Magaidi wa Hamas waangamizwa huko Gaza!!!

Magaidi wa Hamas waangamizwa huko Gaza!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,166
Reaction score
7,702
Majeshi hodari ya Israel Jana yaliendeleza wimbo la kuwaangamiza magaidi wa Hamas huko Gaza safari hii wameangamizwa magaidi 16 waliokuwa tishio kwa majeshi ya Israel



 
Majeshi hodari ya Israel Jana yaliendeleza wimbo la kuwaangamiza magaidi wa Hamas huko Gaza safari hii wameangamizwa magaidi 16 waliokuwa tishio kwa majeshi ya Israel

Naam! Ni wahusika tuu ndo wanaolengwa. Wengine wasiohusika wanaachwa waendelee na shughuli zao. Majeshi ya Israel wanatumia weledi wa kiwango cha juu sana katika OP zao.
 
Yalivyokuwa yanashangilia ile oct 7 yalijua hayafikiwa ujinga mzigo.
 
Hatukubali.Death to America!Down with Israel!Sisi kama wapalastaini tutalipiza kisasi.
 
Back
Top Bottom