hormuz...
5 Reactions
28 Replies
614 Views
Lithiamu inajulikana kama “mafuta meupe” katika zama ya nishati safi ya karne ya 21. Hivi karibuni shehena ya kwanza ya bidhaa za lithiamu sulfate zilizosindikwa kutoka Afrika ilisafirishwa kutoka...
3 Reactions
7 Replies
272 Views
China imeongeza sana uzalishaji wa umeme wake tangu mwaka 2014. Katika kipindi cha miaka 10, uzalishaji wa umeme umeongezeka kwa karibu 74%, jambo ambalo ni ongezeko kubwa sana. Mwaka 2014...
8 Reactions
20 Replies
490 Views
Angalia video hapo chini ndipo utajua Wafuga Midevu na Majini wana matatizo sana vichwani mwao!!
1 Reactions
2 Replies
170 Views
Eti Digrii ya histori ,au Digrii ya biashara hata kusimamia genge hawawezi hawa watoto wenu
-1 Reactions
3 Replies
171 Views
Tanker ya kwanza kati ya sita za ndege za mafuta za KC-46A Pegasus zilizoagizwa na Israeli, zilizopewa jina la Gideon na Jeshi la Anga la Israeli na zinazotarajiwa kuchukua nafasi ya Tanker zake...
2 Reactions
4 Replies
236 Views
Baada ya Israeli kujiondoa huko Lebanon-Kusini Hezbollah iliendelea kupanua miundombinu yake ya ugaidi karibu na maeneo ya raia kote Lebanon. Kwa miaka mingi, ilijenga silaha kubwa za roketi na...
3 Reactions
2 Replies
128 Views
Back
Top Bottom