International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hii ni picha chini ya Gorilla au Sokwe aliyejulikana kwa jina ,,Bantu" huko nchini Mexiko amefariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo! Hahaha Wazungu bhana yaani katika majina yooote wameamua kumpa huyu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya sikuku ya wenzetu waislam nimekuwa nikifirkia hichi kitu kwa muda mrefu... Hivi kuna faida gani kwa nchi zetu za Africa kuwa wanachama kwenye UN?Matatizo mengi tuliyonayo Africa...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Since its commercial introduction in 2007, the Airbus A380 has brought a long-lost sense of glamour back to travel. Its first-class cabins feature private showers and buttery leather armchairs. It...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wengi walikuwa wakisafiri baada ya mwisho wa mfungo wa Ramadhan Watu 12 wamefariki nchini Indonesia kutokana na foleni ya magari iliyosababisha mamilioni ya watu kukwama barabarani siku kadha...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hawa jamaa wagumu balaa
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Pound Overtakes Argentine Peso to Become 2016’s Worst Performer Marianna Duarte De Aragao aragaomarianna July 8, 2016 — 12:51 PM AST Updated on July 8, 2016 — 6:58 PM AST British Pound Stops...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Europe's banks have been a focal point of investor skittishness since Britons voted to leave the European Union, but reasons to be worried about financial firms pre-date the referendum. Whether...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Hili wimbi la kufanyia vitendo vya chuki na kuuwa watu weusi linaendelea, kutoka India, hadi Marekani na sasa Italia Polisi nchini Italia wamemtia mbaroni mwanamme mmoja anayeshukiwa kumpiga...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna duru zinadai.kuwa israel ilihusika kwa namna zote katika mashambulizi ya kigaidi yalotokea madina
1 Reactions
81 Replies
8K Views
Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza. Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni. Washiriki...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Hatimaye Tume ya Uchunguzi chini ya Sir John Chilcot, imemtia hatiani Tony Blair kwa kuliiingiza vitani taifa la Uingereza kwa misingi hafifu na ya uongo. Chilcot Report imesema 1 Hakukuwa na...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Mameya wawili wa zamani wa Rwanda wamehukumiwa kifungo cha maisha jela mjini Paris kutokana na kuhusika kwao na mauaji ya kimbari yaliyotekelezwa mwaka 1994. Octavio Ngenzi na Tito Barahira...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
BOMBA la Mafuta la Afrika Mashariki kutoka Kabale, Uganda mpaka Bandari ya Tanga, litafanya kazi kwa miaka 27 bila kusimama hata kama kiasi zaidi cha nishati hiyo hakitagundulika, imefahamika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Muhammadu Buhari wa Nigeria Alisoma Shule ya msingi Daura na Mai’adua huko Katsina State, Nigeria Kaskazini. Na kisha kujiunga na shule ya Katsina Model mwaka 1953, na badae sekondani ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
This poor woman is one of about 20 people now in prison in Hong Kong after being tricked by the Nigerian Drug Gang operating at Dubai Airport (June 28) She hopes her story will help prevent...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wale washabiki wa Hillary soma hapa Posted on Jul 5, 2016 @ 12:34PM Hillary Clinton was so worried about having her dirty laundry aired out during her time as Secretary of State, the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has denied any knowledge of an assassination attempt on his life during his visit to Kenya. Speaking while in Addis Ababa, Netanyahu stated that he...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Mahakama moja nchini Italia imewaachia huru waandishi wawili wa habari za uchunguzi waliokuwa wakishitakiwa kwa kuchapisha nyaraka za siri zilizoibwa zinazohusiana na kashfa ya rushwa katika makao...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
D.Trump! Mpaka sasa hvi D.Trump anaongoza kwenye kura zote za maoni huko USA hivyo kuna dalili kwamba atashinda uchaguzi kwani Wamarekani wameshachoka na Uongozi wa kisanii wa akina Obama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hofu, woga, ubabe ndio maisha ya dunia yetu ya sasa, asietakiwa kupata haki kaekewa ukuta wa kuzuia haki isimfike, na mwenye kujiona ana haki kajizingirishia ukuta ili haki isitoke, ila kiukweli...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…