Gazeti la Financial Times la Uingereza hivi karibuni limechapisha ripoti kuhusu makampuni ya China kuwekeza na kuanzisha viwanda katika Bustani ya Teknolojia ya Tangier nchini Morocco. Katika...
Mwezi Juni kwa kawaida huwa ni msimu wa baridi na wa kupendeza katika maeneo ya uwanda wa juu wa Afrika Mashariki. Lakini wakazi wa Nanyuki katikati mwa Kenya siku hizi wana hasira kubwa...
Roman Gofman anakuwa mkuu mpya wa Mossad; katika sherehe, Netanyahu asema Israeli 'itasaidia' utawala wa Iran kuanguka
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu asema utawala wa Iran "umekusudiwa kupita" na...
KILA RAIS WA MAREKANI LAZIMA AONDOKE NA KICHWA KIMOJA
Unapokuwa rais wa nchi yoyote ile ni kwamba unafuata kile ambacho watu fulani wanataka ukifuate, unaweza kuja na mipango yako na isifanye...
Waziri wa Usalama wa Kitaifa wa Israeli, Itamar Ben Gvir, alitoa video akitangaza sheria yake iliyopendekezwa ambayo ingepiga marufuku utangazaji wa sauti wa mwito wa Kiislamu wa kusali kutoka...
Hawa Iran uthubutu wa kumchimba mkwara Netanyahu wanautoa wapi!?
Siku zinakimbia sana aisee!!!
Kuna kipindi Israel na Marekani walikuwa wanatafuta sababu ya kumtandika Iran, ila sasa hivi Iran...
Kadiri miaka inavyoenda ndivyo umuhimu wa China unazidi kuonekana duniani, Mchina ana soft power moja inayokua kwa kasi sana.
China haihitaji kuanzisha unnecessary wars and conflicts duniani kama...
Marekani inapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya balozi zake barani Afrika zinazoshughulikia maombi ya visa, hatua inayotarajiwa kuongeza udhibiti kwa wanaotafuta vibali vya kuingia nchini...
Mozambique said five of its nationals were killed in “xenophobic attacks” in South Africa at the weekend and efforts were under way on Tuesday to repatriate hundreds of others.
However, the South...
Mabodyguard wa rais wa Misri Abdel-Fattah El Sisi hawakuonesha uungwana kwa kumzuia kwa mkono rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye asimsogelee Rais wao.
Kitendo hicho kilitokea kwenye mkutano wa...
Mbu Milioni 32 Wenye Ugumba Kuachiliwa Marekani Kupambana na Magonjwa
Inaripotiwa kuwa Google inajiandaa kuachilia mbu milioni 32 waliotengenezwa maabara na wasioweza kuzaliana katika maeneo...
Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa Kitaifa katika Bunge la Iran Ebrahim Azizi:
Ikiwa mashambulizi dhidi ya Lebanon hayatakoma kabisa, siku za giza zinangojea utawala wa Kizayuni na vikosi vya...
Jeshi la IDF liliteka tena Ngome ya Beaufort huko Lebanon ambayo Israel iliikalia kisheria kuanzia 1982 hadi 2000 katika vita vya kwanza vya Lebanon.
Safari hii Magaidi wa Hezbollah wanapigwa...
Utawala wa bashar al assad umeanguka
Utawala wa assad ungetakiwa uanguke miaka zaidi ya 10 iliyopita sema kilichokua kinamsaidia ni msaada wa russia na iran ulimfanya kuweza kudumu kwa mda wote...
Kiongozi wa kundi la wanaharakati wa kuwaondoa wageni nchini Afrika Kusini, Jacinta Ngobese-Zuma, hivi karibuni amerekodiwa kwenye video akimuomba na kumsihi mzungu mmoja awaajiri raia wa Afrika...
Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua
Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu...
Hili ni tishio jipya la usalama Kwa nchi zetu za Africa.
Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi...
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetuhumu jeshi la Mali na kikundi cha kijeshi cha Urusi, Wagner, kwa kuhusika na mauaji ya jamii ya Fulani na kutoweka kwa...
Assad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa muda wote.
===
Syria’s Bashar al-Assad and his family have arrived in Moscow and have been granted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.