International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amemfuta kazi mkuu wa jeshi pamoja na waziri wa fedha aliyekuwa ameapishwa chini ya miezi mitatu iliyopita, kwa mujibu wa taarifa ya vyombo vya habari vya...
1 Reactions
2 Replies
123 Views
Nilishasema hapa kama Trump angejua ana dili na nani asingepoteza muda kuweka mikwara mingi pasipo suruhisho sasa akili imemkaa na ameamua kwenda china kupiga magoti na kumsihi china amshawishi...
5 Reactions
5 Replies
312 Views
Kulingana na duru mbalimbali za kisiasa na mizozo ya kimataifa kuna kila namna ya mataifa ya ulaya na Asia hasa Japan na Korea ya kusini kuingilia mzozo wa mashariki ya kati kuhusu usafiri wa...
3 Reactions
12 Replies
462 Views
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemuachisha kazi waziri wa fedha na mkuu wa majeshi ikiwa ni muendelezo wa mabadiliko ambayo amekuwa akiyafanya katika utawala wake. Waziri Salvatore Garang...
0 Reactions
1 Replies
131 Views
Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda...
7 Reactions
133 Replies
3K Views
Baada ya tangazo la Trump kuwa Marekani inaufungua mlango wa Hormuz kwa nguvu na kuwa itazilinda meli zitakazopita, meli za Marekani zimekuwa zikipita bila kizuizi, huku meli za mataifa mengine...
1 Reactions
11 Replies
442 Views
The Financial Times linasema: Marekani imeisisitiza serikali ya Korea Kusini kujiunga naye kijeshi katika kusaidia kufungua mfereji wa Hormuz. Hili limekuja baada ya Raisi Donald Trump kuwataka...
15 Reactions
20 Replies
531 Views
Ted Turner, mjasiriamali machachari aliyebadilisha tasnia ya habari kupitia kuanzishwa kwa shirika la habari la CNN, amefariki dunia Jumatano akiwa na umri wa miaka 87. Taarifa hizi zimeripotiwa...
0 Reactions
2 Replies
160 Views
A wave of emotional reactions has swept across Nigeria following a viral video showing billionaire cleric, Jeremiah Omoto Fufeyin, extending support to the family of Oghenemene, a young man...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
Hii ni moja ya operation iliyowahi kufeli chini ya masaa 48 Ilianzishwa na rais Trump na kuipublish kwenye mtandao wa jamii lakini kama kawaida yake chini ya masaa 48 kaacha ndala mwenyewe Hormuz.
3 Reactions
2 Replies
150 Views
THE Zimbabwean government has moved to allay fears over the safety of its nationals living in South Africa following renewed concerns about xenophobic tensions.Authorities in South Africa...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Donald Trump kupitia mtandao wake wa truth social amesema kuwa Marekani itasitisha kwa muda operesheni yake ya kuziongoza meli kupitia Mlango bahari wa Hormuz huku (blockade) kizuizi kikiendelea...
10 Reactions
11 Replies
352 Views
=== Islamic State massacres Christians in front of their families...
2 Reactions
12 Replies
249 Views
Burkina Faso imeipiga marufuku televisheni ya Ufaransa, TV5 Monde, ikiituhumu kwa kueneza "habari za uongo" kuhusu hali ya ugaidi nchini humo na nchi jirani ya Mali. Uamuzi huo ulitangazwa na...
1 Reactions
1 Replies
100 Views
Israel inapitia kipindi wasichokitarajia baada ya kuwaua zaidi ya maafisa 40 wa juu wa serikali ya Iran mwishoni mwa Februari 2026. Wakajutarajia irani kuanguka ,lakini utawala huo umeendelea ku...
14 Reactions
37 Replies
976 Views
Marekani na Israel wamevamia Iran wakitegemea kumaliza oparesheni ndani ya siku 4 tu, lakini sasa siku 18 zimefika huku vita ikionesha dalili za kukolea kuliko kuisha. Iran wamepigwa, lakini...
23 Reactions
156 Replies
3K Views
Muda huwa ni mwalimu mzuri sana. Nakumbuka mabazazi na madunya wa humu ndani mnamo tarehe 24 February 2022 siku ambayo Urusi alivamia Ukraine walinitafuta na kunisimanga sana. Wengine walidiriki...
66 Reactions
337 Replies
10K Views
Mwaka 1907 Balozi wa Uingereza nchini Ujerumani Eyre Crowe aliaandaa andiko zito "The Crowe Memorandum" na kulituma London. Mle ndani alisema kwamba Ujerumani inakusanya chuma na mainjiania kwa...
33 Reactions
130 Replies
4K Views
United Arab Emirates imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga ilikabiliana na makombora 12 ya balistiki, makombora 3 ya cruise na ndege 4 zisizo na rubani zilizorushwa kutoka Iran siku ya Jumatatu...
2 Reactions
6 Replies
259 Views
Back
Top Bottom