Wanajeshi wa IDF ndani ya kituo cha kuhifadhia silaha cha Hezbollah kabla ya kukibomoa ambapo vifaa kadhaa vya kulipuka na makombora ya kupambana na vifaru vilipatikana
Zaidi ya hayo, vituo...
Wanaukumbi.
Shirika la kimataifa la masuala ya bahari la Umoja wa Mataifa (IMO) limesema takribani meli 1,500 pamoja na mabaharia zaidi ya 20,000 wamekwama katika eneo la Ghuba ya Uajemi kutokana...
Shirika la Marekani la U.S Energy Information Administrative (EIA) linakadiria kwamba:
China ina mapipa karibu bilioni 1.4 ya mafuta ghafi. Mkakati kabambe wa China kuhifadhi mafuta ghafi ulianza...
Trump atangaza "Uhuru wa Mradi": Amerika itasindikiza meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz, uingiliaji wowote wa Iran utakabiliwa na nguvu kali wasiyoitarajia!!.
Iran kwa sasa hana chake kwenye...
Its simple,
Ni kwa sababu kwao ugaidi umeunganishwa na Mungu, yaani mtu anapigana na watu bila sababu ya msingi kwa niaba ya Mungu wa kufikirika.
Inachekesha sana ila kwao ni "sacred."...
Wanaukumbi.
Operesheni ya Marekani ya kuongoza meli zilizokwama kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz itasitishwa kwa "muda mfupi," Rais Donald Trump alitangaza Jumanne jioni.
Trump alisema kwamba...
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amemfuta kazi mkuu wa jeshi pamoja na waziri wa fedha aliyekuwa ameapishwa chini ya miezi mitatu iliyopita, kwa mujibu wa taarifa ya vyombo vya habari vya...
Nilishasema hapa kama Trump angejua ana dili na nani asingepoteza muda kuweka mikwara mingi pasipo suruhisho sasa akili imemkaa na ameamua kwenda china kupiga magoti na kumsihi china amshawishi...
Kulingana na duru mbalimbali za kisiasa na mizozo ya kimataifa kuna kila namna ya mataifa ya ulaya na Asia hasa Japan na Korea ya kusini kuingilia mzozo wa mashariki ya kati kuhusu usafiri wa...
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemuachisha kazi waziri wa fedha na mkuu wa majeshi ikiwa ni muendelezo wa mabadiliko ambayo amekuwa akiyafanya katika utawala wake.
Waziri Salvatore Garang...
Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran
Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda...
Baada ya tangazo la Trump kuwa Marekani inaufungua mlango wa Hormuz kwa nguvu na kuwa itazilinda meli zitakazopita, meli za Marekani zimekuwa zikipita bila kizuizi, huku meli za mataifa mengine...
The Financial Times linasema:
Marekani imeisisitiza serikali ya Korea Kusini kujiunga naye kijeshi katika kusaidia kufungua mfereji wa Hormuz. Hili limekuja baada ya Raisi Donald Trump kuwataka...
Ted Turner, mjasiriamali machachari aliyebadilisha tasnia ya habari kupitia kuanzishwa kwa shirika la habari la CNN, amefariki dunia Jumatano akiwa na umri wa miaka 87. Taarifa hizi zimeripotiwa...
A wave of emotional reactions has swept across Nigeria following a viral video showing billionaire cleric, Jeremiah Omoto Fufeyin, extending support to the family of Oghenemene, a young man...
Hii ni moja ya operation iliyowahi kufeli chini ya masaa 48
Ilianzishwa na rais Trump na kuipublish kwenye mtandao wa jamii lakini kama kawaida yake chini ya masaa 48 kaacha ndala mwenyewe Hormuz.
THE Zimbabwean government has moved to allay fears over the safety of its nationals living in South Africa following renewed concerns about xenophobic tensions.Authorities in South Africa...
Donald Trump kupitia mtandao wake wa truth social amesema kuwa Marekani itasitisha kwa muda operesheni yake ya kuziongoza meli kupitia Mlango bahari wa Hormuz huku (blockade) kizuizi kikiendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.