International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Magaidi watatu waliangamizwa katika shambulio la IDF kwenye gari aina ya jeep katika kambi ya Al-Mar'azi, katikati mwa Ukanda wa Gaza leo.
1 Reactions
2 Replies
94 Views
Walid Majdi Haniyeh, mpwa wa aliyekuwa mkuu wa Ofisi ya Siasa ya Hamas Ismail Haniyeh, alifariki Ijumaa asubuhi kutokana na majeraha aliyopata katika shambulio la Israel siku iliyopita katika...
1 Reactions
0 Replies
84 Views
Huwezi kumtenganisha Mungu wa kweli na taifa la Israel huo ndo ukweli Haijalishi Israel walimuasi Mungu wao Kwa miaka mingapi lakini Mungu wao LAZIMA awarudishe kwenye Agano lake Biblia ni...
4 Reactions
50 Replies
512 Views
Katika malengo ya vita iliyoanza February mwaka huu, Lengo mojawapo lilikuwa kubadili safu ya uongozi, na hilo limekamilika kwa kiasi kikubwa, viongozi wengi wa sasa wameshika nafasi hizo ndani ya...
2 Reactions
22 Replies
428 Views
Utawala wa kijeshi wa Burkina Faso imevunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa rasmi kuanzia Juni 26, 2026, nchi ambayo ilikuwa mtawala wao wa zamani wa kikoloni, ukiishutumu kwa kuendelea...
1 Reactions
1 Replies
131 Views
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), ikilalamikia mchango wa nchi hiyo katika mgogoro wa muda...
0 Reactions
2 Replies
100 Views
Leo hii tunaona baada ya Trump kuomba na kupiga magoti nyuma ya pazia, sasa bei ya mafuta imeshuka na tutaanza kupata ahueni. Iran ilisema nitafunga Hormuz na ilifunga kweli, maana huku kwetu...
9 Reactions
19 Replies
298 Views
Idadi ya vifo inaongezeka kwa kasi Mapacha wawili wa matetemeko ya ardhi nchini Venezuela yamesababisha vifo vya angalau watu 920 na wengine zaidi ya 3,000 kujeruhiwa. Nchi hiyo tayari ilikuwa...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
A Ghanaian witch doctor has claimed that he has “released” England captain Harry Kane from a spell after the striker failed to score in England’s goalless World Cup draw against Ghana. The unusual...
1 Reactions
7 Replies
301 Views
Hivi Trump ni wa kuikosoa Israel waziwazi bila kupepesa macho!? Trump ni mtu wa kufanya makubaliano ya amani na Iran bila kuihusisha Israel? Kwanini Trump amebadilika hivi? Eti jamani!??? Hivi...
7 Reactions
31 Replies
747 Views
Waingereza wamemtimua kazi Waziri Mkuu wao lakini sasa wanabishana walichomfukuzia kazi Keir Starmer ni kipi hata wenyewe hawaelewi! Haieleweki kwa nini amelazimishwa kujiuzulu na chama chake...
3 Reactions
22 Replies
501 Views
Mfanyabiashara Afrika Kusini, Vusimuzi "Cat" Matlala, amekiri mashtaka yote saba yanayomkabili kwenye kashfa ya ufisadi wa zabuni ya polisi (SAPS) yenye thamani ya Randi milioni 228, inayohusisha...
3 Reactions
6 Replies
218 Views
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu...
38 Reactions
123 Replies
8K Views
Swali. Ilikuaje Kiongozi Aliyejinadibisha kuipinga America/Israel harafu mtoto wake akawa anaishi na kufanya kazi USA?https://www.instagram.com/p/DWAlA28Ct05/?igsh=ejFsZW1zeGR0NW82
1 Reactions
13 Replies
525 Views
Wamarekani Wagalatia Wahafidhina ambao dini ya Ugalatia ni kila kitu kwao na muongozo mkuu wa maisha wamemjia juu Meya wao wa New York Zohran Mamdani kwa sababu ya mtindo mpya aliouleta wa...
7 Reactions
39 Replies
450 Views
  • Featured
Marius Borg Høiby, mtoto wa kwanza wa Binti Mfalme Mteule wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji, kushambulia, na unyanyasaji...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Baada ya Iran kuishambulia Israel na Israel kujibu vikali uchokozi huo sasa Iran kabwaga manyanga!!
2 Reactions
12 Replies
394 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuachiliwa kwa sehemu ya kwanza ya mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa, akisema kuwa Iran itatumia fedha hizo kununua chakula kutoka kwa wakulima wa...
5 Reactions
26 Replies
545 Views
  • Redirect
Mfanyabiashara wa Afrika Kusini, Vusimusi "Cat" Matlala, amekiri makosa ya rushwa, udanganyifu na utakatishaji wa fedha katika kesi kubwa inayohusu ufisadi ndani ya Jeshi la Polisi. Matlala...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom