Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,062
Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
wanaomba ruhusa, ama? sijelewaIran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
We tulizana utaona USA atakavyo pigishwa magoti mda si mrefu utaona vitu vinatua USAwanaomba ruhusa, ama? sijelewa
Mzee naona kilevi kimekuzidiaIran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
Hahahaha wenzako washaanza kutoa milio hukoIran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
Hata kiingereza hujui mbwa wewe.Hahahaha wenzako washaanza kutoa milio huko
Mohsen Rezaee, a senior Iranian military advisor, has warned that if the US continues bombing Iran, Tehran will escalate into full-scale war. Rezaee says so far, Iran has limited its retaliations, but this won’t last for long
Hivi unadhani Iran imekaa kizembe bob haijajiandaa!??Hizi ndio Habari njema sasa.
Sio ule utoto wanaoufanya huko kwa waarabu.
Piga New York au Washington DC. Hata ukishindwa unakuwa umeshinda kishujaa.
Wajue tuu Marekani akipigwa kwenye ardhi yake, atadhihirisha maana halisi ya ukafiri. Hilo wakae nalo kichwani
Hahaahha nyaniHata kiingereza hujui mbwa wewe.
Wacha tukutafsirie.
"Kama marekani itaendelea kuishambulia Iran basi Iran itaanzisha vita kamili. Rezae amesema kwamba kwasasa Iran imeweka mipaka kwenye kujibu mashambulizi ila hilo halitadumu muda mrefu".
Hapo kutoa milio ni wapi Iran ametoa milio!? Mkiambiwa msomw hamtaki.