Napendekeza waafrika wajitoe United Nations

aminiusiamini

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
3,577
2,224
Wakuu,

Baada ya sikuku ya wenzetu waislam nimekuwa nikifirkia hichi kitu kwa muda mrefu...

Hivi kuna faida gani kwa nchi zetu za Africa kuwa wanachama kwenye UN?Matatizo mengi tuliyonayo Africa yanatokana na UN na tasisi zake ndogo ndogo au nisema tasisi zilizoko kwenye migongo yake kwa mfano WB,WHO etc.

Nashindwa kuelewa uthubutu wa viongozi wetu wa kiafrica katika kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vyetu ila wamekuwa vibaraka wa wazungu,je hili tunalionaje?Kuna mambo mengi tunayajua ambayo yameshatokea au yanatokea lakini viongozi wa kiafrica wapo kama hawapo hivi.

Nawakilisha hoja.
 
wengi wanaweza kukushambulia ila ukweli nia ya kuanzisha taasisi zililenga kuendelea kumnyonya na kumkandamiza mwafrika.Kama kweli waafrika wana nia ya dhati ya kujikomboa wanapaswa kujitoa kwenye taasisi hizi na kuimarisha umoja wao ila kwa akili fupi ya viongozi wetu wanawaza kujitoa kwenye mahakama ya kimataifa tha hague kwa sababu inawabana moja kwa moja viongozi wa nchi za kiafrika
 
Hivi mnawazaje bila kuwa na uelewa mnachokiandika?Ulishawahi kujua WB inafanya nini nchini mwako au UN inamiradi mingapi nchini mwako??kitu kama ukijui acha!usiropoke vitu usivyovijua.
 
Hivi mnawazaje bila kuwa na uelewa mnachokiandika?Ulishawahi kujua WB inafanya nini nchini mwako au UN inamiradi mingapi nchini mwako??kitu kama ukijui acha!usiropoke vitu usivyovijua.

Mkuu nathani wee ndio upo kwenye dunia yako. Ulithani WB ilianzishwa kwa ajili yako na nchi yako? Unasoma vitabu wewe?
 
Mkuu nathani wee ndio upo kwenye dunia yako. Ulithani WB ilianzishwa kwa ajili yako na nchi yako? Unasoma vitabu wewe?

Hivi mnawazaje bila kuwa na uelewa mnachokiandika?Ulishawahi kujua WB inafanya nini nchini mwako au UN inamiradi mingapi nchini mwako??kitu kama ukijui acha!usiropoke vitu usivyovijua.

wengi wanaweza kukushambulia ila ukweli nia ya kuanzisha taasisi zililenga kuendelea kumnyonya na kumkandamiza mwafrika.Kama kweli waafrika wana nia ya dhati ya kujikomboa wanapaswa kujitoa kwenye taasisi hizi na kuimarisha umoja wao ila kwa akili fupi ya viongozi wetu wanawaza kujitoa kwenye mahakama ya kimataifa tha hague kwa sababu inawabana moja kwa moja viongozi wa nchi za kiafrika


wakuu,

Baada ya sikuku ya wenzetu waislam nimekuwa nikifirkia hichi kitu kwa muda mrefu.Hivi kuna faida gani kwa nchi zetu za Africa kuwa wanachama kwenye UN?

Matatizo mengi tuliyonayo Africa yanatokana na UN na tasisi zake ndogo ndogo au nisema tasisi zilizoko kwenye migongo yake kwa mfano WB,WHO etc...

Nashindwa kuelewa uthubutu wa viongozi wetu wa kiafrica katika kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vyetu ila wamekuwa vibaraka wa wazungu,je hili tunalionaje?
Kuna mambo mengi tunayajua ambayo yameshatokea au yanatokea lakini viongozi wa kiafrica wapo kama hawapo hivi.

Nawakilisha hoja.

Hivi WB pia ni UN agency kama zilivyo UNICEF, WHO, UNDP, ILO, etc?
 
Hivi WB pia ni UN agency kama zilivyo UNICEF, WHO, UNDP, ILO, etc?

Hizo ulizozitaja mkuu,ziko chini ya UN. Hao majamaa kwenye macho ya kawaida wanaonekana wako independent ila Wanapeleka taarifa na data UN kwaajili ya maamuzi na majukumu.
 
Mmarekan tu alipojitoa taifa likitaka kuzimia na mradi wao mmoja tu wa umeme je wakitoa hao un ni miradi mingapi itakufa tz na athar zake zitakwaje ukijihoji maswal hayo jibu utapata pia
 
Mmarekan tu alipojitoa taifa likitaka kuzimia na mradi wao mmoja tu wa umeme je wakitoa hao un ni miradi mingapi itakufa tz na athar zake zitakwaje ukijihoji maswal hayo jibu utapata pia

Mkuu kujitoa sio kwamba una nia mbaya sana. Ila tunasema sasa basi. Tunahitaji kuwa free kwenye uchumi na kifikra.
Matatizo yetu mengi yanasababishwa na hawa wazungu;in fact they need us more than we need them.
Ungeatakiwa kuangalia kiasi cha mabilions tunapoteza zikienda ulaya na marekani wakti africa tunapata a fraction of it.

Lets face it. Waafrica we can do this on own. Tunaweza kabisa kufanya inter-continental trade between us Africans.

Kama netanyau alivyosema,wao hawakuanza na lolote bali commitment and their brains.
Kuna ya kujifunza kutoka kwa hawa watu.
 
Uwezo wa kujitoa mnao? Maana kila uchwao ni kuomba misaada alafu leo mnataka kujitoa poleni sana africa
 
Hizo ulizozitaja mkuu,ziko chini ya UN. Hao majamaa kwenye macho ya kawaida wanaonekana wako independent ila Wanapeleka taarifa na data UN kwaajili ya maamuzi na majukumu.
World Bank iko chini ya United Nations?
 
wakuu,

Baada ya sikuku ya wenzetu waislam nimekuwa nikifirkia hichi kitu kwa muda mrefu.Hivi kuna faida gani kwa nchi zetu za Africa kuwa wanachama kwenye UN?

Matatizo mengi tuliyonayo Africa yanatokana na UN na tasisi zake ndogo ndogo au nisema tasisi zilizoko kwenye migongo yake kwa mfano WB,WHO etc...

Nashindwa kuelewa uthubutu wa viongozi wetu wa kiafrica katika kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vyetu ila wamekuwa vibaraka wa wazungu,je hili tunalionaje?
Kuna mambo mengi tunayajua ambayo yameshatokea au yanatokea lakini viongozi wa kiafrica wapo kama hawapo hivi.

Nawakilisha hoja.
Nimeipenda hii.
Mzee wa mlengo wa kushoto.
Mzee Mgabe anasema hivi" what are we doing so far in order Africa to unite "
 
Hivi WB pia ni UN agency kama zilivyo UNICEF, WHO, UNDP, ILO, etc?
Ipo katika UN system japo wao hawataki kuwa katika hiki chombo ila wanalazimika kwakuwa wakubwa wakisema mdogo huwezi kukataa.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Wakuu,

Baada ya sikuku ya wenzetu waislam nimekuwa nikifirkia hichi kitu kwa muda mrefu...

Hivi kuna faida gani kwa nchi zetu za Africa kuwa wanachama kwenye UN?Matatizo mengi tuliyonayo Africa yanatokana na UN na tasisi zake ndogo ndogo au nisema tasisi zilizoko kwenye migongo yake kwa mfano WB,WHO etc.

Nashindwa kuelewa uthubutu wa viongozi wetu wa kiafrica katika kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vyetu ila wamekuwa vibaraka wa wazungu,je hili tunalionaje?Kuna mambo mengi tunayajua ambayo yameshatokea au yanatokea lakini viongozi wa kiafrica wapo kama hawapo hivi.

Nawakilisha hoja.
AU inafanya nini?
 
Back
Top Bottom