Shirkika la habari la Marekani - CNN limeripoti kwamba, bei ya mafuta imepaa kufikia $100 kwa pipa moja
Hii ni baada ya Jeshi la Yemen linaloungwa mkono na Iran, Houthis, kutangaza kufunga...
Majeshi hodari ya Israel Jana yaliendeleza wimbo la kuwaangamiza magaidi wa Hamas huko Gaza safari hii wameangamizwa magaidi 16 waliokuwa tishio kwa majeshi ya Israel
Ndege ya shirika la Enugu Air iliteleza na kutoka nje ya barabara ya kurukia baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Benin siku ya Alhamisi, Julai 24.
Tukio hilo lilisababisha taharuki miongoni...
Takriban watu 20 wameuawa baada ya magenge yenye silaha kuvamia vijiji vya Jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria, kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP.
Mwakilishi wa Wilaya ya Sauna...
Watch this Space
Hakuna maelezo mengi, mwenye kujua atachangia, kama hujui kitu, kafe mbele, usilite ulugaluga na uporipori wako hapa.........
cc Xi Jinping
Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Gazeti la Financial Times la Marekani, imenukuu utafiti uliofanywa na kampuni ya ushauri wa kimkakati duniani Ernst & Young-Brexit, ikisema kama Marekani, Umoja...
Maandamano nchini India yamechukua sura mpya baada ya mmoja wa waandamanaji kulipanda gari la polisi la maji ya kuwasha na kuligeuzia maafisa wa usalama wakati wa jitihada za kutawanya...
Wengi wetu hatufahamu hili, lakini ukweli ni Kwamba Chama cha Trump ni cha Republican ni Chama cha Mabeberu na wanachama wa hiki Chama ni Matajiri Sana.
Sasa ufisadi wa hichi Chama huwa ni lazima...
Kiongozi wa upinzani nchini Tunisia,Rached Ghannouchiamepoteza fahamu kwa muda akiwa katika Gereza la Mornaguia kutokana na wimbi kali la joto linalokadiriwa kufikia nyuzi 52 za Selsiasi.
Tukio...
South African activist Jacinta Ngobese-Zuma has called for the release of Zimbabwean activist Bhekimpilo Mbedzi, urging President Emmerson Mnangagwa’s government to respect citizens’...
As Visual Leap Media continues to expand its operations in Brazil, the company has completed the latest phase of improvements to its local operating framework and received confirmation from the...
Konfam FM 89.5 Lagos Records Over 2.67 Million Listeners, Strengthens Position Among Lagos' Leading Radio Stations
Konfam FM 89.5 Lagos has reached another significant milestone by attracting...
Ndani ya wiki mbili pentagon wamesema wanajeshi 100 wamejeruhiwa na watatu kuuliwa.
Lakini ripoti zinasema pentagon wamekuwa wazito na slow kwenye kutoa takwimu halisi huku idadi kamili wakificha...
Majigambo yake sijui ana makombora ya kufikia marekani mbona kama hizi story tumezichoka.
Sasa unataka kumpiga kuwait kakukosea nini.
Naona iran inaelekea kuwa uhuru sio mda.waarabu wenyepesa...
Siku 44 zimepita tangu Rais wa Cameroon, Paul Biya, aondoke nchini humo kuelekea barani Ulaya kwa kile kinachoelezwa na mamlaka kuwa ni safari ya matibabu. Kutorejea kwake hadi sasa kumeibua...
The Government has allocated US$2 million to assist Zimbabwean nationals returning home from South Africa amid growing concerns over rising anti-immigrant sentiment and fears of a resurgence of...
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu China kutoingilia kati pale mataifa ambayo yamekuwa na uhusiano wa karibu na China yanapovamiwa.
Wengine wamefikia hatua ya kusema China ni waoga na sio...
Uhispania ilisherehekea ushindi wa kihistoria wa Kombe la Dunia, lakini zawadi yao ya dola milioni 50 inakuja na bili ya kodi huku Mamlaka ya Mapato ya Marekani (IRS) ikidai sehemu ya mapato...
Bunge la Ufaransa limepitisha sheria ya kupiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto walio chini ya miaka 15 kuanzia Januari 2027. Hatua hii inaifanya Ufaransa kuwa nchi ya kwanza...