Wakuu wa tawi la kijeshi la Hamas waliokaa kwa miaka ming na siku chache!!!
Orodha hii aione Bumunda zitto junior
1. Salah Shehadeh, mwanzilishi wa tawi la kijeshi la Hamas na kamanda wake wa...
Rais wa zamani wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel. Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa Iran kuanzia mwaka 2005...
Karibu mahujaji milioni 2 wa Kiislamu walikusanyika jana kwenye uwanda wa Mina nchini Saudi Arabia kabla ya kupanda Mlima Arafat, kuashiria kilele cha hija ya kila mwaka ya Hajj na mwanzo wa Eid...
Wakomunists na Wasoshalists wamekuwa wakiwachukia Wayahudi na Taifa la Israel. Kwa ufupi wana Itikadi hii kwa ujumla hupiga vita dini hasa dini za kikiristo kwa kisingizio kuwa Zinajinasbisha na...
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu katika ufunguzi wa Baraza la Mawaziri la Usalama leo:
Tunaimarisha shughuli zetu nchini Lebanon. Jeshi la IDF linafanya kazi na vikosi vikubwa ardhini na...
Bunge la Senegal limemchagua Waziri Mkuu wa zamani, Ousmane Sonko, kuwa Spika mpya. Hatua hii inaweza kumpa jukwaa lenye nguvu kubwa la kutoa upinzani kwa Rais Bassirou Diomaye Faye.
Spika wa...
Wanaukumbi.
Pakistan yakataa shinikizo la Trump la Makubaliano ya Abraham, yasema kuhalalisha na Israeli 'hakukubaliki'
——
Waziri wa Ulinzi wa Pakistani Khawaja Asif alikataa wito wa Rais wa...
Jeshi la IDF limeshambulia na kuangamiza katika shambulio lililolengwa huko Gaza - Mohammed Odeh - kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la shirika la kigaidi la Hamas na mmoja wa wasanifu wa mauaji ya...
Viwanda vya ulinzi vya Israeli vinajitahidi kuzuia ndege mpya zisizo na rubani za Hezbollah zenye hatari - na baadhi ya suluhisho zinasikika kama hadithi za kisayansi.
Miongoni mwa teknolojia...
Marekani imewafahamisha washirika wa Ulaya kwamba inapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa michango yake ya kijeshi kwa NATO, ikiwasihi wachukue hatua haraka ili kuziba pengo hilo, kulingana na chombo...
Marekani imefanya mashambulizi dhidi ya maeneo ya makombora ya Iran na meli karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz baada ya vikosi vya Iran kuripotiwa kutishia wanajeshi wa Marekani na kujaribu kuweka...
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya Al Jazeera Aprili 6, 2026,
Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani ilijaribu kuwapelekea silaha kwa siri waandamanaji wa Iran kupitia...
Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran.
Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa...
Polisi wa Basque (Ertzaintza) huko Bilbao, Uhispania walipambana na wanaharakati wa Kiislamu wa meli za kivita waliokuwa wakirejea katika Uwanja wa Ndege wa Bilbao leo.
Baada ya kukamatwa katika...
Ousmane Sonko amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Senegal, siku chache baada ya Rais kutengua uteuzi wake kama waziri mkuu. Leo wabunge walipiga kura kumrejesha bungeni, kisha kumchagua kuongoza...
Baada ya Trump kutangaza kuwa wako karibu kufikia Muafaka na Magaidi ya Serikali ya Mapinduzi ya Iran, Israel kuna uwezekano mkubwa wakashindwa kukubaliana na makubaliano dhaifu yanayokwenda...
Wanaukumbi.
🇮🇷 Iran Yakataa Masharti ya Marekani Kuhusu Fidia:
🇮🇷 Iran yasema Marekani haiwezi kuamua fidia ya kifedha kwa upande mmoja katika makubaliano yoyote ya amani.
Tehran inadai...
Wanaukumbi.
Qatar — imetatua tatizo la mwisho: $12 bilioni katika mali za Iran zilizogandishwa. Mkataba huo unahamia kwa sababu ya Doha.
🇮🇷 Iran — inapata mabilioni ya pesa zilizogandishwa...
Rais Denis Sassou Nguesso amesema kuwa uamuzi huo wa kufuta hitaji la visa kwa nchi yake utaanza rasmi 2027, ikiwa ni sehemu ya msisitizo na dhamira yake ya dhati kuelekea misingi ya Uafrika...
Baada ya mashambulizi ya mwishoni mwa juma lilopita, Russia leo imetoa onyo kwa mabalozi na raia wa kigeni walioko mjini Kyiv kuondoka katika mji huo kupisha mashambulizi ya makombora yanolenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.