Honestly, kuanguka kwa huyu mwamba kiboko ya mataifa ya magharibi kumenihuzunisha sana. Was it coincidence or planned. Mbona imekuwa haraka sana wakati jana tu nimeskia Hezbollah wametuma maelfu...
🇿🇦 South Africa 🌍
📌 Envoys’ boycott signals lack of confidence in Pretoria’s ability to guarantee migrant safety.
📌 This boycott is not just symbolic—it represents a continental diplomatic...
Ghana wapo kwenye mchakato wa kupitisha Sheria ya kuwaruhusu wananchi wenye uraia nchi nyingine(diaspora) kuwa na fursa ya kugombea ubunge na kuwa na haki ya kuteuliwa nafasi ya uwaziri! Cha ajabu...
⚠️Picha za picha kali sana⚠️ GRAPHIC-VIDEO
Umoja wa Mataifa umeongeza vyombo vya Israeli kwenye orodha yake nyeusi ya unyanyasaji wa kijinsia unaohusiana na migogoro kwa mara ya kwanza, ukitaja...
Wanaukumbi.
🇮🇷 Iran is not backing down and sent a clear message 🔥
Trump at 6:00 PM: "Accept our terms or there will be no deal."
🇮🇷 Iran at 7:00 PM : "Listen, Trump. If you propose changes to...
Ni suala la muda tu ulimwengu utaanza kushuhudia matukio ya kigaidi duniani, hususani dhidi ya Marekani, raia wake na washirika wake. Matukio hayo hayatakua ya kushangaza sana duniani katika siku...
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Lin, amesema China itatuma timu ya wataalamu wa afya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika ukanda...
Irani wajiangalie sana.
US wanapoteza muda makusudi Ili Israel wapate muda mzuri wa kuivuruga Lebanon na kuwafukuzia mbali Hez bulaa Ili wakianza tena kuwashambulia Irani wasipate kipigo kutoka...
Wanaukumbi.
Macron amwita Rais wa Iran Dkt. Masoud Pezeshkian:
Usikaze tena kufunga Mlango-Bahari wa Hormuz na unaweza kupata chochote unachotaka… Ufaransa na Ulaya ziko tayari kufuta vikwazo...
Wakati kakaake Fidel akiwa Rais ye ndo kidume cha utekaji, utesaji, ufiraji, ubakaji na mauaji
Lakini hizi jinai za damu huwa haziozi. Methali za mavi ya kale hayanuki ni uongo tulikaririshwa...
Wanaukunbi.
Centcom ilieleza hatua zake kuwa “za tahadhari, za kujihami pekee, na zinazolenga kudumisha usitishaji mapigano.”
Mapema wiki hii, jeshi hilo lilithibitisha kutekeleza mashambulizi...
"Ukistaajabu ya Mussa, Utayaona ya Firahuni" wahenga wetu waliyasema haya!
Ndugu zangu mlistaajabia ya Urusi (Mussa) kule Ukraine, leo hii mnayaona ya Marekani (Firahuni) kule Iran. Mambo...
Hizi nchi mbili zinajiingiza kwenye kimbunga hatari sana.
Wanaruhusu drone za ukraine zipitie kwao halafu ziingie Russia,ndio maana baada ya tamko kutoka Russia na kufanyika kwa mazoezi ya...
Mhalifu mwenye umri wa miaka 21 aliyetambuliwa kama Nasire Best alipigwa risasi na kuuawa na maafisa wa Secret Service baada ya kufyatua risasi karibu na Ikulu ya White House Jumapili jioni, na...
Drone strikes residential building in Romania (VIDEO)
Romania’s Defense Ministry claimed that the UAV which injured two people in the city of Galati came from Russia
A residential building...
Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel...
Ni drug dealer maarufu Kwa jina la Wap-wap, nchini Thailand
Nahisi alikuwa na mbinu zake za kuwakimbia polisi.kulikuwa na dancing festival
Police Wakatumia mbinu ya kuvaa magauni na mask kama...
Hivi karibuni China imeandika historia mpya ya teknolojia duniani.
Kwa miaka mingi Marekani, South Korea na Taiwan zilikuwa The Big 3 Cartel walitawala GPU na memory chips. Wakiamua supply...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.