International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Donald Trump kupitia mtandao wake wa truth social amesema kuwa Marekani itasitisha kwa muda operesheni yake ya kuziongoza meli kupitia Mlango bahari wa Hormuz huku (blockade) kizuizi kikiendelea...
10 Reactions
11 Replies
352 Views
=== Islamic State massacres Christians in front of their families...
2 Reactions
12 Replies
249 Views
Burkina Faso imeipiga marufuku televisheni ya Ufaransa, TV5 Monde, ikiituhumu kwa kueneza "habari za uongo" kuhusu hali ya ugaidi nchini humo na nchi jirani ya Mali. Uamuzi huo ulitangazwa na...
1 Reactions
1 Replies
100 Views
Israel inapitia kipindi wasichokitarajia baada ya kuwaua zaidi ya maafisa 40 wa juu wa serikali ya Iran mwishoni mwa Februari 2026. Wakajutarajia irani kuanguka ,lakini utawala huo umeendelea ku...
14 Reactions
37 Replies
976 Views
Marekani na Israel wamevamia Iran wakitegemea kumaliza oparesheni ndani ya siku 4 tu, lakini sasa siku 18 zimefika huku vita ikionesha dalili za kukolea kuliko kuisha. Iran wamepigwa, lakini...
23 Reactions
156 Replies
3K Views
Muda huwa ni mwalimu mzuri sana. Nakumbuka mabazazi na madunya wa humu ndani mnamo tarehe 24 February 2022 siku ambayo Urusi alivamia Ukraine walinitafuta na kunisimanga sana. Wengine walidiriki...
66 Reactions
337 Replies
10K Views
Mwaka 1907 Balozi wa Uingereza nchini Ujerumani Eyre Crowe aliaandaa andiko zito "The Crowe Memorandum" na kulituma London. Mle ndani alisema kwamba Ujerumani inakusanya chuma na mainjiania kwa...
33 Reactions
130 Replies
4K Views
United Arab Emirates imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga ilikabiliana na makombora 12 ya balistiki, makombora 3 ya cruise na ndege 4 zisizo na rubani zilizorushwa kutoka Iran siku ya Jumatatu...
2 Reactions
6 Replies
260 Views
Yanayojiri yanatisha. Iran launches four cruise missiles at the UAE. The United Arab Emirates reported that four cruise missiles were launched from Iran toward its territory-three were...
3 Reactions
26 Replies
698 Views
Tuelekee kule Hormuz Iran imetangaza kuwa jeshi lake litashambulia majeshi ya Marekani endapo yatajaribu kuingia katika Mlango wa Hormuz, kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump...
3 Reactions
27 Replies
677 Views
Wanaukumbi. Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC) kilisema Jumapili kwamba Rais wa Marekani Donald Trump lazima achague kati ya vita "visivyowezekana" au "mkataba mbaya" na...
5 Reactions
68 Replies
747 Views
Mnamo FEBRUARI 28,2026 Mzee wetu mwenye hekima Ayatollah Ali Khamenei akiwa na umri wa miaka 86 tayari akiwa ameshiba siku akisubiri muda wake kwa amri ya Mungu wake aliuawa. Uamuzi wa...
3 Reactions
26 Replies
487 Views
Katika shambulio lililolengwa la Israeli kwenye gari magharibi mwa Jiji la Gaza leo, Iyad al-Shanbari, anayejulikana pia kama Abu Salah - kiongozi mkuu katika Kikosi cha Beit Hanoun cha tawi la...
1 Reactions
3 Replies
158 Views
Shirika la ndege la Spirit la nchini Marekani limefilisika rasmi kutokana na kushindwa kumudu gharama za mafuta...
8 Reactions
17 Replies
434 Views
US Central Command imethibitisha Jumatatu kuwa majeshi ya Marekani yamezamisha boti za Iran na kukamata makombora pamoja na ndege zisizo na rubani wakati wa operesheni za “Project Freedom” katika...
2 Reactions
3 Replies
237 Views
Ndugu zangu Wazuru mtambue sisi wangoni kwa asili ni wa south tulikuja Tanzania tukapiga kambi kule Songea Nyasa Sasa je na Wanyakyusa nao wakianza kututimua si itakuwa kasheshe naomba mtatue...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula nyama ya mtu hutaacha utaendelea kula Walianza kwa wasio na vibali. Wakafuata kwa walio na vibali ila wageni Sasa wamekuja na jambo lingine wewe...
3 Reactions
1 Replies
110 Views
Vita vya hivi karibuni vitakuwa 'shida moja kubwa' ikiwa uranium iliyosafishwa ya Iran haitaondolewa kwenye mikono ya magaidi hao— afisa wa IDF alisema. Afisa wa jeshi la Israeli anasema kwamba...
6 Reactions
56 Replies
993 Views
Israeli inaendeleza haraka njia mpya za kukabiliana na ndege zisizo na rubani za Hezbollah. Ndege hizi zisizo na rubani zinazotolewa na Iran tayari zimewajeruhi na kuwaua wanajeshi wa IDF ndani...
1 Reactions
2 Replies
140 Views
Back
Top Bottom